Jimmy De Lite
JF-Expert Member
- Jun 10, 2019
- 635
- 2,321
Hey Guys,,,,
okay,,,fresh
Hakuna asiye jua jinsi Wasafi festival ilivyo kuja kwa nguvu mpaka kupelekea kuwatia mashaka clouds na Fiesta yao.
Ile hali kwa hali ya kawaida ilikuwa ni tishio kubwa kwa clouds,Hata mtu aliye kuwa anashuhudia ile vita ni wazi kabisa kulikuwa na asilimia 80 ya clouds kudondoka hasa ukizingatia Ruge alikuwa hayupo tena(alikuwa ICU),
Baada ya Ruge kufariki ndo kabisaa watu tuka amini huu ndo mwisho wa utawala wa clouds.
Mwaka huu nimezifuatilia hizi show mbili pinzani (wasafi na Fiesta),nilicho gundua ni kuwa,Clouds hajapata mpinzani bado,Wasafi festival licha ya kuwa ndo show yenye wasanii wakubwa ikiongozwa na Diamond Lakini kila mkoa inapo enda haishitui kama ilivyo kwa Tigo fiesta,Sijui tatizo ni nini,
Wasafi imeanzisha tamasha hili kutegemea nguvu aliyo nayo Diamond na kila kitu kumwachia yeye mpaka promo,Wamesahau kuwa lile ni tamasha so lazima liwe na watu nyuma yake wanao deal na vitu vingine ili Diamond abaki kama performer tu
Kwa maana hiyo hilo tamasha siyo la kudumu Bali nila muda tu cz halina Hata kitu cha ziada ndani yake,
Kama kuna watu nyuma ya tamasha la Wasafi basi ni wazi kuwa tayari wameshafeli,
Nataman nimjue yule aliye kuwa nyuma ya ile show ya Diamond iliyo fanyika Kahama,Ni show iliyo kuwa na mvuto kuanzia promo mpaka stejini pale,Nilitegemea show zote za mwaka huu watakapo pita Wasafi itakuwa zaidi ya pale,Lakini imekuwa tofauti kabisa.
Clouds haijapata mpinzani bado, ila sema wamepata mpinzani wa kuwafanya wazidi kujiimarisha,Imagne weekend hii Tigo fiesta inafanyika Dodoma ila kuna mashabiki kama uki penda utanunua tiketi hapa Dar na uta ondoka na Treni,humo ndani kutakuwa na bata zote,kuanzia wasanii wote,DJ's wote wa clouds pamoja na Presenters wote,humo ni mwendo wa bata tu mpaka Dom,kwa ubunifu huu ni nani wa kushindana na hawa jamaa? Najua hapa kuna watu watasema kuwa eti clouds wanatafuta watu wa kujaza show😀😀😀.
Wasafi niwashauri kitu,
Hii Dunia ya sasa kila kitu ni ubunifu,nyie najua jeuri yenu ni kuwa mna wasanii wakubwa hivyo watu watakuja kwenye tamasha lenu,kama jeuri yenu ni hiyo basi mshafeli,Mnahitaji kujichang'anya na watu ili kuleta hamasa kama wafanyavyo CMG,Pia hili la kujiamini kuwa mna kila kitu cha kuwavutia watu mmelipeleka mpaka kwenye TV na Radio yenu,Mkiendelea na hii jeuri yenu basi mjue media yenu itaishia kuwa kama Times FM tu,Kumbukeni Diamond huko mbeleni hatakuwepo au hatakuwa na influence kama aliyonayo sasa ila hilo tamasha na hzo Radio\Tv vitakuwepo,huu ni muda wa walioko chini ya hivyo vitu kufanya promo ya kutosha kupitia brand ya Wasafi ili vijitegemee na siyo kumtegemea Diamond.
#Jimmy-De-Lite
okay,,,fresh
Hakuna asiye jua jinsi Wasafi festival ilivyo kuja kwa nguvu mpaka kupelekea kuwatia mashaka clouds na Fiesta yao.
Ile hali kwa hali ya kawaida ilikuwa ni tishio kubwa kwa clouds,Hata mtu aliye kuwa anashuhudia ile vita ni wazi kabisa kulikuwa na asilimia 80 ya clouds kudondoka hasa ukizingatia Ruge alikuwa hayupo tena(alikuwa ICU),
Baada ya Ruge kufariki ndo kabisaa watu tuka amini huu ndo mwisho wa utawala wa clouds.
Mwaka huu nimezifuatilia hizi show mbili pinzani (wasafi na Fiesta),nilicho gundua ni kuwa,Clouds hajapata mpinzani bado,Wasafi festival licha ya kuwa ndo show yenye wasanii wakubwa ikiongozwa na Diamond Lakini kila mkoa inapo enda haishitui kama ilivyo kwa Tigo fiesta,Sijui tatizo ni nini,
Wasafi imeanzisha tamasha hili kutegemea nguvu aliyo nayo Diamond na kila kitu kumwachia yeye mpaka promo,Wamesahau kuwa lile ni tamasha so lazima liwe na watu nyuma yake wanao deal na vitu vingine ili Diamond abaki kama performer tu
Kwa maana hiyo hilo tamasha siyo la kudumu Bali nila muda tu cz halina Hata kitu cha ziada ndani yake,
Kama kuna watu nyuma ya tamasha la Wasafi basi ni wazi kuwa tayari wameshafeli,
Nataman nimjue yule aliye kuwa nyuma ya ile show ya Diamond iliyo fanyika Kahama,Ni show iliyo kuwa na mvuto kuanzia promo mpaka stejini pale,Nilitegemea show zote za mwaka huu watakapo pita Wasafi itakuwa zaidi ya pale,Lakini imekuwa tofauti kabisa.
Clouds haijapata mpinzani bado, ila sema wamepata mpinzani wa kuwafanya wazidi kujiimarisha,Imagne weekend hii Tigo fiesta inafanyika Dodoma ila kuna mashabiki kama uki penda utanunua tiketi hapa Dar na uta ondoka na Treni,humo ndani kutakuwa na bata zote,kuanzia wasanii wote,DJ's wote wa clouds pamoja na Presenters wote,humo ni mwendo wa bata tu mpaka Dom,kwa ubunifu huu ni nani wa kushindana na hawa jamaa? Najua hapa kuna watu watasema kuwa eti clouds wanatafuta watu wa kujaza show😀😀😀.
Wasafi niwashauri kitu,
Hii Dunia ya sasa kila kitu ni ubunifu,nyie najua jeuri yenu ni kuwa mna wasanii wakubwa hivyo watu watakuja kwenye tamasha lenu,kama jeuri yenu ni hiyo basi mshafeli,Mnahitaji kujichang'anya na watu ili kuleta hamasa kama wafanyavyo CMG,Pia hili la kujiamini kuwa mna kila kitu cha kuwavutia watu mmelipeleka mpaka kwenye TV na Radio yenu,Mkiendelea na hii jeuri yenu basi mjue media yenu itaishia kuwa kama Times FM tu,Kumbukeni Diamond huko mbeleni hatakuwepo au hatakuwa na influence kama aliyonayo sasa ila hilo tamasha na hzo Radio\Tv vitakuwepo,huu ni muda wa walioko chini ya hivyo vitu kufanya promo ya kutosha kupitia brand ya Wasafi ili vijitegemee na siyo kumtegemea Diamond.
#Jimmy-De-Lite