Mpaka Poo

Mpaka Poo

Joined
Nov 19, 2013
Posts
16
Reaction score
0
Ni kweli leo walio wengi wanawake kwa madada usononeka sana kuhusu kutosheka au kufikishwa kunako lakini pia ata kutamani kumpata wakumfanyia geni maungoni mwake ikiwemo chumvin pengine ata kama mim nakuwa kama nala Tikit na pengine navuka boda je kweli wadada wa mama ni raha ilioje ukampata wakukushuulikia mpaka ukakubali ya ujawahi kukimbia kilomita hizo. Katika hili natamani nimpate coz napenda mwanamke anaependa kufanywa afurahie nami namuonyesha kweli my e mail richardjeremiah02@gmail.com any time 0764619679
 
dah! hii ni too much.........

hivi kweli mwanaume unashindwa kujisimamia kupata mwanamke bila kuweka matangazo na kuexpose namba zako za simu?
 
Wanaojua hawajitangazi wanafanya kimya kimya hizo ni dalili za udomo zege unataka uwapate kirahisi namna hiyo siju kama utaweza kuwapata wenyewe siku hizi wanaridhishwa na wallet tu tafuta mkwanja wala hautakuwa na haja ya kuweka contact zako humu utatafutwa tu na usijue mawasiliano waliko yatoa piga kazi uone! na wameshajua vijana wengi wa siku hizi kazi hawawezi labda kama una nyota nzuri!
 
dah! hii ni too much.........

hivi kweli mwanaume unashindwa kujisimamia kupata mwanamke bila kuweka matangazo na kuexpose namba zako za simu?
Mkuu inaonyesha mtoa maada ni muoga kutongoza au hajui kutongoza na anaogopa kuomba msaada hivyo ameona hiyo ndo njia ya kutibu maradhi yake!
 
Mkuu inaonyesha mtoa maada ni muoga kutongoza au hajui kutongoza na anaogopa kuomba msaada hivyo ameona hiyo ndo njia ya kutibu maradhi yake!


yaani hapo hata mwanamke atakayemtafuta atakuwa hajitambui aseeeeh!!!!!!!!
 
Kama ungetangaza kuwa atakaye kukubali utamnunulia jeep Chorokee na kumjengea nyumba ungepokea e mail mpaka page ina jam sasa wewe unaleta sera za kulamba chumvi ninani amashida na hana mtu anaye mpa huduma hiyo? Tangaza unene wa waleti tena kwa vitendo
 
Back
Top Bottom