Asha Abdala
JF-Expert Member
- Mar 21, 2007
- 1,130
- 45
- Thread starter
-
- #121
Dada Asha,
Bibie upo sawa huku juu kabisa ya mwili?
Ila sijui utabadili jinsia?
Fair Player
Mwanitafuta? ...Ni mimi!
I know most of you in here by names and I will expose you all.
1. Kitila Mkumbo is Mbarouk Masauni from Zanzibar
2. Kuhani or Kuhani Mkuu is repoetr Charles Charles
3. FMES is Prince Bagenda
4. Mwanakijiji is Shyrose Bhanji
5. Rev. Kishoka is Christopher Mtikila
6. Nyani Ngabu is Hussein Mwinyi
7. Pundit is Makwaia Kuhenga
8. Bubu ataka Kusema is James Mbatia
9. JMushi is Lazaro Nyalandu
10. Nyama Choma is Rostam Aziz!
There I have exposed just a few that I know, je mnafurahi au mnataka kumjua Asha Abdallah who is Teddy Kasela Bantu na Mpaka Kieleweke ambaye ni Laurence Masha?
Who is next? Kichuguu, you mean John Magufuli or YourNameIsMine Johnson Lukaza?
wakati Chinga alianzisha uzushi kwamba Mbowe ni Philimom Michael, Bwana FMES yeye ameanzisha Mpaka Kieleweke ni Mbowe. Nimekuwa nikifuatilia mienendo na michango ya watu hawa wawili na napenda niweke wazi kwamba hakuna Mbowe kati ya watu hao wawili.
1. Umesema kwamba post yangu ya kwanza humu nilitukana wanaCCM. Mwongo kabisa, na ushahidi uko humu humu. Bonyeza tu all my post uangalie post yangu ya kwanza.
2. Umesema mimi nimetoa matusi makubwa kwa Chinga na ameanza kuzungumzia oohh magoro ooh Kikwete ooh whatever, sasa vuta kumbukumbu humu uone ni nani alianza matusi kwa Chinga utakuta sio mimi. Uwongo mwingine.
3. Unakanusha kwamba wewe ndio hukuanza siku nyingi zilizopita nadhani kwenye mjadala wa ile thread ya Chama Cha Mafisadi au nyingine kuanza kusema kwamba unajua Asha Abdala ni nani. Uongo mwingine. Ukweli ni kuwa wewe ndiye uliyeanza na umefanya hivyo takribani mara tatu.
4. Umesema kwamba CHADEMA sio threat kabisa kwa CCM. Uongo mwingine
Kwa hiyo yanapokuja masuala ya Asha Abdala wewe ni muongo muongo tu. Unakuwa mkweli unapozungumzia dataz za mambo unayojua tu. Nakuheshimu katika michango yako mingine humu. Lakini katika hili unajaribu kurusha ngumi kwenye upepo!
wakati Chinga alianzisha uzushi kwamba Mbowe ni Philimom Michael, Bwana FMES yeye ameanzisha Mpaka Kieleweke ni Mbowe. Nimekuwa nikifuatilia mienendo na michango ya watu hawa wawili na napenda niweke wazi kwamba hakuna Mbowe kati ya watu hao wawili.
Field Marshall ES Field Marshall ES has no status. Edit
JF Senior & Premium Member Join Date: Wed Apr 2006
Re: Breaking News-CHADEMA wamsimamisha Chacha Wangwe .
Mkuu Kieleweke,
Sina uhakika kama jibu lako linajibu swali la alert iliyotolewa na Chinga, toka mwezi wa March on ishu hii ambayo imekuja kutokea kama alivyotabiri mapema,
Lakini anyway, mimi ninawa-support wale wanaotaka kutuletea mabadilko kwa taifa letu, bila ya kujali sauti hizo zinatokea wapi, kama ni CCM au Chadema au upinzani in general, tunachotaka ni mabadiliko ya the way we do aour things as a nation, sina clear record ya Wangwe na hili, mambo ya ndani ya Chadema siyapi umuhimu sana kwa wakati huu.
Ingawa ushauri wangu kwako ni kwamba, waachie wengine wafanya hii kazi ya spin unayoifanya, kwa sababu kitendo cha wewe kuivalia njuga inaweza kuamsha hisia kuwa una something more kuhusu hii ishu, katika siasa huwa tunamuachia katibu mkuu ndiye hasa kazi yake hii, ninaweza ku-dig more lakini kwa faida ya nani huwa siamini siasa za kuwapiga vita upinzani ambao kwa kweli wanatusadia sana taifa na viongozi wahuni.
Ahsante Mkuu!
