Mpaka leo hajanitafuta, nakosa usingizi kabisa

Mpaka leo hajanitafuta, nakosa usingizi kabisa

Twinawe

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2016
Posts
2,431
Reaction score
5,336
Huyu binti nimekutana naye mara moja na sikuwahi kumjua kabla ila ananinyima usingizi. Juzi jumapili wakati natoka Makumbusho usiku alipanda gari nililokua nimepanda tukashuka wote Buguruni.

Nilimfata nikamwomba kama hatojali tubadilishane no kwa mawasiliano zaidi haikua rahisi nilihojiwa maswali kama naomba kazi UN.

Kishingo upande akanipa no akasema ila haipatikani akifika atawasha simu nami akasave yangu kwa simu alodai ni ya rafiki yake anatoka kuifata kwa fundi.

Tokea tulivyoachana hajanitafuta na no haipatikani. Naumia sana nawaza sana siko tayari kumpoteza na sijui wapi pa kumpata.
 
baada ya kupeana namba Unge mpa minoti kadhaa kama ahsante kwa kutumia muda wake wa maongezi kumsimamisha njiani, hiyo ingempa flashback hata kama akiondoka, kumbuka nguvu ya pesa,pesa hupunguza kujieleza sana

Wala isingesaidia mkuu. Mademu hua wana uwezo mkubwa sana wa kunusa fursa kwa sekunde chache tu za kukutana na wewe. Huyo demu alishamthaminisha jamaa akaona hapa hamna kitu ndio maana akampa namba hewa ili kupunguza usumbufu 😂😂
 
Huyu binti nimekutana naye mara moja na sikuwahi kumjua kabla ila ananinyima usingizi.

Juzi jumapili wakati natoka Makumbusho usiku alipanda gari nililokua nimepanda tukashuka wote Buguruni.

Nilimfata nikamwomba kama hatojali tubadilishane no kwa mawasiliano zaidi haikua rahisi nilihojiwa maswali kama naomba kazi UN.

Kishingo upande akanipa no akasema ila haipatikani akifika atawasha simu nami akasave yangu kwa simu alodai ni ya rafiki yake anatoka kuifata kwa fundi.

Tokea tulivyoachana hajanitafuta na no haipatikani.

Naumia sana nawaza sana siko tayari kumpoteza na sijui wapi pa kumpata
Huu ni uzwazwa umekufika ila bado hujajitambua. Kama angekuwa amekuelewa angekupa namba ya halali. Shtuka, na chapa mwendo
 
Back
Top Bottom