Pre GE2025 Mpaka kufikia Oktoba 2025, CHADEMA watakuwa wamefanikiwa kutangaza njia za kujipatia pesa tu na sio kutafuta kura na kushinda uchaguzi

Pre GE2025 Mpaka kufikia Oktoba 2025, CHADEMA watakuwa wamefanikiwa kutangaza njia za kujipatia pesa tu na sio kutafuta kura na kushinda uchaguzi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Ni wazi ukata wa pesa za matumizi ya chama unawapeleka puta haswaa. Wanahaha kutumia kila njia za kupata pesa kutoka kwa watu ambao waliwaita maskini na wengine waliwaambia wanafanya kazi za laana hususani bodaboda.

Inasikitisha sana na inafedhehesha sana kwamba hao bodaboda wanaofanya kazi za laana ndio huongoza misafara yao na ndio wachangiaji wa kubwa, japo ni wazi huwa wanatapeliwa tu pesa zao kisiasa, kwasababu hawafaidiki chochote kwa michango yao kwenda kwa watu ambao hawataki kujishughulisha na chochote na wasio na mpango wa kujitegemea bali kuomba omba kuchangiwa pesa tu.

Itashangaza sana itakapofika October mwaka, mwezi wa uchaguzi, wakati wengine wakifanya engagements na wananchi pamoja na maandalizi mengine muhimu ya uchaguzi, chadema wapo bize kuomba omba kuchangiwa pesa za matumizi ya kula na kunywa kwa viongozi wa chama.

Na zaidi sana,
wamejikita katika kuhamasisha wananchi wasishiriki uchaguzi huo mkuu wa kihistoria, kama ambavyo walifanya hivyo hivyo kuhamasisha wananchi wasiende kujiandikisha kwaajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa, halafu mwisho wa siku wakaja kupinga matokeo ya uchaguzi huo.

Ni wazi hata katika uchaguzi mkuu huu wa October, kuna kila dalili kwamba chadema watajitokeza kupinga matokeo ya uchaguzi, hali ya kua walijihamasisha wasipige kura katika uchaguzi huu.

Niwahakikishie waTanzania wenzangu wote, uchaguzi mkuu wa October utakaofanyika kwa mujibu wa katiba ya nchi, mshindi atapatikana na atatangazwa na vyombo vinavyosimamia uchaguzi huo, na atapewa dhamana ya kuunda serikali na kuongoza nchi kwa maslahi mapana ya waTanzania wote.

Nashauri vyama vya siasa kujipanga vizuri kwaajili ya uchaguzi mkuu wa October mwaka huu 2025 na kuacha kutapeli wananchi pesa na kuwadhulumu fikra, uhuru na haki zao za kikatiba kushiriki uchaguzi mkuu 🐒

Mungu Ibariki Tanzania.
 
Andishi refu lakini pumba tupu.
Kwani hao wanaochangia sio wapiga kura?
Chama ni mali ya wanachama na ndio wapiga kura.
Nyie mnaosubiri kupewa chumvi na viberiti kaeni kwa kutulia msubiri hizo rushwa zenu zinazowadhalilisha.
 
Ni wazi ukata wa pesa za matumizi ya chama unawapeleka puta haswaa. Wanahaha kutumia kila njia za kupata pesa kutoka kwa watu ambao waliwaita maskini na wengine waliwaambia wanafanya kazi za laana hususani bodaboda.

Inasikitisha sana na inafedhehesha sana kwamba hao bodaboda wanaofanya kazi za laana ndio huongoza misafara yao na ndio wachangiaji wa kubwa, japo ni wazi huwa wanatapeliwa tu pesa zao kisiasa, kwasababu hawafaidiki chochote kwa michango yao kwenda kwa watu ambao hawataki kujishughulisha na chochote na wasio na mpango wa kujitegemea bali kuomba omba kuchangiwa pesa tu.

