Moyo wangu ukimkumbuka una piga-Ppaah! Sijui kwanini

Moyo wangu ukimkumbuka una piga-Ppaah! Sijui kwanini

anti-Glazer

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2023
Posts
291
Reaction score
482
Kiufupi ni mwanamke niliempenda Sana. Niliingia gharama kadhaa kama vile saloon, kusomesha wanae, chakula na mahitaji kadhaa ya mavazi na Yale mengine ambayo huwez ukayazingatia kama mwenye jukumu lake.

Baadae alikuja kuona kwamba mumewe ambae hawajafunga ndoa, alihitaji asaidie kulea watoto wake watatu. Kwa maana kufunga ndoa. Nikasema ni jambo la heri, kilichoniuma alini block.

Inauma sana, na jiuliza kwanini

Moyo wangu ukimkumbuka una piga-Ppaah! Sijui kwanini Kwa kweli.

 
Kiufupi ni mwanamke niliempenda Sana. Niliingia gharama kadhaa kama vile saloon, kusomesha wanae, chakula na mahitaji kadhaa ya mavazi na Yale mengine ambayo huwez ukayazingatia kama mwenye jukumu lake.

Baadae alikuja kuona kwamba mumewe ambae hawajafunga ndoa, alihitaji asaidie kulea watoto wake watatu. Kwa maana kuffunga ndoa. Nikasema ni jambo la heri, kilichoniuma alini block.

Inauma sana, na jiuliza kwanini

Moyo wangu ukimkumbuka una piga-Ppaah! Sijui kwanini Kwa kweli.

Unasomeshaje watoto si wako mkuu endelea kuumia kwa maumivu uliojitakia hata kuhudumia hao watoto ni marufuku.
 
Alinifanya niwe mtu wa bia BIA BIA. Pesa zote ambazo niliacha kumhuddumia nikazihamishia bar. Nikawa mtu wa masanga Hadi nikaona nitakufa.

Nikaamua kuanza kula Malaya, mabar maid kula Kwa kwenda mbele lakini sijaona nafuu.

Niliambua kuwasha ndinga hadi kwake, Kwa kuwa haijui, nikawa napack pembeni mwa nyumba aliyopangisha, na tinted namsona TU akiingia na kutoka.
 
Alinifanya niwe mtu wa bia BIA BIA. Pesa zote ambazo niliacha kumhuddumia nikazihamishia bar. Nikawa mtu wa masanga Hadi nikaona nitakufa.

Nikaamua kuanza kula Malaya, mabar maid kula Kwa kwenda mbele lakini sijaona nafuu.

Niliambua kuwasha ndinga hadi kwake, Kwa kuwa haijui, nikawa napack pembeni mwa nyumba aliyopangisha, na tinted namsona TU akiingia na kutoka.
Aisee kweli mapenzi yanatesa watu 😂😂
Amehlo
 
Haikuishia hapo nikamtongoza make wa jirani yake, Kwa kuwa wanawake wanapenda magari, akaingia kingi, akawa ananipa taarifa za jirani Ake mama watatu. X wangu. Nikawa sikuwa na haja ya kumuungia Tena pale kwake. Jamaa aliyeamua kuishi ikawa majanga. Jamaa hatoi chochote, mama watatu akaanza kutafuta madanga.

Nikaonyeshwa danga lake na location, nikapanga na yule Dem twende location Yao, Pana kitu nataka tuongee nae lengo langu atuone tu aone wivu na iwe ndio mwisho na yule mwanamke jirani, maana najua ni sumu na bomu
 
Hayo ndo madhara ya kuingia Kwenye mahusiano ya watu, pole yako Anza mchakato wa kutafuta mwanamke mwingine.
 
Basi baa nikaaingia kwenye location tajwa na Dem wangu was muda akaja na ndani dakika chache mama watatu na danga lake wakazama. Ikawa macho kwa uso, nikaagiza mapombe Kwa fujo, Jager master, ma bia, ma Hennessy na dompo bas ili mradi. Mama watatu tunaangaliana na Mimi sipepesi macho akanipungia nikampungia wkt muda unakaribia mbili usiku nikampa ishara tukitane korido ya washroom akaja nikamuomba miadi akakubali.
 
