Kitu kipya cha clip ya Nakuogopa ingawa ni muziki wa kizazi kipya lakini ina changamoto katika uongozaji, upigaji picha n.k kama ilivyo katika Bongo Movie, changia review
NAKUOGOPA -AKIL THE BRAIN
Source: Akil Da Brain
Changamoto za utengenezaji wa hii clip ya muziki ambapo hata bongo movie hupata: (Behind the scene making of) : Nakuogopa a.k.a Kimora. Maoni movie na muziki wa kibongo tufanye nini kuzidi kufanya vizuri zaidi na kuteka tasnia ya movie na muziki eneo la Afrika Mashariki na Kati na hata Afrika nzima (Nollywood Nigeria au South Afrika)?
source: Khaleed mohd wa youtube
NAKUOGOPA -AKIL THE BRAIN
Source: Akil Da Brain
Changamoto za utengenezaji wa hii clip ya muziki ambapo hata bongo movie hupata: (Behind the scene making of) : Nakuogopa a.k.a Kimora. Maoni movie na muziki wa kibongo tufanye nini kuzidi kufanya vizuri zaidi na kuteka tasnia ya movie na muziki eneo la Afrika Mashariki na Kati na hata Afrika nzima (Nollywood Nigeria au South Afrika)?
source: Khaleed mohd wa youtube
Last edited by a moderator: