Mpaka lini tutavumilia juu ya Vituko vya Marefa wanaochezesha Ligi Mbalimbali Tanzania?

Sawa,mfano tukio la Morrison kumpiga ngumi Nyoso mechi ya jkt na simba,na penyewe hadi VAR??
Kwa mfano penati waliyopewa Yanga dhidi ya Simba ambapo kosa lilifanyika nje ya box,au penati waliyopewa Yanga dhidi ya KMC wachezaji wamegongana lakini Yanga wakazawadiwa penati. Kwa ujumla wake marefa wetu wako chini kabisa ya kiwango ndiyo maana malalamiko hayaishi.
 
100%
 
wanatuharibia mpira hawa. Kwann hatua kali zisichukukuliwe??
 
Jana Mikia wamepewa penalty ya bure. Over.
 
uko sahihi wote tunakosea lakini sasa nani atamvisha paka kengere,kwamfano kwa game kama ya jana simba wangesema hapana ile sio penalty na mpijaji wa penalty kagere angetoa njee tayari ingejenga aina Fulani kichwani kuwa tusioneane kwa maamuzi mabovu ya marefa
 
Ulishaona wapi hiyo? Timu inatafuta ushindi,fursa imejitokeza ,hata wewe utaiachia?
NB.Hata kwa wenzetu tunaodhani wako mbele yapo.VAR inawafanya "kitu" mbaya wengi lakini hatusikii malalamiko kama haya bali wanajitahidi kuboresha na si kutaka kukazia waamuzi. Ili tusonge mbele nadhani tuanzishe matumizi ya VAR au kuwe na jopo la kupitia matukio yenye utata na uamuzi utolewe hapo hapo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…