Mpaka lini utekaji, utesaji na mauaji Nchini Tanzania?

Mpaka lini utekaji, utesaji na mauaji Nchini Tanzania?

Mushkov

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2024
Posts
357
Reaction score
686
Ndugu zangu Watanzania, kila mmoja wetu ameshuhudia wimbi kubwa la utekaji, utesaji na mauaji hapa Nchini hasa kabla na wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa 2024.

Mimi niwaombe wanaotekeleza mambo haya, waangalie zaidi UBINADAMU na UTANZANIA wetu. Tofauti ya vyama vyetu isiwe sababu ya kuuana kwetu. Naomba tusitafute ushindi wa kishindo kwa kumwaga damu za wasio na hatia. Inashangaza sana kuona kila Halmashauri, Wilaya na Mkoa kila mmoja anataka ushindi wa uchaguzi wa 100%. Nadhani hii ndo inayopelekea Madhira haya.

Kuna shida gani kama mtu atapata ushindi angalau kuanzia 75% na kuendelea? Mbona wakati wa J.M. Kikwete iliwezekana? Je, alipungukiwa na nini kwa ushindi wa kiwango kile? Katika hali ya kawaida haiwezekani wapiga kura wote Tanzania nzima wakakipigia kura chama kimoja tu na kukipa ushindi wa 100%.

Naomba sana, watawala wetu wajitathmini. Kupitia tu uchaguzi wa serikali za mitaa uliopita juzi juzi hapa kumejengeka chuki ya hali ya juu sana baina ya Watanzania kwa Watanzania na Watanzania na watawala.

Hali hii haileti afya kwa Taifa letu.

Nawasilisha.​
 
Ndugu zangu Watanzania, kila mmoja wetu ameshuhudia wimbi kubwa la utekaji, utesaji na mauaji hapa Nchini hasa kabla na wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa 2024.

Mimi niwaombe wanaotekeleza mambo haya, waangalie zaidi UBINADAMU na UTANZANIA wetu. Tofauti ya vyama vyetu isiwe sababu ya kuuana kwetu. Naomba tusitafute ushindi wa kishindo kwa kumwaga damu za wasio na hatia. Inashangaza sana kuona kila Halmashauri, Wilaya na Mkoa kila mmoja anataka ushindi wa uchaguzi wa 100%. Nadhani hii ndo inayopelekea Madhira haya.

Kuna shida gani kama mtu atapata ushindi angalau kuanzia 75% na kuendelea? Mbona wakati wa J.M. Kikwete iliwezekana? Je, alipungukiwa na nini kwa ushindi wa kiwango kile? Katika hali ya kawaida haiwezekani wapiga kura wote Tanzania nzima wakakipigia kura chama kimoja tu na kukipa ushindi wa 100%.

Naomba sana, watawala wetu wajitathmini. Kupitia tu uchaguzi wa serikali za mitaa uliopita juzi juzi hapa kumejengeka chuki ya hali ya juu sana baina ya Watanzania kwa Watanzania na Watanzania na watawala.

Hali hii haileti afya kwa Taifa letu.

Nawasilisha.​
Mpaka CCM iondoke madarakani, kwani watekaji wanafanya hivyo ili kudhoofisha upinzani na kuimarisha CCM.
 
Yawezekana kuna kikundi cha Kigaidi ila sisi hatujajua - maana police pia hawajui huu utekaji.
 
Ndugu zangu Watanzania, kila mmoja wetu ameshuhudia wimbi kubwa la utekaji, utesaji na mauaji hapa Nchini hasa kabla na wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa 2024.

Mimi niwaombe wanaotekeleza mambo haya, waangalie zaidi UBINADAMU na UTANZANIA wetu. Tofauti ya vyama vyetu isiwe sababu ya kuuana kwetu. Naomba tusitafute ushindi wa kishindo kwa kumwaga damu za wasio na hatia. Inashangaza sana kuona kila Halmashauri, Wilaya na Mkoa kila mmoja anataka ushindi wa uchaguzi wa 100%. Nadhani hii ndo inayopelekea Madhira haya.

Kuna shida gani kama mtu atapata ushindi angalau kuanzia 75% na kuendelea? Mbona wakati wa J.M. Kikwete iliwezekana? Je, alipungukiwa na nini kwa ushindi wa kiwango kile? Katika hali ya kawaida haiwezekani wapiga kura wote Tanzania nzima wakakipigia kura chama kimoja tu na kukipa ushindi wa 100%.

Naomba sana, watawala wetu wajitathmini. Kupitia tu uchaguzi wa serikali za mitaa uliopita juzi juzi hapa kumejengeka chuki ya hali ya juu sana baina ya Watanzania kwa Watanzania na Watanzania na watawala.

Hali hii haileti afya kwa Taifa letu.

Nawasilisha.​
Mungu yupo kzini
 
Mimi niwambie tu , haya matahira yanayo teka na kuuwa yajayo yatawashangaza asema Bwana
 
Mimi niwambie tu , haya matahira yanayo teka na kuuwa yajayo yatawashangaza asema Bwana
Tena siku si nyingi. Upepo wa mabadiliko utakapovuma, siku hiyo Wanajeshi pamoja na maaskari wote watakuwa upande wa raia. Wale waliokuwa wanatuma watu kwenda kuteka na kuua watu watakuwa chini ya ulinzi mkali wakisubiri hukumu yao.
 
Back
Top Bottom