Itashangaza sana itakapofika October mwaka, mwezi wa uchaguzi, wakati wengine wakifanya engagements na wananchi pamoja na maandalizi mengine muhimu ya uchaguzi, chadema wapo bize kuomba omba kuchangiwa pesa za matumizi ya kula na kunywa kwa viongozi wa chama.

Na zaidi sana,
wamejikita katika kuhamasisha wananchi wasishiriki uchaguzi huo mkuu wa kihistoria, kama ambavyo walifanya hivyo hivyo kuhamasisha wananchi wasiende kujiandikisha kwaajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa, halafu mwisho wa siku wakaja kupinga matokeo ya uchaguzi huo.

Ni wazi hata katika uchaguzi mkuu huu wa October, kuna kila dalili kwamba chadema watajitokeza kupinga matokeo ya uchaguzi, hali ya kua walijihamasisha wasipige kura katika uchaguzi huu.

Niwahakikishie waTanzania wenzangu wote, uchaguzi mkuu wa October utakaofanyika kwa mujibu wa katiba ya nchi, mshindi atapatikana na atatangazwa na vyombo vinavyosimamia uchaguzi huo, na atapewa dhamana ya kuunda serikali na kuongoza nchi kwa maslahi mapana ya waTanzania wote.

Nashauri vyama vya siasa kujipanga vizuri kwaajili ya uchaguzi mkuu wa October mwaka huu 2025 na kuacha kutapeli wananchi pesa na kuwadhulumu fikra, uhuru na haki zao za kikatiba kushiriki uchaguzi mkuu 🐒

Mungu Ibariki Tanzania.
No reforms no election
 
Ni wazi ukata wa pesa za matumizi ya chama unawapeleka puta haswaa. Wanahaha kutumia kila njia za kupata pesa kutoka kwa watu ambao waliwaita maskini na wengine waliwaambia wanafanya kazi za laana hususani bodaboda.

Inasikitisha sana na inafedhehesha sana kwamba hao bodaboda wanaofanya kazi za laana ndio huongoza misafara yao na ndio wachangiaji wa kubwa, japo ni wazi huwa wanatapeliwa tu pesa zao kisiasa, kwasababu hawafaidiki chochote kwa michango yao kwenda kwa watu ambao hawataki kujishughulisha na chochote na wasio na mpango wa kujitegemea bali kuomba omba kuchangiwa pesa tu.

Itashangaza sana itakapofika October mwaka, mwezi wa uchaguzi, wakati wengine wakifanya engagements na wananchi pamoja na maandalizi mengine muhimu ya uchaguzi, chadema wapo bize kuomba omba kuchangiwa pesa za matumizi ya kula na kunywa kwa viongozi wa chama.

Na zaidi sana,
wamejikita katika kuhamasisha wananchi wasishiriki uchaguzi huo mkuu wa kihistoria, kama ambavyo walifanya hivyo hivyo kuhamasisha wananchi wasiende kujiandikisha kwaajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa, halafu mwisho wa siku wakaja kupinga matokeo ya uchaguzi huo.

Ni wazi hata katika uchaguzi mkuu huu wa October, kuna kila dalili kwamba chadema watajitokeza kupinga matokeo ya uchaguzi, hali ya kua walijihamasisha wasipige kura katika uchaguzi huu.

Niwahakikishie waTanzania wenzangu wote, uchaguzi mkuu wa October utakaofanyika kwa mujibu wa katiba ya nchi, mshindi atapatikana na atatangazwa na vyombo vinavyosimamia uchaguzi huo, na atapewa dhamana ya kuunda serikali na kuongoza nchi kwa maslahi mapana ya waTanzania wote.

Nashauri vyama vya siasa kujipanga vizuri kwaajili ya uchaguzi mkuu wa October mwaka huu 2025 na kuacha kutapeli wananchi pesa na kuwadhulumu fikra, uhuru na haki zao za kikatiba kushiriki uchaguzi mkuu 🐒

Mungu Ibariki Tanzania.

