Movie ya Wonder Woman 1984

Movie ya Wonder Woman 1984

ndo maana sipendagi kuangalia bongo movie
Hahah zinataka kujitoa ufahamu mzee baba.,ila hata wazungu nao washakua wajinga siku hizi.

Aisee nilicheki movie 1 hivi nadhani ni sci-fi ile, eti jamaa anakimbia mara paap anegeuka kua gari la roboti hivi aisee nikasema haya mambo ya kitoto yana wenyewe aisee.
 
Hahah zinataka kujitoa ufahamu mzee baba.,ila hata wazungu nao washakua wajinga siku hizi.

Aisee nilicheki movie 1 hivi nadhani ni sci-fi ile, eti jamaa anakimbia mara paap anegeuka kua gari la roboti hivi aisee nikasema haya mambo ya kitoto yana wenyewe aisee.
aoo sio wazungu ni waindi awajatofautia kwenye uongo n a wabongoo
 
Aah Wapi 15k kirahusi ivoo, mjuba nasubiri yts.org waiweke nijiunge bando la Toboa Night Ttcl wanipe 10gb niipakue hio na muvi nyengine zaidi ya 5 kwa Buku tu .
Mnaraha, Avanger Endgame bado imetoka tu nikaitolea 15k then after few weeks jamaa angu akawa nayo full HD. Iliniuma... Ila Cinema kuna raha yake
 
Hahah zinataka kujitoa ufahamu mzee baba.,ila hata wazungu nao washakua wajinga siku hizi.

Aisee nilicheki movie 1 hivi nadhani ni sci-fi ile, eti jamaa anakimbia mara paap anegeuka kua gari la roboti hivi aisee nikasema haya mambo ya kitoto yana wenyewe aisee.
Basi mimi napenda sana muvi kama hizo za Transformers..
 
Daah hio tenet ili ieleweke labda ni mpk mtu awe ananyetuka/puli la sivyo ni kisanga.
Ndio ujue muvi sio for everyone, Tenet labda uwe na notebook pembeni uainishe matukio. Watu wanatumia akili kubwa sana kuandaa hizi muvi
 
Ndio ujue muvi sio for everyone, Tenet labda uwe na notebook pembeni uainishe matukio. Watu wanatumia akili kubwa sana kuandaa hizi muvi
Action movies naangalia zote,lkn sci-fi/star wars/fiction daah hapana kwa kweli jombaa.
 
Basi mimi napenda sana muvi kama hizo za Transformers..
Yes uko sawa kabisa, hio movie ni hizo mambo za Transformers na zimenishinda kabisaa.

Nilijaribu kuangalia hobbs&Shaw nikaona chenga tupu nikaacha kuichek nikahamia kwny escape from pretoria.
 
Hata mimi mwanzo nlikua nimekariri na nilikua nasema kwamba movie hizi za Marvel siwezi kuziangalia ,nakumbuka kuna siku ilikua 2018 sikua na movie ya kuangalia nikasema ngoja niicheki hi Avengers Infinity War kibishi tu , Daah asee ule unyama ambao alikua mzee Mzima the mad Titan (Thanos) alikua anaufanya ,nilikubali sana kazi yake . Tangia hapo nilizitafuta zote tangu kuanzia iron man hadi leo nazikubali sana
Yes uko sawa kabisa, hio movie ni hizo mambo za Transformers na zimenishinda kabisaa.

Nilijaribu kuangalia hobbs&Shaw nikaona chenga tupu nikaacha kuichek nikahamia kwny escape from pretoria.
 
Ok, ila February nako si mbali. Itapatikana kwa sie wazee wa kitonga😀
Mkuu hebu nielekeze jinsi ya kupakua muvi kwa simu kupitia saiti hii. Kwa simu hua inanishinda kabisa...
Nataka nipakue hii
Screenshot_20201220-103823.png
 
Nashangaa Mana mi nafanya kazi,jioni naenda kulewa .muda wa muvi nawaachia vijana hom
 
Ebu ngoja kwanza....
Hivi huu muda wa kuangalia hizo zenye mnaita mvi mzipata wapi..🤔🤔
Na zege mnabeba saa ngapi..??
Na kupombeka je..??
Wakati huo pia wengine wanakushangaa unavyotoa pesa kununua kinywaji kichungu ambacho unaenda kukikojoa baada ya muda mfupi. Huku kikikuacha kichwa kizito.😀😀
Mkuu hebu nielekeze jinsi ya kupakua muvi kwa simu kupitia saiti hii. Kwa simu hua inanishinda kabisa...
Nataka nipakue hii
View attachment 1654988
Sijawahi kujaribu hii kwa simu.
 
Back
Top Bottom