Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hippocratessocrates ikiwa kama atabadilishwa Moyo wake kuwekewa moyo wa mtu Mwengine je kuna uwezekanao wa mgonjwa kuwa na maisha marefu? Mkuu Dr hippocratessocrates?Hali hii huitwa Cardiomegally, yaani moyo kuwa mkubwa kuliko kawaida.
Kuna baadhi ya mambo husababisha, mojawapo ni
Magonjwa yatokanayo na virusi mbalimbali, bacteria n.k mf. ni
Pili Magonjwa ya moyo, hapa ninamaanisha magonjwa ya
-Kuzaliwa nayo(Congenital)
-Magonjwa ya chembe moyo(Valves)
-Mogonjwa ya
Tatu Magonjwa ya Shinikizo la damu, yaani
Nne,Hali/Sababu zinazofanya moyo kuchoka hasa kwa kuufanyisha kazi ya ziada.Mf damu kuwa kidogo,
Hutokeaje/Pathophysiology:
-Moyo huwa mkubwa kwa sababu aidha Misuli ya moyo(Cardiac muscles) kuwa kubwa au vyumba vya moyo(chambers) kutanuka..hii husababisha kutodunda(pump) kwa moyo vizuri.
Dalili:
-Kuchoka haraka
-Kuhisi mapigo ya moyo(kwa kawaida si rahisi kuhisi mapigo ya moyo, mfano sasa hivi unaposoma thread hii)
-Kupata shida katika kupumua
*Dalili nyingine hutegemeana sana na Chanzo?kiini cha tatizo, Hizi ni kama kupoteza fahamu, kifua(sehemu ya moyo) kuuma, miguu kujaa, tumbo kujaa, kupoteza damu nyingi mara baada ya kujifungua n.k.
Vipimo:
-Picha ya kifua(Chest X-ray/ CXR)
-ECG
-ECHO
Matibabu:
Hutegemeana na chanzo/kiini ni nini hasa lakini;
Uvutaji wa sigara na utuniqji wa vileo(hasa pombe) hukatazwa.
-Dawa za kusaidia udundaji wa moyo.
-wakati mwingine upasuaji kwa ajili ya kubadilisha kiungo/moyo hufanyika.
Mkuu hippocratessocrates ikiwa kama atabadilishwa Moyo wake kuwekewa moyo wa mtu Mwengine je kuna uwezekanao wa mgonjwa kuwa na maisha marefu? Mkuu Dr hippocratessocrates?
Hali hii huitwa Cardiomegally, yaani moyo kuwa mkubwa kuliko kawaida.
Kuna baadhi ya mambo husababisha, mojawapo ni
Magonjwa yatokanayo na virusi mbalimbali, bacteria n.k mf. ni
Pili Magonjwa ya moyo, hapa ninamaanisha magonjwa ya
-Kuzaliwa nayo(Congenital)
-Magonjwa ya chembe moyo(Valves)
-Mogonjwa ya
Tatu Magonjwa ya Shinikizo la damu, yaani
Nne,Hali/Sababu zinazofanya moyo kuchoka hasa kwa kuufanyisha kazi ya ziada.Mf damu kuwa kidogo,
Hutokeaje/Pathophysiology:
-Moyo huwa mkubwa kwa sababu aidha Misuli ya moyo(Cardiac muscles) kuwa kubwa au vyumba vya moyo(chambers) kutanuka..hii husababisha kutodunda(pump) kwa moyo vizuri.
Dalili:
-Kuchoka haraka
-Kuhisi mapigo ya moyo(kwa kawaida si rahisi kuhisi mapigo ya moyo, mfano sasa hivi unaposoma thread hii)
-Kupata shida katika kupumua
*Dalili nyingine hutegemeana sana na Chanzo?kiini cha tatizo, Hizi ni kama kupoteza fahamu, kifua(sehemu ya moyo) kuuma, miguu kujaa, tumbo kujaa, kupoteza damu nyingi mara baada ya kujifungua n.k.
Vipimo:
-Picha ya kifua(Chest X-ray/ CXR)
-ECG
-ECHO
Matibabu:
Hutegemeana na chanzo/kiini ni nini hasa lakini;
Uvutaji wa sigara na utuniqji wa vileo(hasa pombe) hukatazwa.
-Dawa za kusaidia udundaji wa moyo.
-wakati mwingine upasuaji kwa ajili ya kubadilisha kiungo/moyo hufanyika.