Alinifanya niwe mtu wa bia BIA BIA. Pesa zote ambazo niliacha kumhuddumia nikazihamishia bar. Nikawa mtu wa masanga Hadi nikaona nitakufa.

Nikaamua kuanza kula Malaya, mabar maid kula Kwa kwenda mbele lakini sijaona nafuu.

Niliambua kuwasha ndinga hadi kwake, Kwa kuwa haijui, nikawa napack pembeni mwa nyumba aliyopangisha, na tinted namsona TU akiingia na kutoka.
Muda wa kufanya mambo yote hayo ulikuwa unautoa wapi, Mbona time iko very limited
 
Ukisikia paaa...ujue imekukosa aliyelenga hana shabaha....
 
Kukutana na mama watatu this time ndio ilikuwa mwisho wa kuonana tena na jirani mpelelezi. Nikipanga hivyo makusudi. Niliamua kuvunja benki kumpeleka hotel ya five star. Nilioanga kummaliza kabisa asibaki na wazo tena na aumie yeye. Nikimbebea laki 5 keshi, nguo zake, iphone matata.

Nilipanga nisimle. Bali tupate chakula pamoja.

Nilimuandalia risala matata sana. Na nilifanya kama zawadi na asininlock tumalizane kistaarabu.

Mzee ndani ya hotel ya kisasa, alipendeza lkn matamanio ssikuwa nayo Tena, kipengele cha mke was mtu aliyetorokwa na akarejea sikutaka kinihusu.

Baada ya kuingia nilimkaribisha akakaa tukakaa na mazingumzo yalianza.

Mimi. "" Nini sababu ya Kuni block"

Mama watatu. (Alijiumauma)..." Yule mjinga asiyejali alinibana Santa"

Mimi. "Pole" "shika hii " nikampa laki 5 keshi aka hamaki nikamuelezea.

"Sikutaka kukuchezea nilitaka tuishi tulee watoto na wengine ambao unhenizalia" " nilikisudia maisha yenye amani utulivu na matumaini, nilikubali ukalee wanao na tungeendelea kuwasiliana Kwa uzuri tu. Lkn uka ni block.

" ...Na Mimi nikaamua nipate wasaa TU nikupe zawadi nilizokuandalia, aunkuna ubaya..."

Mama watatu...(akaanza kulia)...nikamuacha aalie.


Kama dakika10 za kilio nikamtolea mazagazaga na nguo.

Akasimama akaanza kuja kwangu kama anataka Ani hug...

Nikamwambia tulia kwanza.
 
Chakula nilishatoa oda, menu ikaja tukapiga msosi. Akawa anapiga Kwa aibu na majonz ndani yake. Akachomekea mambo kadhaa nikamwambia asithubutu.... Atakuwa anatangatanga.

Ilikiwa hivi.

Mama wawili. 'mimi nataka niachane na yule mwanaume..'

Kimoyomoyo...nikawa najisemea hapa ningeingia Cha kike, huyu ni kunguru. Wakati nawaza hayo najaza vijiko na minyana mdomoni. Sikutaka kumsapoti Wala kuongea, nikawaza.....

Mimi.." niambie una mawazo Gani ya maisha Yako na watoto nk"

Mama watatu. "Sina"
Nikatukana kimoyomoyo
 
Mbona inakaribia kufanana na story of my life🤣 au basi.
 
Bwenge mtozeni tulia dawa intafuta ugonjwa. Ulipokua unatoa hizo huduma ulikua unategema nini as return?

Mwanamke humzalia mwanaume anaempenda, alimzalia anampenda na wewe ukajipenyeza kwa kumshawishi kumhudimia akazipuna akarudia anakopenda
🪓🪓🪓
 
Na bado haujadunda vizuri
1685797004899.png
 
Back
Top Bottom