Mpaka Kieleweke Si Mbowe

Mpaka Kieleweke Si Mbowe

Status
Not open for further replies.
Mods ningeomba kuwa hii topic ibaki hapa hapa, sidhani kama imeisha maana kuna sehemu ya udaku na nyinginezo, lakini haikuanzishiwa kule ilianzishiwa hapa na ibaki hapa hapa, kwa sababu bado inaendelea hii.

Kuna ambao hatujamaliza tunakuja nayo pole pole.

Ahsante Mods.
 
Hehe heee eti nimekosa period. Unaijua period wewe!

1. Umesema kwamba post yangu ya kwanza humu nilitukana wanaCCM. Mwongo kabisa, na ushahidi uko humu humu. Bonyeza tu all my post uangalie post yangu ya kwanza.

2. Umesema mimi nimetoa matusi makubwa kwa Chinga na ameanza kuzungumzia oohh magoro ooh Kikwete ooh whatever, sasa vuta kumbukumbu humu uone ni nani alianza matusi kwa Chinga utakuta sio mimi. Uwongo mwingine.

3. Unakanusha kwamba wewe ndio hukuanza siku nyingi zilizopita nadhani kwenye mjadala wa ile thread ya Chama Cha Mafisadi au nyingine kuanza kusema kwamba unajua Asha Abdala ni nani. Uongo mwingine. Ukweli ni kuwa wewe ndiye uliyeanza na umefanya hivyo takribani mara tatu.

4. Umesema kwamba CHADEMA sio threat kabisa kwa CCM. Uongo mwingine

Kwa hiyo yanapokuja masuala ya Asha Abdala wewe ni muongo muongo tu. Unakuwa mkweli unapozungumzia dataz za mambo unayojua tu. Nakuheshimu katika michango yako mingine humu. Lakini katika hili unajaribu kurusha ngumi kwenye upepo!

Asha

FMES:

Haya baba, nasubiri kwa hamu kama ulivyosema.

I called for piece but it seems you wish is to have pieces!

Weekend njema

Asha
 
Your original accusations kwangu kuhusu Mpaka Kieleweke ni hizi hapa chini:-

Quote:
wakati Chinga alianzisha uzushi kwamba Mbowe ni Philimom Michael, Bwana FMES yeye ameanzisha Mpaka Kieleweke ni Mbowe. Nimekuwa nikifuatilia mienendo na michango ya watu hawa wawili na napenda niweke wazi kwamba hakuna Mbowe kati ya watu hao wawili.


Ukweli niliousema kuhusu Mpaka Kieleweke ni huu hapa chini:-

Quote:
Field Marshall ES Field Marshall ES has no status. Edit
JF Senior & Premium Member Join Date: Wed Apr 2006

Re: Breaking News-CHADEMA wamsimamisha Chacha Wangwe .

Mkuu Kieleweke,

Sina uhakika kama jibu lako linajibu swali la alert iliyotolewa na Chinga, toka mwezi wa March on ishu hii ambayo imekuja kutokea kama alivyotabiri mapema,

Lakini anyway, mimi ninawa-support wale wanaotaka kutuletea mabadilko kwa taifa letu, bila ya kujali sauti hizo zinatokea wapi, kama ni CCM au Chadema au upinzani in general, tunachotaka ni mabadiliko ya the way we do aour things as a nation, sina clear record ya Wangwe na hili, mambo ya ndani ya Chadema siyapi umuhimu sana kwa wakati huu.

Ingawa ushauri wangu kwako ni kwamba, waachie wengine wafanya hii kazi ya spin unayoifanya, kwa sababu kitendo cha wewe kuivalia njuga inaweza kuamsha hisia kuwa una something more kuhusu hii ishu, katika siasa huwa tunamuachia katibu mkuu ndiye hasa kazi yake hii, ninaweza ku-dig more lakini kwa faida ya nani huwa siamini siasa za kuwapiga vita upinzani ambao kwa kweli wanatusadia sana taifa na viongozi wahuni.

Ahsante Mkuu!

FMES:

Haya baba, nasubiri kwa hamu kama ulivyosema. I called for piece but it seems you wish is to have pieces!

Weekend njema

Asha

Mkuu ahsante kwa ujumbe, ila mimi ni mtu mzima na mstaarabu huwa nina-stick na one ishu at a time, huwa sianzishi one na kurukia two kabla ya kumaliza na one kwanza.

ES sauti ya umeme!
 
Ukweli niliousema kuhusu Mpaka Kieleweke ni huu hapa chini:-





Mkuu ahsante kwa ujumbe, ila mimi ni mtu mzima na mstaarabu huwa nina-stick na one ishu at a time, huwa sianzishi one na kurukia two kabla ya kumaliza na one kwanza.

ES sauti ya umeme!