Kungua kwangu thread ni uamuzi binafsi baada ya kuona Mwenyekiti wangu wa chama anahusishwa na majina ya watu wengine hapa JF na hakuna anayekemea. Na kwa kweli ulichochewa na Jmushi ambaye kwenye michango yake mingi Mpaka Kieleweke akiandika hoja yeye badala ya kujibu hoja anaanza kwa kusema "Kama wewe ni Mbowe". Kwa hiyo uwe na amani kabisa, sikuwa naku-target kwa maana nyingine yoyote zaidi ya kuweka kumbukumbu sawa. Kama nimekuudhi narudia tena kukuomba radhi toka chini ya mtima wa moyo wangu
Mkuu FMES naona unasisitiza kuwa Dada Asha aniulize mimi kwa kwanini nilisema Mpaka kieleweke ni Mbowe.
Mimi nakiri kuwa nilisema hivyo baada ya kuona posting yako iliyokuwa iki suggest hivyo kwenye mjadala mmoja mkali sana.
Field Marshall ES Field Marshall ES has no status. Edit
JF Senior & Premium Member Join Date: Wed Apr 2006
Re: Breaking News-CHADEMA wamsimamisha Chacha Wangwe .
Mkuu Kieleweke,
Sina uhakika kama jibu lako linajibu swali la alert iliyotolewa na Chinga, toka mwezi wa March on ishu hii ambayo imekuja kutokea kama alivyotabiri mapema,
Lakini anyway, mimi ninawa-support wale wanaotaka kutuletea mabadilko kwa taifa letu, bila ya kujali sauti hizo zinatokea wapi, kama ni CCM au Chadema au upinzani in general, tunachotaka ni mabadiliko ya the way we do aour things as a nation, sina clear record ya Wangwe na hili, mambo ya ndani ya Chadema siyapi umuhimu sana kwa wakati huu.
Ingawa ushauri wangu kwako ni kwamba, waachie wengine wafanya hii kazi ya spin unayoifanya, kwa sababu kitendo cha wewe kuivalia njuga inaweza kuamsha hisia kuwa una something more kuhusu hii ishu, katika siasa huwa tunamuachia katibu mkuu ndiye hasa kazi yake hii, ninaweza ku-dig more lakini kwa faida ya nani huwa siamini siasa za kuwapiga vita upinzani ambao kwa kweli wanatusadia sana taifa na viongozi wahuni.
Ahsante Mkuu!
wewe mtu wa Zanzibar na mwanamke umeyajuaje haya? naona bora tumuamini FES na Chinga kwani hawa hawa walisema kuwa Mwanasiasa ni KITILA MKUMBO na ikawa kweli alibisha mwanzo baadae akakubali.Pamoja na kuwa kauli mbiu ya hamasa ya Hakuna Kulala Mpaka Kieleweke ilibuniwa na Mwenyekiti Mbowe wakati wa kampeni, nataka kukanusha hapa kwamba mtu anayejiita Mpaka Kieleweke hapa Si Mbowe. Pamekuwa na jitahida sana za kumhusisha mwenyekiti wetu na Majina mawili hapa mtandanaoni, wakati Chinga alianzisha uzushi kwamba Mbowe ni Philimom Michael, Bwana FMES yeye ameanzisha Mpaka Kieleweke ni Mbowe. Nimekuwa nikifuatilia mienendo na michango ya watu hawa wawili na napenda niweke wazi kwamba hakuna Mbowe kati ya watu hao wawili.
Philemon Michaeil ni mwanahabari ambaye mpaka sasa yuko Dar es salaam.
Mpaka Kieleweke ni kada wa CHADEMA anayezunguka kati ya Dar es salaam na Dodoma.
Hata wakati ambapo mwenyekiti Mbowe akiwa nje ya nchi hawa mabwana wawili wameendelea kutoa michango yao kutoka Dar es salaam. Mathalani kwa sasa Mwenyekiti Mbowe yuko kikazi mashariki ya kati lakini bado mpaka kieleweke anaandikia michango yako toka Dodoma.
Kwa mchambuzi yoyote wa michango ya watu humu atagundua kuwa michango ya Mpaka Kieleweke haiendani kabisa na maoni na misimamo ya Bwana Mbowe katika masuala mbalimbali na kwa ujumla bwana Philemon Michael hana undani wa masuala ya kisiasa hususani yale yanayoihusu CHADEMA.
Nawakatia kheri
Asha
Anaogopa kuonekana MPAKA KIELEWEKE kuwa ni MBOWE na amempiga vita sana Wangwe humu.Ukweli niliousema ni huu hapa, ninaomba member yoyote wa hii forum anionyeshe mahali niliposema kuwa Mpaka Kieleweke, ni Mbowe, na hasa Ndugu yangu Mushi, hebu onyesha mkuu nilipokufanya uamini kuwa Mpaka Kieleweke ni Mbowe kwenye haya maneno chini:-
Field Marshall ES Field Marshall ES has no status. Edit
JF Senior & Premium Member Join Date: Wed Apr 2006
Re: Breaking News-CHADEMA wamsimamisha Chacha Wangwe .
