Mpaka polisi wa kutuliza ghasia wamewekwa standby, ina maana walishajipanga mapema kutupa matokeo ya mchongo Urais TLS?

Mpaka polisi wa kutuliza ghasia wamewekwa standby, ina maana walishajipanga mapema kutupa matokeo ya mchongo Urais TLS?

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Dodoma huko mambo ni moto. Kura wamemaliza kupiga saa 8 lakini mpaka sasa matokeo hola.

Kura zenyewe ziko elf 2 tu, nini kinawafanya wachukue muda mrefu hivyo?

Unaambiwa mpaka polisi wa kutuliza ghasia wamewekwa standby kama kikinuka waingilie kati!

Mpaka wamejitayarisha na polisi kabisa ina maana waliandaa mapema kutuletea matokeo ya mchongo?

Uchaguzi huu wa TLS umeonesha udhaifu mkubwa kwa serilkali. Yaani kukiwa na mtu anayeweza kuwachallange tu wanafanya ujinga ambao hata mtoto mdogo anabaki anashangaa!

Wacha tusubiri kitakachojiri!
Soma pia: Yanayojiri Uchaguzi wa Rais TLS: Zoezi la kuhesabu kura limekamilika, Rais wa TLS 2024 kutangazwa muda wowote kutoka sasa
 
Wakuu,

Dodoma huko mambo ni moto. Kura wamemaliza kupiga saa 8 lakini mpaka sasa matokeo hola.

Kura zenyewe ziko elf 2 tu, nini kinawafanya wachukue muda mrefu hivyo?

Unaambiwa mpaka polisi wa kutuliza ghasia wamewekwa standby kama kikinuka waingilie kati!

Mpaka wamejitayarisha na polisi kabisa ina maana waliandaa mapema kutuletea matokeo ya mchongo?

Uchaguzi huu wa TLS umeonesha udhaifu mkubwa kwa serilkali. Yaani kukiwa na mtu anayeweza kuwachallange tu wanafanya ujinga ambao hata mtoto mdogo anabaki anashangaa!

Wacha tusubiri kitakachojiri!
Kumbe moshi mweupe bado?
 
Wakuu,

Dodoma huko mambo ni moto. Kura wamemaliza kupiga saa 8 lakini mpaka sasa matokeo hola.

Kura zenyewe ziko elf 2 tu, nini kinawafanya wachukue muda mrefu hivyo?

Unaambiwa mpaka polisi wa kutuliza ghasia wamewekwa standby kama kikinuka waingilie kati!

Mpaka wamejitayarisha na polisi kabisa ina maana waliandaa mapema kutuletea matokeo ya mchongo?

Uchaguzi huu wa TLS umeonesha udhaifu mkubwa kwa serilkali. Yaani kukiwa na mtu anayeweza kuwachallange tu wanafanya ujinga ambao hata mtoto mdogo anabaki anashangaa!

Wacha tusubiri kitakachojiri!
Mwabukusi ameshinda
 
Kwamba Mwabukusi akishinda anaogopeka kiasi hicho hadi serikali iandae pandikizi lake!
Hata sioni cha maana kitakachofanywa na hao TLS. Kifutwe tu.
sasa ffu wa nini kama sio uoga wao serikali
 
Kwamba Mwabukusi akishinda anaogopeka kiasi hicho hadi serikali iandae pandikizi lake!
Hata sioni cha maana kitakachofanywa na hao TLS. Kifutwe tu.
Wafute nini??
Unajua hata maana ya mabaraza na Vyama vya kitaaluma unajua umuhimu wake??

Ni sawa na kusema MCT (Chama cha madaktari Tanganyika kifutwe) sijui kama Hata wewe ni mwanataaluma au unajua nini maana ya Taaluma
 
Wewe hujui ila serikali wanajua umuhimu wao
1722623707822.jpg
 
Unazungumzia umuhimi wa kwenye makaratasi au?
Unahisi TLS, MCT na vyama Vingine vya Kisheria umuhimh wake ni kwenye makaratasi??
Unajua Wakili hawezi kufanya kazi ya Uwakili mpaka achunguzwe au Apate vigezo vya TLS na Asajiliwe na TLS??

Daktari hwezi kufanya kazi ya Udaktari mpaka Asajiliwe na MCT Na apewe leseni ga kufanya kazi??
 
Back
Top Bottom