Ndugu zangu wa JF ufike wakati vijana tujifunze mambo yanayo ikera jamii , ambayo tunayashuhudia kila siku kwa kuyaona ,kusikia hata kutendewa kabisa wakati tunafahamu fika si sahihi,..
Ndugu zangu katika elimu ususa ni masuala ya vyuo. Tumeshuhudia mabadiliko yaliyo letwa haraka yaani wa nasema BIG RESULT NOW ,da kwa kweli walifanikiwa kweli kweli tena waka sema form 6 watajiunga chuo div 1 hadi div 4 .
Jamani usumbufu unaowapata wanafunzi KUJIUNGA CHUO,KUOMBA MKoPO, KUHAMA CHUO ni karaha na maumivu yasiyo yalazima lakini najiuliza KOSA HILI NILA NANI ?
Hivi nani ALAUMIWE?
Jamani kweli kama serikali yetu haijaweza kusomesa watanzania bure vyuoni !! HATAMKOPO NAO HAIWEZI KUWA KOPESHA? Da nauliza. MPAKA LINI???????
VIJANA TUYAONE ,TUJIFUNZE ,YATUKERE,NA TUYAREKEBISHE. TUNAPOPATA NYAZIFA HIZO!
Ndugu zangu katika elimu ususa ni masuala ya vyuo. Tumeshuhudia mabadiliko yaliyo letwa haraka yaani wa nasema BIG RESULT NOW ,da kwa kweli walifanikiwa kweli kweli tena waka sema form 6 watajiunga chuo div 1 hadi div 4 .
Jamani usumbufu unaowapata wanafunzi KUJIUNGA CHUO,KUOMBA MKoPO, KUHAMA CHUO ni karaha na maumivu yasiyo yalazima lakini najiuliza KOSA HILI NILA NANI ?
Hivi nani ALAUMIWE?
Jamani kweli kama serikali yetu haijaweza kusomesa watanzania bure vyuoni !! HATAMKOPO NAO HAIWEZI KUWA KOPESHA? Da nauliza. MPAKA LINI???????
VIJANA TUYAONE ,TUJIFUNZE ,YATUKERE,NA TUYAREKEBISHE. TUNAPOPATA NYAZIFA HIZO!