Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii tozo ni unyang'anyi. Ifutiliwe mbali. La sivyo nitatembea nimebeba bango la kudai katiba mpya ikiwa pamoja na tume huru ya uchaguzi.WanaJF,
Kutokana na kauli ya msemaji ww serikali aliyoitoa juzi, Leo ndo siku ya tamko rasmi juu ya mustakabali wa tozo za miamala.
Je mpaka muda huu, kunaueyote ambaye amepata update ya tamko tajwa atujuze?.
Tunasubiria mpaka muda huu bado hakijaelewekaWanaJF,
Kutokana na kauli ya msemaji ww serikali aliyoitoa juzi, Leo ndo siku ya tamko rasmi juu ya mustakabali wa tozo za miamala.
Je mpaka muda huu, kunaueyote ambaye amepata update ya tamko tajwa atujuze?.