Moyo wangu 'umemdondokea' huyu dreva wa Bodaboda

Moyo wangu 'umemdondokea' huyu dreva wa Bodaboda

Mkuu hilo neno si ungelivalisha cover angalau!!!!!!
hiyo inaitwa "sikufichi language"....ndo lugha wahuni wanayotumia na wewe umempenda mhuni,jiandae kusikia lugha pale mhuni akiomba papachu
 
Mhhh! Sikujua kama kuna Wanawake wanaweza kumzimia njemba kiasi hiki miaka hii ya utandawazi. Usisahau mrejesho ukishamuweka kwenya himaya yako na kapicha katapendeza ili nasi tuone kamzuzu, weusi wake na mwanya I hope ni mwanya wa kuzaliwa na si wa kuchonga lol! Hukodi boda boda nyingine siku hizi weye na mwenye kamzuzu tu! hahahaha

Moyo jamani moyo!!!

Mwenzenu nimetokea kumpenda Dreva wa Bodaboda hadi najisikia akili inadundadunda.
N mwanamme mpole, ana kamzuzu kwa mbali, mweusi, mnene kiasi, mrefu, akicheka ana kamwanya fulani hivi, jaman jamani mie yaani natamani kila mara nimuone tu japo kwa mbali.

Nimefanya upelelezi wangu, ni miongoni mwa wale watumishi waliopata dhahama ya vyeti feki.

Na yeye ananipenda ila hajawa direct. Jamani moyo huuu.

Nimewaza zawadi ya kumpa ili kuonesha nampenda ila bado sijafikia maamuzi sahihi. Nawaza nikamnunulie yale makoti yao mazito kama manne hivi, au nimnunulie boxer, au nimnunulie kadi.

Hebu nishaurini nimnunulie nini mimi huyu ndugu anayeutesa moyo wangu kama ishara ya kumuonesha kuwa nimekufa na kuoza hadi kunuka juu yake.

MBITIYAZA msaada mwenzio niko hoi kwa bodaboda
 
Mhhh! Sikujua kama kuna Wanawake wanaweza kumzimia njemba kiasi hiki miaka hii ya utandawazi. Usisahau mrejesho ukishamuweka kwenya himaya yako na kapicha katapendeza ili nasi tuone kamzuzu, weusi wake na mwanya I hope ni mwanya wa kuzaliwa na si wa kuchonga lol! Hukodi boda boda nyingine siku hizi weye na mwenye kamzuzu tu! hahahaha
Ukiwa na kamzuzu na mwanya itapendeza Mkuu 🙂🙂
He he he he
Mkuu huyu anapenda wenye vitambi mkuu.
😛😀😛😀😛😀
 
Back
Top Bottom