Mkuu Kieleweke,
1. Sina uhakika kama jibu lako linajibu swali la alert iliyotolewa na Chinga, toka mwezi wa March on ishu hii ambayo imekuja kutokea kama alivyotabiri mapema,
2. Lakini anyway, mimi ninawa-support wale wanaotaka kutuletea mabadilko kwa taifa letu, bila ya kujali sauti hizo zinatokea wapi,
3. kama ni CCM au Chadema au upinzani in general, tunachotaka ni mabadiliko ya the way we do aour things as a nation, sina clear record ya Wangwe na hili, mambo ya ndani ya Chadema siyapi umuhimu sana kwa wakati huu.
4. Ingawa ushauri wangu kwako ni kwamba, waachie wengine wafanya hii kazi ya spin unayoifanya,
5. kwa sababu kitendo cha wewe kuivalia njuga inaweza kuamsha hisia kuwa una something more kuhusu hii ishu, katika siasa huwa tunamuachia katibu mkuu ndiye hasa kazi yake hii,
6. ninaweza ku-dig more lakini kwa faida ya nani huwa siamini siasa za kuwapiga vita upinzani ambao kwa kweli wanatusadia sana taifa na viongozi wahuni.
Ahsante Mkuu!
Your original accusations kwangu kuhusu Mpaka Kieleweke ni hizi hapa chini:-
Ukweli niliousema kuhusu Mpaka Kieleweke ni huu hapa chini:-
Nafikiri kila mwenye akili hapa anaweza kuona ukweli na uongo ulipo, mkuu soma tena hizi quote mbili ukweli upo very clear, wewe ni muongo na mzandiki umenizushia uongo, sasa ni vyema ukakubali tu, halafu uanzishe topic inayokuhusu na mimi kukusemea uongo,
Lakini kwa hili la kusema nimesema Mpaka Kieleweke ni mbowe, sikusema hivyo na maneno yako hapo juu kwenye quote yako na yangu, uungwana hapa ni kukubali makosa bila conditions, wewe huwezi kunizushia maneno ya uongo, halafu tena wewe huyo huyo ukajaribu ku-dictate my response, hapana mkuu huwa hatufanyi hivyo kwenye maisha,
tukisema uongo na ikabainika kama hapa huwa tunakubali na kumaliza mjadala badala ya kujaribu ku-spin na kuzungusha maneno, hapana maneno yako very clear hapo juu kwenye hizo quotes, mwenye macho ajioneee mwenyewe, ulichonizushia na ukweli hasa niliousema!
Yeah,
Saa nyingine nina sema kwanini Ben Mkapa hajibu hoja?, baadaye nikisoma baadhi ya wananchi wanavyoandika humu; ninaelewa kwanini.
Mimi tatizo langu na Asha ni dogo sana, HAJIBU HOJA anakimbilia MIPASHO. Hii ni forum huru ukianzisha mada utakutana na sisi tulio huru na kukuuliza ki CHANYA. Sasa I am becoming crossy when I get a blah blah na mipasho badala ya HOJA HALISI.
Hilo tu. Zaidi naheshimu wana Chadema wengi tu humu. Ila kama Dada Asha ni ICON ya viongozi wa Chadema basi ndugu yangu Mnyika, ZITTO, KITILLA na mzee Slaa hamna viongozi. Kama ni mwanachama wa kawaida basi sio mbaya; ila ana safari ndefu sana ya kuwa kiongozi.
Asante
FP
Mwanitafuta? ...Ni mimi!
I know most of you in here by names and I will expose you all.
1. Kitila Mkumbo is Mbarouk Masauni from Zanzibar
2. Kuhani or Kuhani Mkuu is repoetr Charles Charles
3. FMES is Prince Bagenda
4. Mwanakijiji is Shyrose Bhanji
5. Rev. Kishoka is Christopher Mtikila
6. Nyani Ngabu is Hussein Mwinyi
7. Pundit is Makwaia Kuhenga
8. Bubu ataka Kusema is James Mbatia
9. JMushi is Lazaro Nyalandu
10. Nyama Choma is Rostam Aziz!
There I have exposed just a few that I know, je mnafurahi au mnataka kumjua Asha Abdallah who is Teddy Kasela Bantu na Mpaka Kieleweke ambaye ni Laurence Masha?
Who is next? Kichuguu, you mean John Magufuli or YourNameIsMine Johnson Lukaza?
Yeah,
Hilo tu. Zaidi naheshimu wana Chadema wengi tu humu. Ila kama Dada Asha ni ICON ya viongozi wa Chadema basi ndugu yangu Mnyika, ZITTO, KITILLA na mzee Slaa hamna viongozi. Kama ni mwanachama wa kawaida basi sio mbaya; ila ana safari ndefu sana ya kuwa kiongozi.
Asante
FP