movie ya bongo yashinda tuzo hollywood

movie ya bongo yashinda tuzo hollywood

Yaani mkuu umeichukulia seriously hii habari?? Iangalie kwa jicho la tatu utaelewa nini lengo la mtoa mada.
Hakuwa na sababu ya kupiga mafumbo... angepiga tu makavu live coz' hili la subtitle tumesema sana hapa... sasa ilibidi hadi ni-view hizo attached photos ndipo nifahamu anamaanisha nini... hawa ni kuwapa tu makavu manake wanatia kinyaa! Cha kuongea sawa, tunashindwa, hadi cha kuandika!! Upuuzi wao ndo ule ule tunaosema kila siku... mwandishi wa script huyo huyo, kisha anakjigeuza kuwa director, tena anajigeuza kuwa main character huku akimwelekeza Cameraman cha kufanya...
 
Aunt she don't even to here about to continue my study....

Nyingine

She don't even want to saw me home .....

Majanga haya
 
Lengo ni kujitangaza kimataifa.......teh teh teh...
Tunahitaji mtu kama Diamond kama Bongo Movie... mtu ambae yupo willing ku-invest kwenye kazi yake ya sanaa! Nilitarajia Proin kwa vile pesa wanayo, wao wangeleta mabadiliko makubwa, lakini hamna kitu... wanapita mle mle na kufanikiwa tu kuondoa upuuzi wa Part I na Part II zisizo na sababu!
 
RJ COMPANY imezidi jamani uhovyooo wa subtitle
Don't tell me kwamba kuna kampuni inafanya haya mambo!! Mie nilidhani ni akina Johari wenyewe!!! Ni nani hao RJ? Au ni Ray & Johari? omg... it might be!!
 
Kwa Bongo movie, hata wasipoeka subtitles, bado we have a long way to go!
 
Yes I see them continuing receiving prizes but who will accompany them there?
 
Hakuwa na sababu ya kupiga mafumbo... angepiga tu makavu live coz' hili la subtitle tumesema sana hapa... sasa ilibidi hadi ni-view hizo attached photos ndipo nifahamu anamaanisha nini... hawa ni kuwapa tu makavu manake wanatia kinyaa! Cha kuongea sawa, tunashindwa, hadi cha kuandika!! Upuuzi wao ndo ule ule tunaosema kila siku... mwandishi wa script huyo huyo, kisha anakjigeuza kuwa director, tena anajigeuza kuwa main character huku akimwelekeza Cameraman cha kufanya...

pole boss ukimaliza hasira zako usisahau kujiandaa kukasirika juu ya ufisadi wa bandari, wizara ya maliasili,nssf zote hizo ni coming soon
 
tena wa kike muache johari afurahie tuzo yake ya kuitangaza bongo kimataifa
duh... sa' kama ndo hivyo akishanyakua za Oscar c ndo basi tena itabidi tutafute pa kujificha~~
 
duh... sa' kama ndo hivyo akishanyakua za Oscar c ndo basi tena itabidi tutafute pa kujificha~~
tena umtafute PROFESA MUONGO AKAKUFICHE CHINI YA MIAMBA
 
Back
Top Bottom