Othman Qadir
Member
- Apr 19, 2024
- 35
- 82
Huyo simfahamu lakini kama kweli yupo na ana uhitaji wa mume wa kufanya nae maisha pamoja hakuna tatizo lolote, unaweza tu ukamkaribisha na tukiridhiana basi itakuwa HERI.Kuna yule aliyechora tattoo makalioni kama upo tayari Sema niwaunganishe
Ni kama amekata tamaa ya maishaYou've a long way to go😂😂
Nitafurahi sana nikifanikiwa kupata mwenye uhitaji wa kweliSubiri wanakujaaa.
Sina uwoga lakini nahitaji kupata mwanamke mwenye uhitaji wa mume na nadhani hata hapa jukwaani wapo au kuna ndugu na marafiki ambao wana uhitaji kama wangu.Huu ni uoga wa kutongoza
Sina uwoga lakini nahitaji kupata mwanamke mwenye uhitaji wa mume na nadhani hata hapa jukwaani wapo au kuna ndugu na marafiki ambao wana uhitaji kama wangu.
Safari hii hadi kieleweke, ahsante kwa kunipa assist ndugu yangu😀financial services usikae nyuma nyuma, njoo huku. 🤣
Hahah yule kaachika na kila mume, labda huyu watawezanaKuna yule aliyechora tattoo makalioni kama upo tayari Sema niwaunganishe
Mimi na wewe dam dam, mpaka kieleweke na 2025 ndio mwaka wetu.Safari hii hadi kieleweke, ahsante kwa kunipa assist ndugu yangu😀
Nami nakuahidi sitokuangusha wala sitobutua, endelea kutoa assist mpaka mkeka utick😀Mimi na wewe dam dam, mpaka kieleweke na 2025 ndio mwaka wetu.
Nishakupa assist ya viwango vya Bergkamp, guti, ozil na fabregas.. Ushindwe wewe tu.
Oya, hilo keka litatiki bila tabu, mimi ndio MR. ASSIST a.k.a PASS MASTANami nakuahidi sitokuangusha wala sitobutua, endelea kutoa assist mpaka mkeka utick😀
Nakuaminia😀Oya, hilo keka litatiki bila tabu, mimi ndio MR. ASSIST a.k.a PASS MASTA