kidi kudi
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 2,450
- 2,013
iko vzrOutside the wire wale wapenzi wa hizi hutojutiaa wkend yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
iko vzrOutside the wire wale wapenzi wa hizi hutojutiaa wkend yako
Umeshusha au theater mkuu?Fast and Furious 9 dah imejitahid lakin I expected more baadhi ya punchlines zao nlkuwa naweza kuzimalizia japo movie ndio naiona for the first time, plot twist ilikuwa ionaonekana haijastua, haikuwa intense kama zile nyingine binafsi Fast 7 ndio naiona ni [emoji91].
Wamegive away zike scenes kali zote kwenye trailer ili ku hype watu ndani hamna maajabu.
Ila ni Worth watching japo huo ni mtazamo wangu sio facts, na rate 4.5/10
Umeshusha au theater mkuu?
The Ice Road
this is not a good movie to watch.
The idea was fantastic. lakini wamezingua ktk action. Action ni za ovyo na siyo thriling.
Yaani wangeifanya kama Death Race au ile ya jangwani jangwani nimesahau jina lake.
dont waste your MBs
nimeicheki iko vizuri japo naona kama Liam amekuwa mtu mzima sana hata action kidogo zinaanza kumtupa mkonoThe Ice Road
this is not a good movie to watch.
The idea was fantastic. lakini wamezingua ktk action. Action ni za ovyo na siyo thriling.
Yaani wangeifanya kama Death Race au ile ya jangwani jangwani nimesahau jina lake.
dont waste your MBs
action haziko sawa kabisaa ingawa idea was perfectnimeicheki iko vizuri japo naona kama Liam amekuwa mtu mzima sana hata action kidogo zinaanza kumtupa mkono
action haziko sawa kabisaa ingawa idea was perfect
Vipi Top Gun2 maverick na Tomorrow war nazipata wapi ?
hizo bado sijazishusha hope leo ntazitafutaaction haziko sawa kabisaa ingawa idea was perfect
Vipi Top Gun2 maverick na Tomorrow war nazipata wapi ?
mi pia namalizia TW sema top gun maverick kick ass naiona sema haidowmload sijui kaspersky inaiblock ni malicious au vipihizo bado sijazishusha hope leo ntazitafuta
Yah....yes mad max the fury road....mzeee ile idea iko pefect na action ni fantastic sasa Ice Road idea iko vizuri sema actions hapana mzee yaaani action hazistui....ile Mad Max nshacheki ziote mbili na zipo safi kbsaaaaa....sasa ningewashauri waunganishe ice roads na mad max yaaani kama marvel wanavyofanya yaaani ice roads iende number 2 halafu number 5 wale watu kule kwa akina Joe wapate inshu ya dhahabu au diamond wasafiri umbali kwenda kuvamia mgodi then wapite ktk ice roads Ice yaani tuone mapambano ktk ice....am sure it will be a damn fantasticsYa Jangawani ni Mad Max, umechelewa [emoji28]nshaishusha natafuta mda wa kuichek duh, mbona Liam Neeson huwa anatishaga au kashatuzoea
Yah....yes mad max the fury road....mzeee ile idea iko pefect na action ni fantastic sasa Ice Road idea iko vizuri sema actions hapana mzee yaaani action hazistui....ile Mad Max nshacheki ziote mbili na zipo safi kbsaaaaa....sasa ningewashauri waunganishe ice roads na mad max yaaani kama marvel wanavyofanya yaaani ice roads iende number 2 halafu number 5 wale watu kule kwa akina Joe wapate inshu ya dhahabu au diamond wasafiri umbali kwenda kuvamia mgodi then wapite ktk ice roads Ice yaani tuone mapambano ktk ice....am sure it will be a damn fantastics
The forever Purge na Gunpowder Milikshake
wakuu nisaidieni, huyo jamaa katika picha naambia ni movie star alifariki kabla ya hata movie yake ya mwisho kutoka.. natafuta jina lake na hiyo movie.. ingawa hiyo movie alishaimaliza.. ilitoka wakati ashakufa. nisaidieni pleaseView attachment 1864398View attachment 1864397