Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
- Thread starter
-
- #41
Kisayansi tujadiliane hapa kwa data. Leta zako nami nilete zangu. Hii dunia ya sasa inataka data tu.basi.Wengi anakupita na 160kph baada ya dakika chache unamkuta kanasa nyuma ya malori au kadakwa na polisi. Kwenye mafuta anaenda 160kph na 110kph kuna tofauti kubwa hata ukiweka factors mbalimbali.
Tatizo siku hizi umebadilika kutoka Komeo Lachuma na kuwa komeo la mbao!Kwa nini unalinganisha vitu viwili ambavyo havifanani?Unaijua sayansi ya kulinganisha vitu?Nonsense. Kuna ambao wanaendesha baiskel speed 20km/hr na wanapata ajali. Na wengine wanatembea tu.
Hujapata point sio?Kuna mtu ananasa nyuma ya lorry na alikuwa anaendesha 80kms. Yaani bado si kigezo. Uendeshaji ni kuwa smart kujua wapi uende speed 50 na wapi uende 100 au wapi uende 60 na wapi uende 140 its all about science and art all together.
Hapo kwenye kukalia tako moja nimecheka haswaa..!!Speed meter/Odometer inakuwa katikati kwenye dashboard. Ili iweje sasa? Mambo mengine ya hovyo tu mi naona.
Kuna gari za Japan nmeona zina hiyo kitu. Leo nlikuwa na jamaa yangu kaomba nimsaidie kumfikisha Dodoma kwa gari yake sababu nami nlikuwa naelekea huko. Nikamwambia hamna shida kwa kuwa mimi sitopata usumbufu wa Traffic njiani
Nmeshika usukani gari lake Toyota Rumion speed meter/odometer ni kama matangazo kila mtu anaona.
Nakanyanga ikifika 160 kms/hr jamaa akiangalia pale kwenye meter anakalia tako moja anashikilia kiti huku amekodoa macho. Mwoga.anasema amewahi kimbiza sana gari akafikisha speed 100 kms/hr.
Kiukweli imenifanya nikose amani sababu kwa watu waoga wanasumbua sana. Ni bora niwe najionea mwenyewe abiria asijue.
Tulifika salama na jamaa ameshukuru. Ila wajapan waache kuwaambia watoto wao kutengeneza magari. Wawe serious. Hi designing nyingine sielewi walifikiria nini.
Siyo garantii..!!! unaweza nasa nyuma ya roli hata kwa 40kphWengi anakupita na 160kph baada ya dakika chache unamkuta kanasa nyuma ya malori au kadakwa na polisi. Kwenye mafuta anaenda 160kph na 110kph kuna tofauti kubwa hata ukiweka factors mbalimbali.
kwenye barabara za mkoa mmoja kwenda mwingine, kama barabara naijuia, break ziko vizuri na gari nimeizoea ipo kwenye damu, huwa natembea 130 hadi 140 mwisho. sijawahi kuvuka 150kph tangu nianze kuandesha magari. ila ile kutembea 80 au 100 huwa naona usumbufu na gari haileti raha. 120 kwangu ni kawaida sana.Dah ata mimi ukifika 120km/hr nakushusha kama ni dereva wangu. Sina haraka ya kumuona muumba wangu.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kuna gari hata wangezificha chini ya siti ukienda speed abiria utajua tu. Maana ikifika 80 tu mawimbi kidogo huko ndani utadhani mnaingia sayari ya Venus au kwenye dhoruba ya Jupiter.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Uko kama mimi mkuu,ujasiri wa ujana umeniisha kabisa...Nilipokua kijana nilikua nakaa 160 km/hr kama cruising speed, nimezeeka sasa regardless of type of vehicle max speed is 110km/hr
We mwanamke yaelekea ulikeketwa na chupa, hizo stress sio za kawaidaTumia limao/ndimu vitakusaidia sana kuondoa hiyo hali ya kichefu chefu. Pia epuka kujihusisha na mambo yasiyokuhusu. Kaa jikoni au chumbani pumzika. Mambo ya wanaume wengi yatakuchanganya. Kwa mfano huu uzi ungeachana nao coz unahusu mambo ya kiume.
Dah ata mimi ukifika 120km/hr nakushusha kama ni dereva wangu. Sina haraka ya kumuona muumba wangu.
Tumia limao/ndimu vitakusaidia sana kuondoa hiyo hali ya kichefu chefu. Pia epuka kujihusisha na mambo yasiyokuhusu. Kaa jikoni au chumbani pumzika. Mambo ya wanaume wengi yatakuchanganya. Kwa mfano huu uzi ungeachana nao coz unahusu mambo ya kiume.We mwanamke yaelekea ulikeketwa na chupa, hizo stress sio za kawaida
Yote maisha tu wengine tunajipinda kwenye PC kuendesha yale ya Need for SpeedJf 98% tunamiliki ndinga ushahidi ni nyuzi Kama hizi
Pumzisha matiti mtoto wa kikeTumia limao/ndimu vitakusaidia sana kuondoa hiyo hali ya kichefu chefu. Pia epuka kujihusisha na mambo yasiyokuhusu. Kaa jikoni au chumbani pumzika. Mambo ya wanaume wengi yatakuchanganya. Kwa mfano huu uzi ungeachana nao coz unahusu mambo ya kiume.
Basi kama sio mvaa buti wewe utakuwa kiongozi mkubwa sana kwa hao wavaa butiAcha kunichafua wewe....
Tumia limao/ndimu vitakusaidia sana kuondoa hiyo hali ya kichefu chefu. Pia epuka kujihusisha na mambo yasiyokuhusu. Kaa jikoni au chumbani pumzika. Mambo ya wanaume wengi yatakuchanganya. Kwa mfano huu uzi ungeachana nao coz unahusu mambo ya kiumePumzisha matiti mtoto wa kike