Mpa mzumbe , dodoma

Mpa mzumbe , dodoma

Masiya

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
7,602
Reaction score
7,332
Niombe ushauri kutoka kwa wale waliopitia programs hizo au wenye uelewa wa hivyo vyuo na MPA zao. Nia yangu si-kushindanisha vyuo bali nataka kujua kwa kila chuo naweza kutarajia kupata walimu wazuri wa kutosha kufundisha hizo course na pia kusimamia dissertation work? Si jali kama hao walimu wana masters tu au zaidi bora wawe na experience ya kutosha. Niko​ tayari kufanya kazi.
 
Ni kweli MPA- ni Master in Public Administration.
 
Back
Top Bottom