G.T.L
JF-Expert Member
- Jul 15, 2012
- 1,254
- 2,519
Kanashimi I assure you, HIV is No longer an issue to worry to that extent.
Nimehudumia wateja wa HIV for about 8 yrs now.
Ninachokijua akilini mwako umejawa simanzi zito ukiwaza kwamba unaenda kumpoteza mama hivi karibuni. Lakini nakuhakikishia haotokuwa hivyo unavyowaza endapo mama ataanza Clinic haraka na kutumia dawa kwa ufuasi mzuri kabla hajaendelea kuadvance kwenye AIDS.
Kuna ndugu zetu hapo juu wamejitolea kukusaidia katika hili, jaribu kuwapa nafasi na ikitokea unahitaji msaada zaidi nitaku Link na Nurse mmoja ambaye ni Mmama wa 53 yrs ameishi na HIV for over 15 yrs na yuko Healthy kuzidi hata wasio na HIV atamsaidia kwa mambo kadhaa freely na vile ni Mmama mwenzie itafit zaidi.
Nimehudumia wateja wa HIV for about 8 yrs now.
Ninachokijua akilini mwako umejawa simanzi zito ukiwaza kwamba unaenda kumpoteza mama hivi karibuni. Lakini nakuhakikishia haotokuwa hivyo unavyowaza endapo mama ataanza Clinic haraka na kutumia dawa kwa ufuasi mzuri kabla hajaendelea kuadvance kwenye AIDS.
Kuna ndugu zetu hapo juu wamejitolea kukusaidia katika hili, jaribu kuwapa nafasi na ikitokea unahitaji msaada zaidi nitaku Link na Nurse mmoja ambaye ni Mmama wa 53 yrs ameishi na HIV for over 15 yrs na yuko Healthy kuzidi hata wasio na HIV atamsaidia kwa mambo kadhaa freely na vile ni Mmama mwenzie itafit zaidi.