Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
- Thread starter
- #61
I am Nobody.Basi kama sio mvaa buti wewe utakuwa kiongozi mkubwa sana kwa hao wavaa buti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I am Nobody.Basi kama sio mvaa buti wewe utakuwa kiongozi mkubwa sana kwa hao wavaa buti
Si kweli.... Huu ni upotoshaji....Kichekesho sasa kama mnaenda Dar-Moshi wewe unatembea 110kph huyo anaeenda 160kph anakuzidi dakika zisizozidi 20 hivi na lita nyingi za petrol.
Sawa Sawa mkuuI am Nobody.
Naomba nikusahihishe mkuu sio gari za mjapani tu ndo zina Speedometer ambayo ipo katikati kuna gari za mzungu pia zina speedometer ipo katikati hivyo hivyo mfano mzuri ni MinicooperSpeed meter/Odometer inakuwa katikati kwenye dashboard. Ili iweje sasa? Mambo mengine ya hovyo tu mi naona.
Kuna gari za Japan nmeona zina hiyo kitu. Leo nlikuwa na jamaa yangu kaomba nimsaidie kumfikisha Dodoma kwa gari yake sababu nami nlikuwa naelekea huko. Nikamwambia hamna shida kwa kuwa mimi sitopata usumbufu wa Traffic njiani
Nmeshika usukani gari lake Toyota Rumion speed meter/odometer ni kama matangazo kila mtu anaona.
Nakanyanga ikifika 160 kms/hr jamaa akiangalia pale kwenye meter anakalia tako moja anashikilia kiti huku amekodoa macho. Mwoga.anasema amewahi kimbiza sana gari akafikisha speed 100 kms/hr.
Kiukweli imenifanya nikose amani sababu kwa watu waoga wanasumbua sana. Ni bora niwe najionea mwenyewe abiria asijue.
Tulifika salama na jamaa ameshukuru. Ila wajapan waache kuwaambia watoto wao kutengeneza magari. Wawe serious. Hi designing nyingine sielewi walifikiria nini.
.Speed meter/Odometer inakuwa katikati kwenye dashboard. Ili iweje sasa? Mambo mengine ya hovyo tu mi naona.
Kuna gari za Japan nmeona zina hiyo kitu. Leo nlikuwa na jamaa yangu kaomba nimsaidie kumfikisha Dodoma kwa gari yake sababu nami nlikuwa naelekea huko. Nikamwambia hamna shida kwa kuwa mimi sitopata usumbufu wa Traffic njiani
Nmeshika usukani gari lake Toyota Rumion speed meter/odometer ni kama matangazo kila mtu anaona.
Nakanyanga ikifika 160 kms/hr jamaa akiangalia pale kwenye meter anakalia tako moja anashikilia kiti huku amekodoa macho. Mwoga.anasema amewahi kimbiza sana gari akafikisha speed 100 kms/hr.
Kiukweli imenifanya nikose amani sababu kwa watu waoga wanasumbua sana. Ni bora niwe najionea mwenyewe abiria asijue.
Tulifika salama na jamaa ameshukuru. Ila wajapan waache kuwaambia watoto wao kutengeneza magari. Wawe serious. Hi designing nyingine sielewi walifikiria nini.
Speed 160km/hr ni hatari sana mkuu kwa barabara zetu hiziSpeed meter/Odometer inakuwa katikati kwenye dashboard. Ili iweje sasa? Mambo mengine ya hovyo tu mi naona.
Kuna gari za Japan nmeona zina hiyo kitu. Leo nlikuwa na jamaa yangu kaomba nimsaidie kumfikisha Dodoma kwa gari yake sababu nami nlikuwa naelekea huko. Nikamwambia hamna shida kwa kuwa mimi sitopata usumbufu wa Traffic njiani
Nmeshika usukani gari lake Toyota Rumion speed meter/odometer ni kama matangazo kila mtu anaona.
Nakanyanga ikifika 160 kms/hr jamaa akiangalia pale kwenye meter anakalia tako moja anashikilia kiti huku amekodoa macho. Mwoga.anasema amewahi kimbiza sana gari akafikisha speed 100 kms/hr.
Kiukweli imenifanya nikose amani sababu kwa watu waoga wanasumbua sana. Ni bora niwe najionea mwenyewe abiria asijue.
Tulifika salama na jamaa ameshukuru. Ila wajapan waache kuwaambia watoto wao kutengeneza magari. Wawe serious. Hi designing nyingine sielewi walifikiria nini.
Daah....gazeti....kila mtu aone? Hii gari kali design katoto ka kizungu....😀Naomba nikusahihishe mkuu sio gari za mjapani tu ndo zina Speedometer ambayo ipo katikati kuna gari za mzungu pia zina speedometer ipo katikati hivyo hivyo mfano mzuri ni MinicooperView attachment 1874175
Kuna maeneo inakubali vizuri kabisa. Si kila sehemuSpeed 160km/hr ni hatari sana mkuu kwa barabara zetu hizi
Mini cooper hiyoDaah....gazeti....kila mtu aone? Hii gari kali design katoto ka kizungu....[emoji3]
Acha porojo na sifa za Kishamba wakati wa Ujana wako ulikuwa lini na enzi hizo gari gani ilikuwa inaenda 200KpH kwa barabara zipi na ulikuwa na uwezo wa kuimiliki acha tu kuiomba uendeshe? Anyway basi wewe ndiye Mwamba wa Maspidi Hapa JF sifa kwako Mr misifa!Mimi nilipokuwa kijana nlikuwa sehemu nyingine nafika 180-200 kwa sasa na uzee huu naendesha 100-160
Dada umekasirika bure tu. Miaka yetu barabara hazikuwa na traffic jam kiasi cha sasa. Tumeendesha benz zina speed mpaka 220-240 we unashangaa kusikia gari zina speed 200?nyie madogo wa siku hizi mnajisahau sana. Sikulaumu lakini.Acha porojo na sifa za Kishamba wakati wa Ujana wako ulikuwa lini na enzi hizo gari gani ilikuwa inaenda 200KpH kwa barabara zipi na ulikuwa na uwezo wa kuimiliki acha tu kuiomba uendeshe? Anyway basi wewe ndiye Mwamba wa Maspidi Hapa JF sifa kwako Mr misifa!
Sasa kama unajua we si Mjapan kwa nini umejibu? Si ungepita tu kushotoLengo la uzi ni lipi?
Si uingie kwenye web ya TOYOTA utoe maoni yako huko upate majibu yao?
Sisi ni Wajapani?
Una uzoefu sana. Ulishapona lakini?We mwanamke yaelekea ulikeketwa na chupa, hizo stress sio za kawaida
[emoji23][emoji23][emoji23] gari gani hiyo, labda tuanzie hapoMimi sipend kiendesha gari yangu kwanini wadau
Ila umemtusi bila kosa mshikaji,Acha porojo na sifa za Kishamba wakati wa Ujana wako ulikuwa lini na enzi hizo gari gani ilikuwa inaenda 200KpH kwa barabara zipi na ulikuwa na uwezo wa kuimiliki acha tu kuiomba uendeshe? Anyway basi wewe ndiye Mwamba wa Maspidi Hapa JF sifa kwako Mr misifa!