Pre GE2025 Mpaka kufikia Oktoba 2025, CHADEMA watakuwa wamefanikiwa kutangaza njia za kujipatia pesa tu na sio kutafuta kura na kushinda uchaguzi

Pre GE2025 Mpaka kufikia Oktoba 2025, CHADEMA watakuwa wamefanikiwa kutangaza njia za kujipatia pesa tu na sio kutafuta kura na kushinda uchaguzi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wakati huo majambazi ccm watakuwa wameshaplot mbinu nyingi za kuiba kura. Mgombea uraisi atakuwa ameshateua mwenyekiti wa tume huru ya uchaguzi, amewaita wakurugenzi wote ikulu na kuwapa masharti, kofiq, tshirt na khanga zitagaiwa kwa maskini wote..nk
Mambo yote ya kitaifa nchini yanafanyika kwa mujibu wa sheria na sio kwasabb kibaka au tapeli wa siasa ana bwekabweka 🐒
 
Sasa Mkuu huoni ndiyo vizurii mtakuwa mnashinda kirahisi... Wakati wao wanaomba omba..
Gentleman,
huo ni ukweli mtu wa wazi kwa waTanzania wote,

masuala ya uzuri na urembo muyafanye ndani ya chama chenu tu 🐒
 
Ni wazi ukata wa pesa za matumizi ya chama unawapeleka puta haswaa. Wanahaha kutumia kila njia za kupata pesa kutoka kwa watu ambao waliwaita maskini na wengine waliwaambia wanafanya kazi za laana hususani bodaboda.

Inasikitisha sana na inafedhehesha sana kwamba hao bodaboda wanaofanya kazi za laana ndio huongoza misafara yao na ndio wachangiaji wa kubwa, japo ni wazi huwa wanatapeliwa tu pesa zao kisiasa, kwasababu hawafaidiki chochote kwa michango yao kwenda kwa watu ambao hawataki kujishughulisha na chochote na wasio na mpango wa kujitegemea bali kuomba omba kuchangiwa pesa tu.

Itashangaza sana itakapofika October mwaka, mwezi wa uchaguzi, wakati wengine wakifanya engagements na wananchi pamoja na maandalizi mengine muhimu ya uchaguzi, chadema wapo bize kuomba omba kuchangiwa pesa za matumizi ya kula na kunywa kwa viongozi wa chama.

Na zaidi sana,
wamejikita katika kuhamasisha wananchi wasishiriki uchaguzi huo mkuu wa kihistoria, kama ambavyo walifanya hivyo hivyo kuhamasisha wananchi wasiende kujiandikisha kwaajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa, halafu mwisho wa siku wakaja kupinga matokeo ya uchaguzi huo.

Ni wazi hata katika uchaguzi mkuu huu wa October, kuna kila dalili kwamba chadema watajitokeza kupinga matokeo ya uchaguzi, hali ya kua walijihamasisha wasipige kura katika uchaguzi huu.

Niwahakikishie waTanzania wenzangu wote, uchaguzi mkuu wa October utakaofanyika kwa mujibu wa katiba ya nchi, mshindi atapatikana na atatangazwa na vyombo vinavyosimamia uchaguzi huo, na atapewa dhamana ya kuunda serikali na kuongoza nchi kwa maslahi mapana ya waTanzania wote.

Nashauri vyama vya siasa kujipanga vizuri kwaajili ya uchaguzi mkuu wa October mwaka huu 2025 na kuacha kutapeli wananchi pesa na kuwadhulumu fikra, uhuru na haki zao za kikatiba kushiriki uchaguzi mkuu 🐒

Mungu Ibariki Tanzania.
Ni mipango mipya ya UPIGAJI katika safari ya kiitwacho NO REFORMS NO ELECTIONS.....
 
umeonaee,
we mtu kama lema na heche wanabet vile,

waache kweli kupiga pesa zinazoingia kitapeli namna ile?🐒
Jirani yangu Macha ameniambiwa mh.Lema huwa anapandwa na huzuni na ghadhabu sana pale MKEKA wa kubeti unapomchanikia.....pale New Africa ni maarufu sana kwa kucheza.....
 