Rafiki yako Mwanakijiji na mwenzako Fair Player wote wamekushauri uachane na hili, sasa naona unaliendekeza kwa nguvu kweli.

Hapa JMushi amesema wazi kuwa ni maneno yako ndiyo yamemfanya aseme Mpaka Kieleweke ni Mbowe, halafu jina la Mtanzania limetajwa pia humu somewhere.

Sasa haina maana kabisa kugombea fito wakati sote ni wajenzi.

I want peace! Not pieces!

Asha
 
Mkuu wewe jali ya kwako ya kwangu niachie mwenyewe, mimi sijali ya kwako ninajali ya kwangu na ninasema kwa uhuru maana mimi si kibaraka wa mtu hapa, wewe endelea na hamsini zako na ninashika za kwangu, sasa tatizo liko wapi mkuu?

Topic sikuanzisha mimi, na wala kusema jina la mtu sasa kama vita nilivyolazimishwa bila ya kuviomba, atakayevimaliza ni mimi tena kwa style yangu na time yangu, siwezi kuharakishwa hakuna haraka!
 
Mkuu wewe jali ya kwako ya kwangu niachie mwenyewe, mimi sijali ya kwako ninajali ya kwangu na ninasema kwa uhuru maana mimi si kibaraka wa mtu hapa, wewe endelea na hamsini zako na ninashika za kwangu, sasa tatizo liko wapi mkuu?

Topic sikuanzisha mimi, na wala kusema jina la mtu sasa kama vita nilivyolazimishwa bila ya kuviomba, atakayevimaliza ni mimi tena kwa style yangu na time yangu, siwezi kuharakishwa hakuna haraka!

Haya ndio matatizo ya kuchunguana who is who. Kila mtu ana uchaguzi - kama anataka ajulikane au la - naomba wale wenye uwezekano wa kuweza kumtambua mwanachama iwe ni siri yao na wasianike ukumbini.

Ninataka kumuuliza Da Asha yeye amekuwa msemaji wa Mbowe?
 
Haya ndio matatizo ya kuchunguana who is who. Kila mtu ana uchaguzi - kama anataka ajulikane au la - naomba wale wenye uwezekano wa kuweza kumtambua mwanachama iwe ni siri yao na wasianike ukumbini.

Ninataka kumuuliza Da Asha yeye amekuwa msemaji wa Mbowe?

HAWEZI KUJIBU HII. MAANA SIO MIPASHO!
Naona nimuite bi mipasho tu.
 
Haya ndio matatizo ya kuchunguana who is who. Kila mtu ana uchaguzi - kama anataka ajulikane au la - naomba wale wenye uwezekano wa kuweza kumtambua mwanachama iwe ni siri yao na wasianike ukumbini.

Ninataka kumuuliza Da Asha yeye amekuwa msemaji wa Mbowe?

Ndio. Na msemaji wako wewe pia. We ni msemaji wa ndani katika hili?

Asha
 
- naomba wale wenye uwezekano wa kuweza kumtambua mwanachama iwe ni siri yao na wasianike ukumbini.

Bikirembwe,

Heshima mbele mkuu, tunasema tena humu ndani kuna watu wenye tabia ya kukimbilia lines za ID, wanapozidiwa hoja sasa tulichofanya ni kwamba tuna orodha ya hao watu, na tunachosema ni kwamba kwanza tume-extend sasa na tutamlinda anybody tutakayeona anaonewa on those lines kwa kufichua pia ID za wale the aggressors kwa sababu tunazo, kwenye hili hakuna compromise kwa sababu ni suala la self-defense, kwa sababu kwa kawaida watu wa namna hii huwa wana tabia ya kuwa na majina mengi humu, moja hulitumia kwa kujifanya wastaaarabu halafu mengine huyatumiwa kuwatukania watu wengine na hata kugusa hizo lines za ID, and then hugeuka na kujifanya wastaarabu sana na majina mengine, tunawajua vizuri sana hatuna tatizo na hilo, lakini kwa wale wenye jina moja tu kama mimi tutajilinda kwa nguvu zote bila kuogopa wala kujali nani yuko upande wa pili!

Tuliamua haya baada ya pain nyingi sana zilizosababishwa na hawa watu, in fact JF tumepoteza members wengi mashururi kwa tabia hii, na mimi binafsi hii tabia ninaifahmu kwa karibu sana kwa sababu kidogo im-cost kazi mwanamama mmoja ninayemfahamu ambaye mmoja kati ya hawa wajinga alirusha jina lake hapa baada ya mimi kumzidia hoja hapa, ni mpaka nilipomtishia kumpa mkewe habari zake za kuwa na hawara nje ya mkewe na nikamtajia hata jina ndio aka-back off, na yeye kuomba radhi kazini kwa yule dada kwa sababu jamaa aliwahi kufanya kazi pale zamani kabla ya huyu dada,


Sasa kwenye hili I am dead serious, kwamba tuendele kujadiliana kwa misingi ya sheria za JF kwa kuheshimiana na kus-tick kwenye mistari ya hoja za kisiasa hasa kwa viongozi wanaohusika, lakini asiyetaka kuelewa hili ni langu mimi ndiyo nimelivalia njuga ninasema kuwa ni langu personal, otherwise hawezi kutajwa mtu hapa bila sababu huwa sio tabia yetu, na kwa mara ya kwanza ninashukuru kupata nafasi ya kuweza kuliweka wazi hili hapa.

