Mpaka sasa hakuna mwanaCCM aliyeeleza pesa alizokuwa anagawa Magufuli majukwaani alizitoa katika mfuko gani

Yaani niende google na YouTube kutafuta utumbo wa Magufuli wakati akiwa anaharibu nilikuwa namuona!! Huo nao ni upimbi
 
Lazima wapo wanaojua zilikotoka
 
Volt 20
 
S

Swali liko palepale, hizo hela alizokuwa anagawa alizitoa wapi? Mbowe tumeshajua alipozitoa michango ya wabunge kama ambavyo uvccm mmekuwa mkiimba kila siku bila ushahidi?
Magufuli amefariki,ungekuwa na akili ungeuliza kwa waliopo hai hela wanazonunulia magoli kwa vilabu vya simba na yanga huwa wanatoa wapi ? ukipata jibu basi pia utapata jibu la swali ulilouliza
 
Hiyo ni kwamjibu wa taarifa za CAG au habari za kuokoteza kwenye vijiwe vya kahawa?.
 
Za saa100 za kununua magoli ya yanga zinatoka wapi
 
Nyumbani kwake kulikutwa dola mil 42 , kuna maswali tena hapo ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…