Movie zenye Maudhui ya Kula/Kuliwa Tunda Kimasihara

sizioni filamu za Emmanuella..

sijajua uzi wako ni wa filamu zenye nudity kama Spartacus ama filamu zenye visa vya mapenzi.. (Hizo si ni nyingi sana).
Ndio maana hapo mwisho nimesema unaweza kuongezea
 
Innocent Thing hii ni ya mkali Jang Hyuk alikuwa ticha wa Physical Education basi kuna binti mmoja mwanafunzi wake mwamba akamla.

Sasa Binti alikuwa kichwani chenga kama psychopath akaanzaga kumganda mkali halafu jamaa ana wife wake dadek binti king'ang'anizi hadi akataka kuvunja ndoa ya jamaa kisa mnjulubeg aliochezea mara moja[emoji1316][emoji23][emoji23]

Na kuna Serve The People hii ni ya kijeshi mwamba mmoja alipewa duty nyumbani kwa mkuu wao basi humo ndani akakutana na mke wake huyo basi ilr kupewa mitego sana jamaa akalaga mzigo basi ikawa daily mwendo wa kukandamizana kuanzia chumbani,sebuleni hata koridoni,alitia hadi mimba mke wa watu[emoji1316][emoji23]
 

[emoji848]
 
Frozen flower.
Mfalme shoga anapelekewa moto na bodyguard wake. Balaza la viongozi likataka mfalme awe na mtoto endapo asipokuwepo mfano akifa kuwe na mrithi halafu mfalme shoga hawezi kutomber ikabidi amwambie bodyguard wake anaempelekea moto alale na malkia ili malkia apate mimba. Bodyguard kala mzigo siku ya kwanza siku pili akanogewa akawa anapiga kimya kimya bila mfalme kujua ile mfalme kujua ikawa bifu. Bodyguard akatoloka na malkia. Ukapigwa msako akakamatwa kijijini uko akakatwa uume kama adhabu. Bodyguard baada ya kujitibu na kupona akamwibukia mfalme wakazichapa wote wawili wakauana.
 
Dogo alimchanganya mama wa watu. Dogo alikuwa akimkuta popote pale iwe kwenye kituo cha daladala, chooni, kwenye kolido anampelekea moto tu.
Yani ile movie n noma kuna ile moj anampelekea moto mlangoni🤣🤣🤣🤣 Jamaa ana haki ya kuua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…