Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
AHAHAA poa uniachie hapo kabao kamojaAhsante kwa ushauri, kesho Mei Mosi nitaliamsha, hahahahaha
hahahahaMpelekeee Condo*****ajue tu unataka mzigo
huyo jamaa hawezi kusimamisha kwa sasa bado ana msongo wa mawazo wa vyeti feki... 🙄😀😀Wewe mwambie tu akakugegede mpz ya siku hz hayahitaji mbwembwe zote hz unazoziwaza
Vyeti feki ameshamaliza mwaka mmoja tangu atimuliwe kazi. Kwa sasa yuko kwenye mfungo, ila nampenda sana hasa "kamzuzu" kale. na macho yake kama gololi fulani, hahahahahahaahhahahahhuyo jamaa hawezi kusimamisha kwa sasa bado ana msongo wa mawazo wa vyeti feki... 🙄😀😀
Nilidhani utanitaja mimi kumbe boda boda, Daah wacha tu nijitakie mfungo mwema..!!Moyo jamani moyo!!!
Mwenzenu nimetokea kumpenda Dreva wa Bodaboda hadi najisikia akili inadundadunda.
N mwanamme mpole, ana kamzuzu kwa mbali, mweusi, mnene kiasi, mrefu, akicheka ana kamwanya fulani hivi, jaman jamani mie yaani natamani kila mara nimuone tu japo kwa mbali.
Nimefanya upelelezi wangu, ni miongoni mwa wale watumishi waliopata dhahama ya vyeti feki.
Na yeye ananipenda ila hajawa direct. Jamani moyo huuu.
Nimewaza zawadi ya kumpa ili kuonesha nampenda ila bado sijafikia maamuzi sahihi. Nawaza nikamnunulie yale makoti yao mazito kama manne hivi, au nimnunulie boxer, au nimnunulie kadi.
Hebu nishaurini nimnunulie nini mimi huyu ndugu anayeutesa moyo wangu kama ishara ya kumuonesha kuwa nimekufa na kuoza hadi kunuka juu yake.
MBITIYAZA msaada mwenzio niko hoi kwa bodaboda
Moyo jamani moyo!!!
Mwenzenu nimetokea kumpenda Dreva wa Bodaboda hadi najisikia akili inadundadunda.
N mwanamme mpole, ana kamzuzu kwa mbali, mweusi, mnene kiasi, mrefu, akicheka ana kamwanya fulani hivi, jaman jamani mie yaani natamani kila mara nimuone tu japo kwa mbali.
Nimefanya upelelezi wangu, ni miongoni mwa wale watumishi waliopata dhahama ya vyeti feki.
Na yeye ananipenda ila hajawa direct. Jamani moyo huuu.
Nimewaza zawadi ya kumpa ili kuonesha nampenda ila bado sijafikia maamuzi sahihi. Nawaza nikamnunulie yale makoti yao mazito kama manne hivi, au nimnunulie boxer, au nimnunulie kadi.
Hebu nishaurini nimnunulie nini mimi huyu ndugu anayeutesa moyo wangu kama ishara ya kumuonesha kuwa nimekufa na kuoza hadi kunuka juu yake.
MBITIYAZA msaada mwenzio niko hoi kwa bodaboda
hahahahahahahahaahhhahahaNilidhani utanitaja mimi kumbe boda boda, Daah wacha tu nijitakie mfungo mwema..!!
kweli kabisa.Naona umetanguliza mambo ya vyeti feki...
Husijali hata boda boda tuna haki ya kupendwa na kupenda
Sawa sawa
Chombo cha motoBoxer nguo ya ndani au piki piki aina ya boxer?
Ngoja nikupe Like kama ulivyo ule uzi wakoMpanulie paja tu inatosha