Moyo wangu ukimkumbuka una piga-Ppaah! Sijui kwanini

🤦‍♀️
 
Unakuta wazazi wanaishi kwa shida unasomesha watoto wa mwanaume mwenzio
 
Tulikubaliana kwenye vikao vyetu ya kwamba kama mwenye mtoto/watoto yuko hai hakuna kuoa wala sogea tuishi.
Umetuangusha mkuu ila usiwaze funzo ushalipata so fanya kama umetoa sandakan tuu kwa viumbe wake utabarikiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…