Mpaka leo, pesa iliyopatikana kutokana na mauzo ya timu ya Chelsea haijatumika

Mpaka leo, pesa iliyopatikana kutokana na mauzo ya timu ya Chelsea haijatumika

crankshaft

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2019
Posts
1,427
Reaction score
3,438
Pamoja na timu ya Chelsea kuuzwa tangu mwezi Machi mwaka jana, Serikali ya Uingereza haijatumia hata mia kwa fedha zilizopatikana kutokana na mauzo hayo.

Zaidi ya 2.5b £ (Karibu trilion 6 za kibongo) zipo benki kutokana na mkwamo wa kisheria juu ya kuruhusu pesa hizo. Wakati Uingereza ikitaka pesa hizo zikatumike katika misaada ya kibinadamu nchini Ukraine, aliyekuwa mmiliki wa timu hiyo bwana Roman Abramovich anataka zikasaidie waathirika wa pande zote mbili yaani Urusi na Ukraine hivyo kugoma kutoa idhini/saini yake kuruhusu matumizi ya fedha hizo.

Hii ndio mifumo imara ya kisheria na haki ya nchi za kimagharibi waliyojiwekea wenyewe mpaka wanashindwa kuivunja.
 
Pamoja na timu ya chelsea kuuzwa tangu mwezi machi mwaka jana, serikali ya uingereza haijatumia hata mia kwa fedha zilizopatikana kutokana na mauzo hayo.

zaidi ya 2.5b £(karibu trilion 6 za kibongo) zipo benki kutokana na mkwamo wa kisheria juu ya kuruhusu pesa hizo. Wakati uingereza ikitaka pesa hizo zikatumike katika misaada ya kibinadamu nchini ukraine, aliyekuwa mmiliki wa timu hiyo bwana roman abramovich anataka zikasaidie waathirika wa pande zote mbili yaani urusi na ukraine hivyo kugoma kutoa idhini/saini yake kuruhusu matumizi ya fedha hizo.

hii ndio mifumo imara ya kisheria na haki ya nchi za kimagharibi waliyojiwekea wenyewe mpaka wanashindwa kuivunja.
Cha juu tulichopigwa na BAE Systems tulivyonunua radar walikitumiaje?
 
Wewe leo tunalalamika USD hakuna unadhani kwanini, umewawekea vikwazo matajiri wa Urusi, umefungia pesa zao nk, mfano leo bongo usema Bakheresa, Mo na wengine wasipewe pesa benki unadhani nini kitatokea huku chini?

Urusi ni jabali kubwa sana, benki zinafiliska huko Marekani unadhani kwanini?
 
Wewe leo tunalalamika USD hakuna unadhani kwann, umewawekea vikwazo matajiri wa Urusi, umefungia pesa zao nk, mfano leo bongo usema Bakheresa, Mo na wengine wasipewe pesa benki unadhani nini kitatokea huku chini?

Urusi ni jabari kubwa sana, benki zinafiriska huko Marekani unadhani kwann?
We nae akili kisoda. Watu wanaleta hoja we unaleta viroja.

Yaani Tanzania tulalamike hakuna USD kisa matajiri wa Urusi? Una akili sawasawa?
 
Wewe leo tunalalamika USD hakuna unadhani kwann, umewawekea vikwazo matajiri wa Urusi, umefungia pesa zao nk, mfano leo bongo usema Bakheresa, Mo na wengine wasipewe pesa benki unadhani nini kitatokea huku chini?

Urusi ni jabari kubwa sana, benki zinafiriska huko Marekani unadhani kwann?
Ficha ujinga wako.
 
Wewe leo tunalalamika USD hakuna unadhani kwann, umewawekea vikwazo matajiri wa Urusi, umefungia pesa zao nk, mfano leo bongo usema Bakheresa, Mo na wengine wasipewe pesa benki unadhani nini kitatokea huku chini?

Urusi ni jabari kubwa sana, benki zinafiriska huko Marekani unadhani kwann?
Umeishia darasa la ngapi??.
 
Back
Top Bottom