Zanzibar ni mambo ya kiamiami na ujamaa ndio vinawaangusha ila kama wangekuwa wabepari pure isee kile kisiwa kingeng'aaaa kwa utalii duniani..Kwanza kwa sasa wana rais anayejielewa sana. Si mtu wa blah blah. Na pili wanatengewa pesa nyingi sana za maendeleo. Nimesikia wametengewa bilioni 250 ya pesa za Covid.
Ni pesa inayoweza kufanya makubwa sana ukizingatia kuwa Zanzibar ni nchi ndogo na yenye watu wachache sana.
Zanzibar isipoendelea awamu hii haitakuja kuendelea tena.
Mkopo tunalipa bara wao wanapewa bure, huu muungano uvunjweKwanza kwa sasa wana rais anayejielewa sana. Si mtu wa blah blah. Na pili wanatengewa pesa nyingi sana za maendeleo. Nimesikia wametengewa bilioni 250 ya pesa za Covid.
Ni pesa inayoweza kufanya makubwa sana ukizingatia kuwa Zanzibar ni nchi ndogo na yenye watu wachache sana.
Zanzibar isipoendelea awamu hii haitakuja kuendelea tena.
Raisi anaweza akawa na nia njema kweli ila mambo mawili yatamkwamisha tu
1. Kuwa Mwana CCM tu ni tatizo sababu hiki chama kama kina laana ivi
2. Wana CCM wa Zanzibar wabinafsi sana na hao ndo wapinzani wake wakuu kabla ya wapinzani
Duuh aisee Januari naye ni kiongozi?Zanzibar ni mambo ya kiamiami na ujamaa ndio vinawaangusha ila kama wangekuwa wabepari pure isee kile kisiwa kingeng'aaaa kwa utalii duniani..
Bado hawajachelewa mhe. mwinyi ni mtu mwenye exposure Sana angekuwa huku kwetu pia angetupaisha mara mbili zaidi ..kidogo namfananisha na January makamba kwenye utendaji..
Tukiwa PUB nilipata kumsikia mtumishi mmoja aliyefanya kazi na Dr.Hussein Mwinyi pale Ngome ya jeshi akiwa waziri wa ulinzi kuwa walikuwa wanashangazwa Sana na UADILIFU wake mkubwa.....anasema kuwa mh.Dr Mwinyi hakuwahi hata "kuchukua kalamu ya ofisi"πππKwanza kwa sasa wana rais anayejielewa sana. Si mtu wa blah blah. Na pili wanatengewa pesa nyingi sana za maendeleo. Nimesikia wametengewa bilioni 250 ya pesa za Covid.
Ni pesa inayoweza kufanya makubwa sana ukizingatia kuwa Zanzibar ni nchi ndogo na yenye watu wachache sana.
Zanzibar isipoendelea awamu hii haitakuja kuendelea tena.
πKwanza kwa sasa wana rais anayejielewa sana. Si mtu wa blah blah. Na pili wanatengewa pesa nyingi sana za maendeleo. Nimesikia wametengewa bilioni 250 ya pesa za Covid.
Ni pesa inayoweza kufanya makubwa sana ukizingatia kuwa Zanzibar ni nchi ndogo na yenye watu wachache sana.
Zanzibar isipoendelea awamu hii haitakuja kuendelea tena.
Na hakuma kisiwa duniani kikawa masikini isipokuwa Ni Zanzibar pekee.Kwanza kwa sasa wana rais anayejielewa sana. Si mtu wa blah blah. Na pili wanatengewa pesa nyingi sana za maendeleo. Nimesikia wametengewa bilioni 250 ya pesa za Covid.
Ni pesa inayoweza kufanya makubwa sana ukizingatia kuwa Zanzibar ni nchi ndogo na yenye watu wachache sana.
Zanzibar isipoendelea awamu hii haitakuja kuendelea tena.
Kwa nini si kiongozi?!!!π³
Wewe jamaa mmimi ,mbinafsi na mbaguzi sana kwa Wazanzibari.....huwenda umejaa upotoshaji mwingi kichwani mwako.....Mkopo tunalipa bara wao wanapewa bure, huu muungano uvunjwe
πZanzibar ikiendelea ni maendeleo kwa Tanzania. Sehemu yoyote ya Tanzania ikiendelea ni furaha kwa watanzania wote.