Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
Mimi mdau wa series au movie hiz za kawaida tu..wataka romance mwanetu? Au zile za Van Damme?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi mdau wa series au movie hiz za kawaida tu..wataka romance mwanetu? Au zile za Van Damme?
Mume wangu na mwanangu wa 10 months halafu huwa silali sipati usingizi nalala asubuhi hata sitoota 😂🤣Una wa kulala naye?
kuna movie moja aliitambulisha humu huyu mwamba SteveMollel iyo movie sikula nyama wiki nzima🤣😅Aisee full vitisho 😂😂
Tulia ww low score....Weee nae kunywa maji mengi kojoa ukalale uwe unasoma uelewe sio kukurupuka kuita watu waongo.
Steve ameandika haipo library huzipati,sio mtandaoni huzipati.
Sasa mkuuu kitu cha SE 0 na Le 8 unaweza download 😂😁😁 si itachukua miaka 2 hiyo torrent ndio maana mwenzio aka kwambia anazo ambazo ukidownliad zitakufikia haraka mkuuWatu waongo waongo huwa siwapendi sana..... Wewe ni nani mpaka useme hazipatikani kokote wakati zipo zimejaa tele mtandaoni?
View attachment 2992791
View attachment 2992792
View attachment 2992793
Acha roho mbaya mkuuAnayekuja kupakua telegram unadhani ana haja na library za mtaani?
Hiyo tunaijua acha janja janja
Wewe ndio umezingua Mkuu yaani umeweka movie za torrent zenye SE na Le wachache afu unasema zipo ukiidownlod zinaingia 😂😁😁Tulia ww low score....
Wanaoijua telegram obvious wanazijua online streaming sites, huwa hawaendi local libraries.
Online libraries ziko kibao tu, acha uzwazwa.
Karibu tena, kiongozi.huboi na hupoi[emoji16].
ntasoma uzi huu ngoja kwanza nipange mipango ya kumalizia kiporo cha kazi nikiamka salama kesho mapema[emoji120].
Nipe jina nikairudie tena tafadhali [emoji23]kuna movie moja aliitambulisha humu huyu mwamba SteveMollel iyo movie sikula nyama wiki nzima[emoji1787][emoji28]
Huyo mwamba kaja kwaajili ya ushindani tu, hamna kingine. Nilichomwambia na anachojibu tofauti. Namwambia hizi movies huzipati library huko, means zile maduka za kuuza movies mtaani, yeye anakuja kusema zimejaa online.Sasa mkuuu kitu cha SE 0 na Le 8 unaweza download [emoji23][emoji16][emoji16] si itachukua miaka 2 hiyo torrent ndio maana mwenzio aka kwambia anazo ambazo ukidownliad zitakufikia haraka mkuu
Achana nae huyo kaka hajui kitu 😁😂Huyo mwamba kaja kwaajili ya ushindani tu, hamna kingine. Nilichomwambia na anachojibu tofauti. Namwambia hizi movies huzipati library huko, means zile maduka za kuuza movies mtaani, yeye anakuja kusema zimejaa online.
Nilienda kuulizia libraries nne, zotw wanakwambia tuachie tuzitafute, rudi kesho.
🤣🤣🤣🤣🤣kuna movie moja aliitambulisha humu huyu mwamba SteveMollel iyo movie sikula nyama wiki nzima🤣😅
Alikurupuka kujibuShida unasoma ili upambane kujibu na sio kuelewa. Nimesema hazipatikan kwenye library za mtaani, wapi nimesema hazipo mtandaoni?
Lugha shida?
Ingia tu telegram, search UZI MKALI utanipata.Nielekeze namna ya kufika huko telegram na kuzinyakua hizo muvi
FROM iko karibu sana na sisi.Watching movie too much makes you spiritual dead.
Nasubiri
FROM,ring of power,Silos, the ark, halo,moon knight, 3 body problem, seed bear