Lakini ujumbe wako umesikika na umefika.
 
Bikirembwe,

Heshima mbele mkuu, tunasema tena humu ndani kuna watu wenye tabia ya kukimbilia lines za ID, wanapozidiwa hoja sasa tulichofanya ni kwamba tuna orodha ya hao watu, na tunachosema ni kwamba kwanza tume-extend sasa na tutamlinda anybody tutakayeona anaonewa on those lines kwa kufichua pia ID za wale the aggressors kwa sababu tunazo, kwenye hili hakuna compromise kwa sababu ni suala la self-defense, kwa sababu kwa kawaida watu wa namna hii huwa wana tabia ya kuwa na majina mengi humu, moja hulitumia kwa kujifanya wastaaarabu halafu mengine huyatumiwa kuwatukania watu wengine na hata kugusa hizo lines za ID, and then hugeuka na kujifanya wastaarabu sana na majina mengine, tunawajua vizuri sana hatuna tatizo na hilo, lakini kwa wale wenye jina moja tu kama mimi tutajilinda kwa nguvu zote bila kuogopa wala kujali nani yuko upande wa pili!

Tuliamua haya baada ya pain nyingi sana zilizosababishwa na hawa watu, in fact JF tumepoteza members wengi mashururi kwa tabia hii, na mimi binafsi hii tabia ninaifahmu kwa karibu sana kwa sababu kidogo im-cost kazi mwanamama mmoja ninayemfahamu ambaye mmoja kati ya hawa wajinga alirusha jina lake hapa baada ya mimi kumzidia hoja hapa, ni mpaka nilipomtishia kumpa mkewe habari zake za kuwa na hawara nje ya mkewe na nikamtajia hata jina ndio aka-back off, na yeye kuomba radhi kazini kwa yule dada kwa sababu jamaa aliwahi kufanya kazi pale zamani kabla ya huyu dada,


Sasa kwenye hili I am dead serious, kwamba tuendele kujadiliana kwa misingi ya sheria za JF kwa kuheshimiana na kus-tick kwenye mistari ya hoja za kisiasa hasa kwa viongozi wanaohusika, lakini asiyetaka kuelewa hili ni langu mimi ndiyo nimelivalia njuga ninasema kuwa ni langu personal, otherwise hawezi kutajwa mtu hapa bila sababu huwa sio tabia yetu, na kwa mara ya kwanza ninashukuru kupata nafasi ya kuweza kuliweka wazi hili hapa.

Lakini ujumbe wako umesikika na umefika.

Lost case! You have proved to be an ID monger, a mogul of attacks. No offence meant. No vendetta! Huchoki tu.....achana na hii jamani itakufa kifo cha mende yenyewe na kwenda kwenye udaku, you keep putting it in a spotlight aka front page!

Asha
 
Huu ujumbe haukuhusu nimemtumia Bikirembwe sio wewe, mkuu mbona huwezi kujali yako?

Bado kama nilivyoahidi hii topic haijaisha ninaendelea nayo kwa nafasi yangu na my pace, pole pole huwa hatuna haraka, vipi sasa the mighty akashindwa kuhamisha topic asiyotaka, yaani makubwa haya!.

vipi kwani haya yanakuhusu?
 
Ndio. Na msemaji wako wewe pia. We ni msemaji wa ndani katika hili?

Asha

Ahsante Da Asha kwa kutujilisha hili ama kwa upande wangu hiyo kazi mimi siiwezi kwani kila kiumbe anafanya kile anachokiweza (ukiacha mambo ya muhimu kama kwenda haja ndogo na kubwa) - kwa hivyo mimi si msemaji wa yeyote yule kwa vile kazi hiyo siiwezi.
 
