Moyo wangu 'umemdondokea' huyu dreva wa Bodaboda

Moyo wangu 'umemdondokea' huyu dreva wa Bodaboda

huyo jamaa hawezi kusimamisha kwa sasa bado ana msongo wa mawazo wa vyeti feki... 🙄😀😀
Vyeti feki ameshamaliza mwaka mmoja tangu atimuliwe kazi. Kwa sasa yuko kwenye mfungo, ila nampenda sana hasa "kamzuzu" kale. na macho yake kama gololi fulani, hahahahahahaahhahahah
 
Moyo jamani moyo!!!

Mwenzenu nimetokea kumpenda Dreva wa Bodaboda hadi najisikia akili inadundadunda.
N mwanamme mpole, ana kamzuzu kwa mbali, mweusi, mnene kiasi, mrefu, akicheka ana kamwanya fulani hivi, jaman jamani mie yaani natamani kila mara nimuone tu japo kwa mbali.

Nimefanya upelelezi wangu, ni miongoni mwa wale watumishi waliopata dhahama ya vyeti feki.

Na yeye ananipenda ila hajawa direct. Jamani moyo huuu.

Nimewaza zawadi ya kumpa ili kuonesha nampenda ila bado sijafikia maamuzi sahihi. Nawaza nikamnunulie yale makoti yao mazito kama manne hivi, au nimnunulie boxer, au nimnunulie kadi.

Hebu nishaurini nimnunulie nini mimi huyu ndugu anayeutesa moyo wangu kama ishara ya kumuonesha kuwa nimekufa na kuoza hadi kunuka juu yake.

MBITIYAZA msaada mwenzio niko hoi kwa bodaboda
Nilidhani utanitaja mimi kumbe boda boda, Daah wacha tu nijitakie mfungo mwema..!!
 
Naona umetanguliza mambo ya vyeti feki...
Husijali hata boda boda tuna haki ya kupendwa na kupenda
 
Moyo jamani moyo!!!

Mwenzenu nimetokea kumpenda Dreva wa Bodaboda hadi najisikia akili inadundadunda.
N mwanamme mpole, ana kamzuzu kwa mbali, mweusi, mnene kiasi, mrefu, akicheka ana kamwanya fulani hivi, jaman jamani mie yaani natamani kila mara nimuone tu japo kwa mbali.

Nimefanya upelelezi wangu, ni miongoni mwa wale watumishi waliopata dhahama ya vyeti feki.

Na yeye ananipenda ila hajawa direct. Jamani moyo huuu.

Nimewaza zawadi ya kumpa ili kuonesha nampenda ila bado sijafikia maamuzi sahihi. Nawaza nikamnunulie yale makoti yao mazito kama manne hivi, au nimnunulie boxer, au nimnunulie kadi.

Hebu nishaurini nimnunulie nini mimi huyu ndugu anayeutesa moyo wangu kama ishara ya kumuonesha kuwa nimekufa na kuoza hadi kunuka juu yake.

MBITIYAZA msaada mwenzio niko hoi kwa bodaboda

Msaada mkuu wewe ruka nae tu huyo TISS hakuna namna
 
Back
Top Bottom