Jirani yangu Macha ameniambiwa mh.Lema huwa anapandwa na huzuni na ghadhabu sana pale MKEKA wa kubeti unapomchanikia.....pale New Africa ni maarufu sana kwa kucheza.....
ana pigaga mayowe sana,

Heche hua anaenda kujifungia chooni analia weee mpaka anakonda ndio anajitokeza, halafu anakua mkali balaa ukijaribu kuhoji kama kapigwa na muhindi 🐒
 
Mleta mada anazidi kudhihirisha upungufu wa maarifa na akili alio nao.

Tupo February lakini punguani limekwishaota kuwa CHADEMA mpaka mwezi Oktoba itakuwa imefanikiwa kukusanya tu michango. Limeshindwa kuwa hata reasoning ndogo tu ya kujiuliza, hiyo michango inalenga kufanikisha nini! Kama suala la michango litafanikiwa, kwa nini yale yalitokusudiwa kugharamiwa na hiyo michango, yasifanikiwe!! Hiyo ndiyo inadhihieisha kuwa huyu ni punguani aliyeishiwa kila kitu kichwani, akabakiwa na uwezo wa kusoma na kuandika pekee.

Analeta riwaya ndefu iliyojaa upuuzi mtupu!!
 
Mleta mada anazidi kudhihirisha upungufu wa maarifa na akili alio nao.

Tupo February lakini punguani limekwishaota kuwa CHADEMA mpaka mwezi Oktoba itakuwa imefanikiwa kukusanya tu michango. Limeshindwa kuwa hata reasoning ndogo tu ya kujiuliza, hiyo michango inalenga kufanikisha nini! Kama suala la michango litafanikiwa, kwa nini yale yalitokusudiwa kugharamiwa na hiyo michango, yasifanikiwe!! Hiyo ndiyo inadhihieisha kuwa huyu ni punguani aliyeishiwa kila kitu kichwani, akabakiwa na uwezo wa kusoma na kuandika pekee.

Analeta riwaya ndefu iliyojaa upuuzi mtupu!!
Lengo la michango ni kwajili ya matumizi ya chakula na vinywaji kwaajili ya viongozi, mbona hilo liko wazi gentleman?

Yaani matapeli na vibaka wa siasa waache kutapeliwa pesa kwaajili ya kubeti na matumizi yao binafsi na familia zao ambazo zinapitia kipindi kigumu cha kiuchumi, eti wababaike na unavyofikiria wewe?

kwamba wanakupenda sana right?
halafu shida zao nani atatue kama sio pesa yakokidogo wanayokutapeli?

ama kweli wajinga ndio waliwao,
yaani unashupaza shingo kabisaa kutapeliwa?🐒
 
Ni wazi ukata wa pesa za matumizi ya chama unawapeleka puta haswaa. Wanahaha kutumia kila njia za kupata pesa kutoka kwa watu ambao waliwaita maskini na wengine waliwaambia wanafanya kazi za laana hususani bodaboda.

Inasikitisha sana na inafedhehesha sana kwamba hao bodaboda wanaofanya kazi za laana ndio huongoza misafara yao na ndio wachangiaji wa kubwa, japo ni wazi huwa wanatapeliwa tu pesa zao kisiasa, kwasababu hawafaidiki chochote kwa michango yao kwenda kwa watu ambao hawataki kujishughulisha na chochote na wasio na mpango wa kujitegemea bali kuomba omba kuchangiwa pesa tu.

Itashangaza sana itakapofika October mwaka, mwezi wa uchaguzi, wakati wengine wakifanya engagements na wananchi pamoja na maandalizi mengine muhimu ya uchaguzi, chadema wapo bize kuomba omba kuchangiwa pesa za matumizi ya kula na kunywa kwa viongozi wa chama.

Na zaidi sana,
wamejikita katika kuhamasisha wananchi wasishiriki uchaguzi huo mkuu wa kihistoria, kama ambavyo walifanya hivyo hivyo kuhamasisha wananchi wasiende kujiandikisha kwaajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa, halafu mwisho wa siku wakaja kupinga matokeo ya uchaguzi huo.

