Pre GE2025 Mpaka kufikia Oktoba 2025, CHADEMA watakuwa wamefanikiwa kutangaza njia za kujipatia pesa tu na sio kutafuta kura na kushinda uchaguzi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwa Chadema hii kwa kweli acha tuwachangie tu. Mimi pia nimewachangia na kila mwisho wa mwezi kuna pesa nitakuwa nakatwa. Angalau hawa wana kitu. Siyo mijizi ya CCM tunaichangia inaenda kuhonga na kuiba kura.
weka vizur hilo gentleman kwamba tayari umetapeliwa na utaendelea kutapeliwa kidigitali na matapeli na vibaka wa kisiasa πŸ’
 
Pumba tupu
 
CCM hawana amani wakiamka Chadema, wakila chakula wanawaza Chadema, Wakienda kulala ni Chadema, kweli Chadema ndo chama chenye uwezo wa kuitingisha na kuiangusha CCM
 
ana pigaga mayowe sana,

Heche hua anaenda kujifungia chooni analia weee mpaka anakonda ndio anajitokeza, halafu anakua mkali balaa ukijaribu kuhoji kama kapigwa na muhindi πŸ’
Babujee na Amrisar wa upanga west.... wanamfahamu Heche...alishawahi kuweka gari...hao vijana wa kidosi wakailamba....
Mijamaa hii kwa kubeti hatari tupu....
 
weka vizur hilo gentleman kwamba tayari umetapeliwa na utaendelea kutapeliwa kidigitali na matapeli na vibaka wa kisiasa πŸ’
Yes na ninafurahia kutapeliwa huku. Nitaendelea kutapeliwa sababu nitaendelea kuchangia. Chadema hii imekusaidia na wewe kila baada ya masaa unafungua uzi kuhusu CDM. so shukuru sana ujio wa Lissu bila Lissu usingekuwa na cha kuandika.
 
Wewe huoni itakuwa faida kwako?

Hicho unachokipigia hujui ni kitu gani siku zote mada zako zinapingana.
 
Wewe huoni itakuwa faida kwako?

Hicho unachokipigia hujui ni kitu gani siku zote mada zako zinapingana.
hakuna faida gentleman but ni Ukweli kwa waTanzania kutambua matapeli na vibaka wa kisiasa nchini,

low IQ haiwez elewa hoja nzito kama hizi gentleman πŸ’
 
hakuna faida gentleman but ni Ukweli kwa waTanzania kutambua matapeli na vibaka wa kisiasa nchini,

low IQ haiwez elewa hoja nzito kama hizi gentleman πŸ’
Hizo propaganda hazina nafasi tena. Vibaka wako huko ccm kunakoliwa mabilioni ya pesa na hamsemi kitu.
 
Yes na ninafurahia kutapeliwa huku. Nitaendelea kutapeliwa sababu nitaendelea kuchangia. Chadema hii imekusaidia na wewe kila baada ya masaa unafungua uzi kuhusu CDM. so shukuru sana ujio wa Lissu bila Lissu usingekuwa na cha kuandika.
pole sana gentleman,
mko wengi tu maskini ya Mungu, kama mazuzu vile, yaani mna hali ngumu kiuchumi, na bado mnabebwa kizembezembe na kutapeliwa hata kidogo mliochonacho na matapeli wa kisiasa,

inasikitisha sana inafedhehesha mno aise πŸ’
 

Inasikitisha sana kwa M Tanzania kuandika haya maneno
 
Laiti ikitokea uchaguzi ukafanyika kwa huru na haki, basi hata kama chadema wasipifanya kampeni au wafanye kampeni siku moja tu kabla ya uchaguzi, na kuhakikisha CCM watagaragazwa vibaya mno na wananchi.

Kiufupi tumewachoka mnooooo viongozi na CCM yao.

Hivi Kuna alieshituka kuwa CCM na tanesco wametuongezea gharama za Matumizi ya umeme????
 
Hizo propaganda hazina nafasi tena. Vibaka wako huko ccm kunakoliwa mabilioni ya pesa na hamsemi kitu.
hakuna propaganda kwenye Ukweli kama huo gentleman,

inasikitisha tu kuona kijana anaepitia hali ngumu ya kimaisha anakubali kutapeliwa kiuchumi na vibaka wa kisiasa,

inafedhehesha sana kwakweli πŸ’
 
Uchaguzi ni huru na wa haki mara zote gentleman,

ila dhana potofu na vizingizio visivyo na tija haviwezi kunajisi zoezi hilo muhimu la kikatiba.

hata vibaka na matapeli wapige mayowe na makele mengi kiasi gani, Uchaguzi utafanyika October mwaka huu 2025 kwa mujibu wa katiba na sio makele ya mtu πŸ’
 
hakuna propaganda kwenye Ukweli kama huo gentleman,

inasikitisha tu kuona kijana anaepitia hali ngumu ya kimaisha anakubali kutapeliwa kiuchumi na vibaka wa kisiasa,

inafedhehesha sana kwakweli πŸ’
Nakwambia hivi hizo propaganda zako hazina nafasi yeyote. Kuna kamera 40 zinataka kufungwa kwa 540 milion. Kushaliona hilo?
 
pole sana gentleman,
mko wengi tu maskini ya Mungu, kama mazuzu vile, yaani mna hali ngumu kiuchumi, na bado mnabebwa kizembezembe na kutapeliwa hata kidogo mliochonacho na matapeli wa kisiasa,

inasikitisha sana inafedhehesha mno aise πŸ’
No. Mimi si maskini. Nina uwezo mzuri. Kama naweza changia usd 500 kwa mwezi siwezi kuitwa maskini. Hii ni kila mwezi. Nafurahi kuchangia. Na wewe sasa changiwa na Mbowe. Sawa? Kwa sasa mnajishughulisha na nini? Mbowe amekuwa kimya sana.
 
Nakwambia hivi hizo propaganda zako hazina nafasi yeyote. Kuna kamera 40 zinataka kufungwa kwa 540 milion. Kushaliona hilo?
Gentleman,
wakati kuna makanisa nchini yamefungwa kamera 4 tu za kisasa kwa 1bilion 🀣

hizo kamera 40 kwa million mia5 mbona very cheap, ni za kisasa kweli?🀣
 
No. Mimi si maskini. Nina uwezo mzuri. Kama naweza changia usd 500 kwa mwezi siwezi kuitwa maskini. Hii ni kila mwezi. Nafurahi kuchangia. Na wewe sasa changiwa na Mbowe. Sawa? Kwa sasa mnajishughulisha na nini? Mbowe amekuwa kimya sana.
unaweza kua vizur kiuchumi lakini fikra ndo hivyo tena,

hata vibaka tu wa kisiasa wasio na mbele wala nyuma wanakutapeli,
inasikitisha sana dah 🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…