OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,569
- 24,812
Lakini alisave wengine kama 38 hivi ..kama angechelewa wangekufa wengiHatari sana dogo drone pilot alizingua akaua watu wawili kwa maamuzi yake
Hii kigongo ni balaa Monday alizingua kinoma kawachoma nduguze akina Tue, Wes, Thus, Fri, Sat na Sun..What happened to Monday inaitwa
Steve Sandu kama sikoseiKweny movie za Kanumba kuna libray cha boda boda boo troo tototoo ndiyo jamaa huyo sasa jin lake silipati
Hizi movie za Sci- Fiction upande wangu sijawahi zipenda, DC sijui Marvel aaaaaaah [emoji21] sasa cha ajabu zinauza huko balaa hasa kwenye Cinema. Pia ni ndefu (duration)Yan hii movie ndefu mpaka basi masaa 4View attachment 1730961
Anaitwa STEVE SANDU akikuwa mshiriki wa Maisha Plus pia ni mwimbajiPic ndogo haionekano vizuri mkuu
Kila kitu kina wanaokipenda bigHizi movie za Sci- Fiction upande wangu sijawahi zipenda, DC sijui Marvel aaaaaaah [emoji21] sasa cha ajabu zinauza huko balaa hasa kwenye Cinema. Pia ni ndefu (duration)
Daah maajabu sanaKila kitu kina wanaokipenda big
Noma, part 1 mpaka 6Yan hii movie ndefu mpaka basi masaa 4View attachment 1730961
Mr EbboKweny movie za Kanumba kuna libray cha boda boda boo troo tototoo ndiyo jamaa huyo sasa jin lake silipati
Achana na Marvel. Hao jamaa ni wataalamu. Nahisi wewe ni wale wazee wa kufoward dakika 2-3 unahitimisha movie mbaya. Kaa utulie uangalie movie. Hao DC ukatuni mwingi but Marvel, we tulia weka na subtitle uangalie movie, that's really sci-fi.Hizi movie za Sci- Fiction upande wangu sijawahi zipenda, DC sijui Marvel aaaaaaah [emoji21] sasa cha ajabu zinauza huko balaa hasa kwenye Cinema. Pia ni ndefu (duration)
Kakwambia hazipendi sasa maelezo ya nani mtaalamu kutengeneza movies yametokea wapi au ndo wataka kutuonesha unajua kufatilia moviesAchana na Marvel. Hao jamaa ni wataalamu. Nahisi wewe ni wale wazee wa kufoward dakika 2-3 unahitimisha movie mbaya. Kaa utulie uangalie movie. Hao DC ukatuni mwingi but Marvel, we tulia weka na subtitle uangalie movie, that's really sci-fi.
Chinese, koreans na hawa wenzao wanaoibukia, Indonesians, ni crap. Very low IQ movies.
cc donlucchese
Shida ni nini ndg...! You think those sci-fi movies are high grossing for nothing?Kakwambia hazipendi sasa maelezo ya nani mtaalamu kutengeneza movies yametokea wapi au ndo wataka kutuonesha unajua kufatilia movies
BTW kila mtu ana kitu anachokipenda na huwezi mlazimisha kupenda chako mawazo yake yaheshimiwe.
Sahihi kabisa mkuu,Achana na Marvel. Hao jamaa ni wataalamu. Nahisi wewe ni wale wazee wa kufoward dakika 2-3 unahitimisha movie mbaya. Kaa utulie uangalie movie. Hao DC ukatuni mwingi but Marvel, we tulia weka na subtitle uangalie movie, that's really sci-fi.
Chinese, koreans na hawa wenzao wanaoibukia, Indonesians, ni crap. Very low IQ movies.
cc donlucchese
bado sijaicheki hiyo kiongozi, ni movie mpya hiyo.Sahihi kabisa mkuu,
Ukitaka uenjoy movie za Sci-fi check Marvel , DC waduanzi. Umeshaicheck Snyder's Cut mkuu ya Justice League?
Tayari ishatoka mkuu, tamu Sana. Money Heist sijui lini aisee Ila wakat unawait check kidogo Lupinbado sijaicheki hiyo kiongozi, ni movie mpya hiyo.
BTW money heist s05 lini? Tunakufa na arosto. Also kuna hii series ya mcMafia wametoa only 1 season alaf wakatuaje na arosto.
Nadhani hizo movies za kiswahili tuwaulize watu wa mtaa wa agrey zinapouzwa CDsShida ni nini ndg...! You think those sci-fi movies are high grossing for nothing?
Sijalazimishe mdau apende kile nacho-suggest mimi, but I used to see those movies as childish, but those movies exhibit the proper use of human imagination to create things desirable.
Je wewe ni shabiki wa Korean movies zilizotafsiriwa?