Mpaka awamu hii kuisha, nadhani Zanzibar itakuwa nchi iliyoendelea zaidi Afrika Mashariki

Mpaka awamu hii kuisha, nadhani Zanzibar itakuwa nchi iliyoendelea zaidi Afrika Mashariki

Red Giant

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2012
Posts
15,657
Reaction score
20,967
Kwanza kwa sasa wana Rais anayejielewa sana. Si mtu wa blah blah. Na pili wanatengewa pesa nyingi sana za maendeleo. Nimesikia wametengewa bilioni 250 ya pesa za Covid.

Ni pesa inayoweza kufanya makubwa sana ukizingatia kuwa Zanzibar ni nchi ndogo na yenye watu wachache sana.

Zanzibar isipoendelea awamu hii haitakuja kuendelea tena.
 
Ni vizuri kuona miundombinu yao iko vizuri na Mwinyi anaipaisha sana
Nimeona na Pemba inakuja kwa kasi

Itakuwa visiwa vya utalii haswa na sasa vijana wengi wanaenda visiwani kutafuta ajira baada ya wamachinga wengi kukosa ajira
 
naukizingatia rais wa jamuhuri ni wa huko na kwa muda mrefu wamekua wakilalamika kuonewa katika equal distributtion ya misaada ya nje lazima ipate maendeleo makubwa ukizingatia idadi ya watu na udogo zanzibar ki geographia.
 
Wazanzibar wajinga wenyewe. Hiyo nchi ingekuwa mbali sana kitambo wangeachana na mambo ya bara ya kiccm kiccm. Wangejitenga kitambo wangekuwa mbali sana. Pesa kwao za waarabu ziko nje nje. Wanapigwa pin tu na miccm
 
Kwanza kwa sasa wana rais anayejielewa sana. Si mtu wa blah blah. Na pili wanatengewa pesa nyingi sana za maendeleo. Nimesikia wametengewa bilioni 250 ya pesa za Covid.

Ni pesa inayoweza kufanya makubwa sana ukizingatia kuwa Zanzibar ni nchi ndogo na yenye watu wachache sana.

Zanzibar isipoendelea awamu hii haitakuja kuendelea tena.
Zanzibar ni mambo ya kiamiami na ujamaa ndio vinawaangusha ila kama wangekuwa wabepari pure isee kile kisiwa kingeng'aaaa kwa utalii duniani..

Bado hawajachelewa mhe. mwinyi ni mtu mwenye exposure Sana angekuwa huku kwetu pia angetupaisha mara mbili zaidi ..kidogo namfananisha na January makamba kwenye utendaji..
 
Yeap itakuwa ni mwanzo mzuri wao wao kuamka na kujitenga na koloni la nchi ya kusadikika
 
Kwanza kwa sasa wana rais anayejielewa sana. Si mtu wa blah blah. Na pili wanatengewa pesa nyingi sana za maendeleo. Nimesikia wametengewa bilioni 250 ya pesa za Covid.

Ni pesa inayoweza kufanya makubwa sana ukizingatia kuwa Zanzibar ni nchi ndogo na yenye watu wachache sana.

Zanzibar isipoendelea awamu hii haitakuja kuendelea tena.
Mkopo tunalipa bara wao wanapewa bure, huu muungano uvunjwe
 
Sio zanzibar sema unguja pemba watabaki kindezi tu
 
Raisi anaweza akawa na nia njema kweli ila mambo mawili yatamkwamisha tu

1. Kuwa Mwana CCM tu ni tatizo sababu hiki chama kama kina laana ivi

2. Wana CCM wa Zanzibar wabinafsi sana na hao ndo wapinzani wake wakuu kabla ya wapinzani

UKWELI MTUPU
 
Zanzibar ni mambo ya kiamiami na ujamaa ndio vinawaangusha ila kama wangekuwa wabepari pure isee kile kisiwa kingeng'aaaa kwa utalii duniani..

Bado hawajachelewa mhe. mwinyi ni mtu mwenye exposure Sana angekuwa huku kwetu pia angetupaisha mara mbili zaidi ..kidogo namfananisha na January makamba kwenye utendaji..
Duuh aisee Januari naye ni kiongozi?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kwanza kwa sasa wana rais anayejielewa sana. Si mtu wa blah blah. Na pili wanatengewa pesa nyingi sana za maendeleo. Nimesikia wametengewa bilioni 250 ya pesa za Covid.

Ni pesa inayoweza kufanya makubwa sana ukizingatia kuwa Zanzibar ni nchi ndogo na yenye watu wachache sana.

Zanzibar isipoendelea awamu hii haitakuja kuendelea tena.
Tukiwa PUB nilipata kumsikia mtumishi mmoja aliyefanya kazi na Dr.Hussein Mwinyi pale Ngome ya jeshi akiwa waziri wa ulinzi kuwa walikuwa wanashangazwa Sana na UADILIFU wake mkubwa.....anasema kuwa mh.Dr Mwinyi hakuwahi hata "kuchukua kalamu ya ofisi"👏👏👏

Kila la heri kwa mh.Rais Dr.Mwinyi aaaamin aaaaamin🙏

SIEMPRE JMT
 
Kwanza kwa sasa wana rais anayejielewa sana. Si mtu wa blah blah. Na pili wanatengewa pesa nyingi sana za maendeleo. Nimesikia wametengewa bilioni 250 ya pesa za Covid.

Ni pesa inayoweza kufanya makubwa sana ukizingatia kuwa Zanzibar ni nchi ndogo na yenye watu wachache sana.

Zanzibar isipoendelea awamu hii haitakuja kuendelea tena.
😍
 
Kwanza kwa sasa wana rais anayejielewa sana. Si mtu wa blah blah. Na pili wanatengewa pesa nyingi sana za maendeleo. Nimesikia wametengewa bilioni 250 ya pesa za Covid.

Ni pesa inayoweza kufanya makubwa sana ukizingatia kuwa Zanzibar ni nchi ndogo na yenye watu wachache sana.

Zanzibar isipoendelea awamu hii haitakuja kuendelea tena.
Na hakuma kisiwa duniani kikawa masikini isipokuwa Ni Zanzibar pekee.
 
Back
Top Bottom