Ni wazi hata katika uchaguzi mkuu huu wa October, kuna kila dalili kwamba chadema watajitokeza kupinga matokeo ya uchaguzi, hali ya kua walijihamasisha wasipige kura katika uchaguzi huu.

Niwahakikishie waTanzania wenzangu wote, uchaguzi mkuu wa October utakaofanyika kwa mujibu wa katiba ya nchi, mshindi atapatikana na atatangazwa na vyombo vinavyosimamia uchaguzi huo, na atapewa dhamana ya kuunda serikali na kuongoza nchi kwa maslahi mapana ya waTanzania wote.

Nashauri vyama vya siasa kujipanga vizuri kwaajili ya uchaguzi mkuu wa October mwaka huu 2025 na kuacha kutapeli wananchi pesa na kuwadhulumu fikra, uhuru na haki zao za kikatiba kushiriki uchaguzi mkuu 🐒

Mungu Ibariki Tanzania.
Masta, nje ya Chadema issues, una contents zingine za kupost Gentleman??
 
Hv waonaje kibaka akawa babako???
ombaomba pesa kwa utapeli ni fedheha sana kwa familia, hali ya kua ana nguvu ya kufanya kazi na kujitegemea kiuchumi, inasikitisha sana mtu mzima kua na tabia mbaya kiasi hicho 🐒
 
Masta, nje ya Chadema issues, una contents zingine za kupost Gentleman??
relax and calm down gentleman,

check content za wadau wengine itakusaiadia sana na kuacha kubabaika 🐒
 
Ni wazi ukata wa pesa za matumizi ya chama unawapeleka puta haswaa. Wanahaha kutumia kila njia za kupata pesa kutoka kwa watu ambao waliwaita maskini na wengine waliwaambia wanafanya kazi za laana hususani bodaboda.

Inasikitisha sana na inafedhehesha sana kwamba hao bodaboda wanaofanya kazi za laana ndio huongoza misafara yao na ndio wachangiaji wa kubwa, japo ni wazi huwa wanatapeliwa tu pesa zao kisiasa, kwasababu hawafaidiki chochote kwa michango yao kwenda kwa watu ambao hawataki kujishughulisha na chochote na wasio na mpango wa kujitegemea bali kuomba omba kuchangiwa pesa tu.

Itashangaza sana itakapofika October mwaka, mwezi wa uchaguzi, wakati wengine wakifanya engagements na wananchi pamoja na maandalizi mengine muhimu ya uchaguzi, chadema wapo bize kuomba omba kuchangiwa pesa za matumizi ya kula na kunywa kwa viongozi wa chama.

Na zaidi sana,
wamejikita katika kuhamasisha wananchi wasishiriki uchaguzi huo mkuu wa kihistoria, kama ambavyo walifanya hivyo hivyo kuhamasisha wananchi wasiende kujiandikisha kwaajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa, halafu mwisho wa siku wakaja kupinga matokeo ya uchaguzi huo.

Ni wazi hata katika uchaguzi mkuu huu wa October, kuna kila dalili kwamba chadema watajitokeza kupinga matokeo ya uchaguzi, hali ya kua walijihamasisha wasipige kura katika uchaguzi huu.

Niwahakikishie waTanzania wenzangu wote, uchaguzi mkuu wa October utakaofanyika kwa mujibu wa katiba ya nchi, mshindi atapatikana na atatangazwa na vyombo vinavyosimamia uchaguzi huo, na atapewa dhamana ya kuunda serikali na kuongoza nchi kwa maslahi mapana ya waTanzania wote.

Nashauri vyama vya siasa kujipanga vizuri kwaajili ya uchaguzi mkuu wa October mwaka huu 2025 na kuacha kutapeli wananchi pesa na kuwadhulumu fikra, uhuru na haki zao za kikatiba kushiriki uchaguzi mkuu 🐒

Mungu Ibariki Tanzania.
Kwa Chadema hii kwa kweli acha tuwachangie tu. Mimi pia nimewachangia na kila mwisho wa mwezi kuna pesa nitakuwa nakatwa. Angalau hawa wana kitu. Siyo mijizi ya CCM tunaichangia inaenda kuhonga na kuiba kura.
 
Back
Top Bottom