Mpaka sasa hakuna mwanaCCM aliyeeleza pesa alizokuwa anagawa Magufuli majukwaani alizitoa katika mfuko gani

Aligawa kwa watanzania? Au?? Hata zikitoka nfukoni mwako poa tu, ww hukuweza kuzitoa hivyo alikusaidia kutoa kwa wanaohitaji
 
Magufuli alikutandika akiwa hai na bado anakutandika akiwa mfu
 
S
Swali liko palepale, hizo hela alizokuwa anagawa alizitoa wapi? Mbowe tumeshajua alipozitoa michango ya wabunge kama ambavyo uvccm mmekuwa mkiimba kila siku bila ushahidi?
 
Just Ni ushamba
 
Watakwambia kua baba yake alimuachia utajiri mkubwa wa dhahabu huko chato,si unawajua ccm lumumba kwa uwongo
 
hahahaa majizi
 
Kwani wewe ni chakula cha nini mkuu?
Mimi ni nani mpaka unijuwe? Tunamuongelea huyo aliyejifanya mungu mtu wa Tanzania kwa kuiba uchaguzi wa Serikali za mitaa wa 2019 na uchaguzi Mkuu wa 2020 as if ataishi milele.

Mungu anajuwa kutoka adhabu stahiki. Mwendazake hakutawala zaidi ya siku 114 baada ya kujitangaza Rais wa Tz Oktoba 2020
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…