Bikirembwe,

Heshima mbele mkuu, tunasema tena humu ndani kuna watu wenye tabia ya kukimbilia lines za ID, wanapozidiwa hoja sasa tulichofanya ni kwamba tuna orodha ya hao watu, na tunachosema ni kwamba kwanza tume-extend sasa na tutamlinda anybody tutakayeona anaonewa on those lines kwa kufichua pia ID za wale the aggressors kwa sababu tunazo, kwenye hili hakuna compromise kwa sababu ni suala la self-defense, kwa sababu kwa kawaida watu wa namna hii huwa wana tabia ya kuwa na majina mengi humu, moja hulitumia kwa kujifanya wastaaarabu halafu mengine huyatumiwa kuwatukania watu wengine na hata kugusa hizo lines za ID, and then hugeuka na kujifanya wastaarabu sana na majina mengine, tunawajua vizuri sana hatuna tatizo na hilo, lakini kwa wale wenye jina moja tu kama mimi tutajilinda kwa nguvu zote bila kuogopa wala kujali nani yuko upande wa pili!

Tuliamua haya baada ya pain nyingi sana zilizosababishwa na hawa watu, in fact JF tumepoteza members wengi mashururi kwa tabia hii, na mimi binafsi hii tabia ninaifahmu kwa karibu sana kwa sababu kidogo im-cost kazi mwanamama mmoja ninayemfahamu ambaye mmoja kati ya hawa wajinga alirusha jina lake hapa baada ya mimi kumzidia hoja hapa, ni mpaka nilipomtishia kumpa mkewe habari zake za kuwa na hawara nje ya mkewe na nikamtajia hata jina ndio aka-back off, na yeye kuomba radhi kazini kwa yule dada kwa sababu jamaa aliwahi kufanya kazi pale zamani kabla ya huyu dada,


Sasa kwenye hili I am dead serious, kwamba tuendele kujadiliana kwa misingi ya sheria za JF kwa kuheshimiana na kus-tick kwenye mistari ya hoja za kisiasa hasa kwa viongozi wanaohusika, lakini asiyetaka kuelewa hili ni langu mimi ndiyo nimelivalia njuga ninasema kuwa ni langu personal, otherwise hawezi kutajwa mtu hapa bila sababu huwa sio tabia yetu, na kwa mara ya kwanza ninashukuru kupata nafasi ya kuweza kuliweka wazi hili hapa.

Lakini ujumbe wako umesikika na umefika.

Ahsante Mkuu kwani tutapunguza mengi.
 
Huu ujumbe haukuhusu nimemtumia Bikirembwe sio wewe, mkuu mbona huwezi kujali yako?

Bado kama nilivyoahidi hii topic haijaisha ninaendelea nayo kwa nafasi yangu na my pace, pole pole huwa hatuna haraka, vipi sasa the mighty akashindwa kuhamisha topic asiyotaka, yaani makubwa haya!.

vipi kwani haya yanakuhusu?

Naoana at last imehama! Sasa uache vitisho tuendelee kukata ishu.

Asha
 
Tuliamua haya baada ya pain nyingi sana zilizosababishwa na hawa watu, in fact JF tumepoteza members wengi mashururi kwa tabia hii, <--->

Wazo zuri mkuu FMES,
Kuna na vijana wengine wanaogopa kuchangia kwa kuogopa kuwa against certain IDs, maana kufanya hivyo kunawaexpose na mashambulizi mengine yakiwa nje kabisa ya topic.

Hii inaweza kusaidia kupata mawazo tofauti na sio kusoma tu mawazo yanayokubaliana hata kama kuna spins.
 
Wanaofuatilia hawatakosekana.

Wapo walioajiriwa humu mtandaoni kazi yao kujua nani kazungumza nini na wamjibuje? Hao ni kundi la kwanza. Wale ambao hawaoni umuhimu wa kutafuta hoja mtandaoni bali kutafuta nani kaandika nini nao hawatakosekana.

Endeleeni kutuchunguza tu!!!
Mliotumwa; Pelekeni habari zetu kwa mabwana zenu waliowatuma!!!!!!!!!
Mlikuja kushangaa: endeleeni kushangaa mpaka mchoke!!!!!!!!!!!!!

Tehe tehe tehe!!
 
I think when all you have to do is discuss who should be branded what and who should take credit for then we are heading into a cynical state, why cant we just concetrate on what the words really mean and what should be done to achieve those words?
 
Naoana at last imehama! Sasa uache vitisho tuendelee kukata ishu.

Kuhama kwa hii topic hakubadili anything, msimamo ni ule ule tu, kama ni vitisho aulizwe aliyeanzisha topic, mimi msimamo wangu very clear, ukicheza nitakuchezea tu, hatishwi mtu hapa,

Vitisho uache wewe mkuu, naona umeshukuru imahama labda next time utajifunza tabia za kurukia watu usiowajua, bila kuwa na ukweli. Lakini eti mimi nitatishika na wewe hata siku moja! Ninashukuru tu kuwa nimekuelewa mapema rangi zako, ndio imetoka hiyo salaam zao! Maana sisi binadamu wengine huwa tunajifunza mara moja tu hatusubiri mara mbili.

Es Sauti Ya Umeme
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom