Moyo mpweke - nahitaji mke wangu wa maisha

Moyo mpweke - nahitaji mke wangu wa maisha

Kaweka mpk bible verse! Yuko serious huyo
Ni kweli kabisaa usemayo. Nipo zaidi ya serious! Yaani namaanisha toka moyoni mwangu kuwa nahitaji mwanamke wa kujenga familia bora pamoja ambaye naye toka moyoni mwake pia ana uhitaji na anataka aheshimike kuwa Mrs somebody.

Hivyo niseme tu 'karibu kwa mwanamke mwenye uhitaji " tufanye maisha ya upendo, furaha na amani pamoja 🙏
 
Habari ndugu.

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu.

Mimi ni mpweke na nipo singo, natafuta mwanamke ambaye atanipa faraja moyoni kwa kuishi maisha ya kumpendeza Mungu.

Nina uhitaji wa mwanamke ambaye atakuwa mstari wa mbele kushirikiana nami kwa maisha ya familia ili kuleta furaha na amani + upendo baina yetu na familia yetu ambayo Mungu atatubariki.
WAEFESO 5:31
SIFA:
Awe na umri kati ya miaka 25 hadi 35.
Awe mwenye hofu ya Mungu
Awe tayari kupima HIV
Awe mwenye uhitaji wa mume.

Natanguliza shukrani 🙏
Umejaribu kuongea na Miss Natafuta akakukwepa?
 
Upweke hauondolewi na mke mkuu, Owa kwa sababu unahitaji msaidizi wa maisha yako,na umepevuka kisawasawa kuweza kuvumilia visa vya mke. Unaweza kudhani kwamba mke atakuletea furaha na amani kumbe ni uongo,yaani ukishindwa wewe binafsi kuwa na furaha na amani usidhani kwamba kuna mtu anaweza kukufanyia hivyo.
 
Back
Top Bottom