Unanitekenya kwenye shingo na sehemu zingine, ni mzuri sana huo ujue hasa ukipata mmiliki anayejua kutumia. halafu faida nyingine ya mzuzu, mfano kama ni mwanamme ambaye anapenda kutembelea wilaya ya Uvinza kule Kigoma, ooooooooooooooooooooooooooooooooooooops! nimeshindwa kukuelezea hapo inavyokuwa!!!aah mi nikajua mzuzu wa chini bna.sasa mzuzu huo una faida gani na wewe acha ujinga ushalogwa wewe
hahahaah,huwa situmii sana usafiri wa bodaboda mieUnataka awe anakubeba bure tu..[emoji3][emoji3][emoji3]mafut bei juu
haha nimejiteka shoga...yaan naona sion raha yyt ile zaid ya kujiteka mwenyew... raha zikiisha narudi kwa kasi sana tu nipo MngetaaaSiku hizi umeadimika!
Kaambiwa Mbitiyanza...mnunulie andasketi
Asante Mungu ni mimi huyo wala haukosea wasifu wangu.Moyo jamani moyo!!!
Mwenzenu nimetokea kumpenda Dreva wa Bodaboda hadi najisikia akili inadundadunda.
N mwanamme mpole, ana kamzuzu kwa mbali, mweusi, mnene kiasi, mrefu, akicheka ana kamwanya fulani hivi, jaman jamani mie yaani natamani kila mara nimuone tu japo kwa mbali.
Nimefanya upelelezi wangu, ni miongoni mwa wale watumishi waliopata dhahama ya vyeti feki.
Na yeye ananipenda ila hajawa direct. Jamani moyo huuu.
Nimewaza zawadi ya kumpa ili kuonesha nampenda ila bado sijafikia maamuzi sahihi. Nawaza nikamnunulie yale makoti yao mazito kama manne hivi, au nimnunulie boxer, au nimnunulie kadi.
Hebu nishaurini nimnunulie nini mimi huyu ndugu anayeutesa moyo wangu kama ishara ya kumuonesha kuwa nimekufa na kuoza hadi kunuka juu yake.
MBITIYAZA msaada mwenzio niko hoi kwa bodaboda
hahahahah, je utakuwa tayari kuwa na mimi katika shida na raha kama ilivyo ID yako? Shida na raha?Asante Mungu ni mimi huyo wala haukosea wasifu wangu.
hahahahah, ulijiteka. hahahahaahahaha.haha nimejiteka shoga...yaan naona sion raha yyt ile zaid ya kujiteka mwenyew... raha zikiisha narudi kwa kasi sana tu nipo Mngetaaa
hahahahah, ulijiteka. hahahahaahahaha.
Tatizo ni mume wa mtu, so be careful
Karibu sana.shoga nakuja pasaka... nahis harufu ya safari hapa
Unamjua kwani?Tatizo ni mume wa mtu, so be careful
asanteeKaribu sana.
Ila kweli lakini!!!!mnunulie bajaj
Namjua sanaaa, kaa mbali unless unataka kuwa mke mwenzaUnamjua kwani?