Moyo mpwekw

Moyo mpwekw

Kivitz

Member
Joined
Mar 16, 2012
Posts
12
Reaction score
6
Hello naitwa wanajamvini pls natafuta mchumba ambae soon atakuwa mume awe kuanzia miaka 35 na kuendelea, awe mkristo na awe tayari kupima. Akiwa na mtoto asizidi mmoja mm Niko mbeya. Sichagui rangi. Kama INA vigezo karibu PM. Mm naishi Mbeya kikazi
 
Vigezo vyote ninavyo kasoro umri wa Meddie Kagere. Kila la kheri dada.
 
Hello naitwa wanajamvini pls natafuta mchumba ambae soon atakuwa mume awe kuanzia miaka 35 na kuendelea, awe mkristo na awe tayari kupima. Akiwa na mtoto asizidi mmoja mm Niko mbeya. Sichagui rangi. Kama INA vigezo karibu PM. Mm naishi Mbeya kikazi
Umechagua miaka uje kushindwa kuchagua Rangi.
 
Umri ukiwatupa hawa viumbe huwa wanatia huruma sana asee
Pole sitii huruma kwasababu tayari Nina mtoto some circumstances zilitokea tuu ikawa hivyo so ndugu sina haraka na ningekua sijapata haka kafirst born ndio ningekuwa na haraka.
 
Back
Top Bottom