Does that bother you? Si ndio mtajichukulia 100% au hamtaki ushindi wa kishindo zaidi ya ule wa jiwe?
 
Wakati huo majambazi ccm watakuwa wameshaplot mbinu nyingi za kuiba kura. Mgombea uraisi atakuwa ameshateua mwenyekiti wa tume huru ya uchaguzi, amewaita wakurugenzi wote ikulu na kuwapa masharti, kofiq, tshirt na khanga zitagaiwa kwa maskini wote..nk
 
Ni wazi ukata wa pesa za matumizi ya chama unawapeleka puta haswaa. Wanahaha kutumia kila njia za kupata pesa kutoka kwa watu ambao waliwaita maskini na wengine waliwaambia wanafanya kazi za laana hususani bodaboda.

Inasikitisha sana na inafedhehesha sana kwamba hao bodaboda wanaofanya kazi za laana ndio huongoza misafara yao na ndio wachangiaji wa kubwa, japo ni wazi huwa wanatapeliwa tu pesa zao kisiasa, kwasababu hawafaidiki chochote kwa michango yao kwenda kwa watu ambao hawataki kujishughulisha na chochote na wasio na mpango wa kujitegemea bali kuomba omba kuchangiwa pesa tu.

Itashangaza sana itakapofika October mwaka, mwezi wa uchaguzi, wakati wengine wakifanya engagements na wananchi pamoja na maandalizi mengine muhimu ya uchaguzi, chadema wapo bize kuomba omba kuchangiwa pesa za matumizi ya kula na kunywa kwa viongozi wa chama.

Na zaidi sana,
wamejikita katika kuhamasisha wananchi wasishiriki uchaguzi huo mkuu wa kihistoria, kama ambavyo walifanya hivyo hivyo kuhamasisha wananchi wasiende kujiandikisha kwaajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa, halafu mwisho wa siku wakaja kupinga matokeo ya uchaguzi huo.

Ni wazi hata katika uchaguzi mkuu huu wa October, kuna kila dalili kwamba chadema watajitokeza kupinga matokeo ya uchaguzi, hali ya kua walijihamasisha wasipige kura katika uchaguzi huu.

Niwahakikishie waTanzania wenzangu wote, uchaguzi mkuu wa October utakaofanyika kwa mujibu wa katiba ya nchi, mshindi atapatikana na atatangazwa na vyombo vinavyosimamia uchaguzi huo, na atapewa dhamana ya kuunda serikali na kuongoza nchi kwa maslahi mapana ya waTanzania wote.

Nashauri vyama vya siasa kujipanga vizuri kwaajili ya uchaguzi mkuu wa October mwaka huu 2025 na kuacha kutapeli wananchi pesa na kuwadhulumu fikra, uhuru na haki zao za kikatiba kushiriki uchaguzi mkuu 🐒

Mungu Ibariki Tanzania.
Sasa Mkuu huoni ndiyo vizurii mtakuwa mnashinda kirahisi... Wakati wao wanaomba omba..
 
Mafwamba nyie, jibuni hoja za Lissu sio kuja na unafiki hapa
ana hoja au vihoja gentleman?

anapaswa kuamua kwamba yupi ana hoja na yupi ana makelele na mdomo, ni mwananchi kwenye uchaguzi mkuu gentleman 🐒
 
Andishi refu lakini pumba tupu.
Kwani hao wanaochangia sio wapiga kura?
Chama ni mali ya wanachama na ndio wapiga kura.
Nyie mnaosubiri kupewa chumvi na viberiti kaeni kwa kutulia msubiri hizo rushwa zenu zinazowadhalilisha.
Relax gentleman,


hiyo mihemko na makasiriko ni kwasababu tayari umetapeliwa pesa kidigitali au ukweli wa hoja mahususi mezani?🐒
 
Back
Top Bottom