MrConveter
JF-Expert Member
- Jul 4, 2017
- 1,290
- 2,361
Mkuu confusion ilikuwa pale wale jamaa wawili hawakufa waliokuwa wanamkiza gaucho .Kumbuka walimkimbiza sana tangia porini, kufika baharini kachoka akakaa wale jamaa walivyomfikia...wakanpita wakati meli zilikuwa mbali kidogo. All in all walininyima mkono wa mwisho mwisho hahahaaaDinyo Pale mwishoni ni meli za wazungu zinaanza kuingia America. mke wake anasema wazifuate ila yeye aligoma. John nahisi alifeki kifo ili arudi zake Mars kwa mpezi wake, nimesahau kidogo.
hahaa pale walikuwa wanapiga chabo watu wakajaa wakadhani wanataka kujiua.Yeah wakorea wale!...comedy sana!!
hapana hii bado aseh!!..ngoja niiweke kwenye list!Ngoja kesho niishushe.....!
Hivi umeiona BIG STAN ??
naona wanazidi iiboresha tu kama walivyoipa akili kwenye covenant!.. soon itaanza kuwa kama binadam hahahhHahahaah ila mexenomorphs ni balaaaa.
Yeah zimeendana na naona Limitless waliitolea na series yake mara mojamoja anatokea Bradley kama Meya wa jiji anaecontrol drug distribution.Hiyo Lucy niliona kama uluminat flan Hivi pia niliifananisha kwa mbaki na limit less ta Bradley Copper.
Inception inasumbua sana kuelewa. Hadi niliposoma plot yake wikipedia ndiyo nilielewa vizuri.Kuna hizi
The Martians
Interstellar
Lucy
Inception
Gravity
Science and Fiction movies zinataka concentration ya hali ya juu, which is what i like.
Trancendence ni John Depp mkuu ila hii Interstellar nishaga shindwa kuielewa maana kama jamaa anajiona hivi..Nafkiri hii no 10 ni kama transcendence ya Matt Damon sema ktk style ya tofauti. Shida inakuja pale ambapo yule ghost anavyohusika mwanzoni na mwishoni pale pia sikupata majibu
Hahah yeah mule Queen katisha sana!..Set it off...
Idea ya Inception Lil wayne kwenye 6 foot 7 foot kaitumia mambo ya kickbackKuna hizi
The Martians
Interstellar
Lucy
Inception
Gravity
Idea ya Inception Lil wayne kwenye 6 foot 7 foot kaitumia mambo ya kickbackKuna hizi
The Martians
Interstellar
Lucy
Inception
Gravity
Hahahh...Jamaa wameishiwa mayai kwenye fridge akamasterbate kwenye flampeni halafu akakaanga!!..[emoji23]hahaa pale walikuwa wanapiga chabo watu wakajaa wakadhani wanataka kujiua.
hahaa hii movie niliipendea jina kwanza.Hahahh...Jamaa wameishiwa mayai kwenye fridge akamasterbate kwenye flampeni halafu akakaanga!!..[emoji23]
Wakati mwingine ma director wanapenda kutuacha hewani. Ni sawa na ile sixth sense sikujua ni wakati gani Bruce Wills alikufaInception inasumbua sana kuelewa. Hadi niliposoma plot yake wikipedia ndiyo nilielewa vizuri.
cheki na LIE TO ME!.hahaa hii movie niliipendea jina kwanza.
Hua naingalia ili niwe namuona vzr Scarlett Johansson tu nampenda sana huyu mwanamke aiseeeIko poa sana sanaa!
Aiseeee......umenikumbusha movie nlyokuwa naikubal sanaaaa....enz hzo za primary...dah....Hivi Jeeper Creeppers umeiona ??
nimetafuta YouTube nimeikosa trailer hebu weka link hapa niicheki trailer yakeSound of music...basi nimechanganya id kuna mtu alitoa list nzuri one of the movie ni hiyo sound of music
Lilikuwa na mpua fulani hivi wa uongo.....Juu yake limavaa mkofia.!Aiseeee......umenikumbusha movie nlyokuwa naikubal sanaaaa....enz hzo za primary...dah....