KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
Wewe ni kama hewa mwanana inayopatia mapafu yangu furaha iliyonjema!.. kila neno lako nalikumbuka na isitoshe hata lile cheko lako tamu nalikumbuka pia!.
Nahisi Kama nina deni kwako haswa pale picha yako ikinijia usoni ni kama vile inaniambia "Ninayo Siri,Njoo uifunue!".
Labda nilikuuzi kwa ukomamanga wangu! Hope you know it,lkn sidhani kwa kiwango hicho unachofikiri!. Kitu usichokijua ni kuwa mwenzako nimekolea zaidi namaanisha vipimo vya penzi langu kwako vimeimalika zaidi!
Bado nafasi ya upendeleo ipo juu yako hata lile gurudumu tuliokuwa tukilisukuma hivi sasa limekuwa jepesi zaidi ila linanishinda maana umeniachia pekee na umebaki ukinitazama!.
Wewe ni fahari kwangu maana umeonyesha tamanio lako kwangu!,japo unajitia ukaidi lkn nakuhakikishia grass lazima ipasuke!... Sikutishi bali nakuvuta kwasababu ulianza wewe kunivuta hivyo ninayo haja ya kung'ang'ania mvuto wako,maana ni muda sahihi na ni mtu sahihi pia..
Nisitie chumvi nyingi ikakulevya ukaja zimia nikakukosa haja wa moyo wangu!.. yamenitoka hayo machache Ila yatakuwa mazito ukizembea.
Ni mimi komamanga wako.
Nahisi Kama nina deni kwako haswa pale picha yako ikinijia usoni ni kama vile inaniambia "Ninayo Siri,Njoo uifunue!".
Labda nilikuuzi kwa ukomamanga wangu! Hope you know it,lkn sidhani kwa kiwango hicho unachofikiri!. Kitu usichokijua ni kuwa mwenzako nimekolea zaidi namaanisha vipimo vya penzi langu kwako vimeimalika zaidi!
Bado nafasi ya upendeleo ipo juu yako hata lile gurudumu tuliokuwa tukilisukuma hivi sasa limekuwa jepesi zaidi ila linanishinda maana umeniachia pekee na umebaki ukinitazama!.
Wewe ni fahari kwangu maana umeonyesha tamanio lako kwangu!,japo unajitia ukaidi lkn nakuhakikishia grass lazima ipasuke!... Sikutishi bali nakuvuta kwasababu ulianza wewe kunivuta hivyo ninayo haja ya kung'ang'ania mvuto wako,maana ni muda sahihi na ni mtu sahihi pia..
Nisitie chumvi nyingi ikakulevya ukaja zimia nikakukosa haja wa moyo wangu!.. yamenitoka hayo machache Ila yatakuwa mazito ukizembea.
Ni mimi komamanga wako.