Mpaka sasa, hakuna mwenyekiti wa kanda au mkoa wa CHADEMA anaemuunga mkono Tundu Lisu kua mwenyekiti wa CHADEMA taifa, kulikoni?

Mpaka sasa, hakuna mwenyekiti wa kanda au mkoa wa CHADEMA anaemuunga mkono Tundu Lisu kua mwenyekiti wa CHADEMA taifa, kulikoni?

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Aliwakosea nini hawa wenyeviti wa chadema wa mikoa, hata asiwepo hata moja wao tu kumuuunga mkono Kibaraka kwenye nafasi ya mwenyekiti wa Taifa?

Nimemskia mwenyekiti wa chadema mkoa wa Mbeya, kwa dharau sana akihoji kwamba, mtu ambae hana uhakika hata na usalama wake tu, ndio apewe uenyekiti wa chadema Taifa kweli?

Akikimbilia ubeligiji nani ataongoza chama?

Aliendelea kumshutumu Kibaraka, kwa kuzusha kwamba viongozi wa chadema wamechaguliwa kwa rushwa.

My friends, ladies and gentlemen,

Kauli ya Kibaraka kudai kwamba viongozi wapya wa chadema, wa wilaya, mikoa na kanda mbalimbali wamechaguliwa kwa rushwa, ndio inaweza kua sababu ya kuchukiwa na kutokuungwa mkono na wenyeviti wa kanda na mikoa? au kuna sababu nyingine?🐒

Mungu Ibariki Tanazania
 
Aliwakosea nini hawa wenyeviti wa chadema wa mikoa, hata asiwepo hata moja wao tu kumuuunga mkono Kibaraka kwenye nafasi ya mwenyekiti wa Taifa?

Nimemskia mwenyekiti wa chadema mkoa wa Mbeya, kwa dharau sana akihoji kwamba, mtu ambae hana uhakika hata na usalama wake tu, ndio apewe uenyekiti wa chadema Taifa kweli?

Akikimbilia ubeligiji nani ataongoza chama?

Aliendelea kumshutumu Kibaraka, kwa kuzusha kwamba viongozi wa chadema wamechaguliwa kwa rushwa.

My friends, ladies and gentlemen,

Kauli ya Kibaraka kudai kwamba viongozi wapya wa chadema, wa wilaya, mikoa na kanda mbalimbali wamechaguliwa kwa rushwa, ndio inaweza kua sababu ya kuchukiwa na kutokuungwa mkono na wenyeviti wa kanda na mikoa? au kuna sababu nyingine?🐒

Mungu Ibariki Tanazania
Lissu ni mbangaizaji.
 
Aliwakosea nini hawa wenyeviti wa chadema wa mikoa, hata asiwepo hata moja wao tu kumuuunga mkono Kibaraka kwenye nafasi ya mwenyekiti wa Taifa?

Nimemskia mwenyekiti wa chadema mkoa wa Mbeya, kwa dharau sana akihoji kwamba, mtu ambae hana uhakika hata na usalama wake tu, ndio apewe uenyekiti wa chadema Taifa kweli?

Akikimbilia ubeligiji nani ataongoza chama?

Aliendelea kumshutumu Kibaraka, kwa kuzusha kwamba viongozi wa chadema wamechaguliwa kwa rushwa.

My friends, ladies and gentlemen,

Kauli ya Kibaraka kudai kwamba viongozi wapya wa chadema, wa wilaya, mikoa na kanda mbalimbali wamechaguliwa kwa rushwa, ndio inaweza kua sababu ya kuchukiwa na kutokuungwa mkono na wenyeviti wa kanda na mikoa? au kuna sababu nyingine?🐒

Mungu Ibariki Tanazania
Lisu ni mbeligiji hafai kuwa mwenyekiti wa chama Chochote Cha siasa
 
Aliwakosea nini hawa wenyeviti wa chadema wa mikoa, hata asiwepo hata moja wao tu kumuuunga mkono Kibaraka kwenye nafasi ya mwenyekiti wa Taifa?

Nimemskia mwenyekiti wa chadema mkoa wa Mbeya, kwa dharau sana akihoji kwamba, mtu ambae hana uhakika hata na usalama wake tu, ndio apewe uenyekiti wa chadema Taifa kweli?

Akikimbilia ubeligiji nani ataongoza chama?

Aliendelea kumshutumu Kibaraka, kwa kuzusha kwamba viongozi wa chadema wamechaguliwa kwa rushwa.

My friends, ladies and gentlemen,

Kauli ya Kibaraka kudai kwamba viongozi wapya wa chadema, wa wilaya, mikoa na kanda mbalimbali wamechaguliwa kwa rushwa, ndio inaweza kua sababu ya kuchukiwa na kutokuungwa mkono na wenyeviti wa kanda na mikoa? au kuna sababu nyingine?🐒

Mungu Ibariki Tanazania
Vp huko Dom leo mbona kimya sana mitandaoni
 
Aliwakosea nini hawa wenyeviti wa chadema wa mikoa, hata asiwepo hata moja wao tu kumuuunga mkono Kibaraka kwenye nafasi ya mwenyekiti wa Taifa?

Nimemskia mwenyekiti wa chadema mkoa wa Mbeya, kwa dharau sana akihoji kwamba, mtu ambae hana uhakika hata na usalama wake tu, ndio apewe uenyekiti wa chadema Taifa kweli?

Akikimbilia ubeligiji nani ataongoza chama?

Aliendelea kumshutumu Kibaraka, kwa kuzusha kwamba viongozi wa chadema wamechaguliwa kwa rushwa.

My friends, ladies and gentlemen,

Kauli ya Kibaraka kudai kwamba viongozi wapya wa chadema, wa wilaya, mikoa na kanda mbalimbali wamechaguliwa kwa rushwa, ndio inaweza kua sababu ya kuchukiwa na kutokuungwa mkono na wenyeviti wa kanda na mikoa? au kuna sababu nyingine?🐒

Mungu Ibariki Tanazania
Kwani hao wenyeviti wa Kanda Wana kura zaidi ya moja? Nilichogundua wengi wao hawasikilizi walio chini Yao, wananchi tunataka lissu
 
Hampiti huko mitandaoni
Lisu anakubalika sana nchini na nje ya nchi

Lissu for the chairman. Namuunga mkono asilimia 💯
 
Kwani hao wenyeviti wa Kanda Wana kura zaidi ya moja? Nilichogundua wengi wao hawasikilizi walio chini Yao, wananchi tunataka lissu
Just imagine,
unaenda kwenye Uchaguzi hata kabla ya kura kuanza kupigwa tayari una hakika ya kura 100 dhidi ya zero za wengineo dah!

ni kujipanga tu gentleman 🐒
 
Kila ukilala unaiota chadema, mmesahau hata kulipromoti lile bonanza lenu.
 
Kwani wana kura ngapi? Lisu anakubalika kwa wanachama wa kawaida na watz wapenda haki na mabadiliko ya kweli.
Tunajua kuna safu zilipangwa lakini hawatofua dafu.
Chama ni watu na sio machawa wanaohesabika wasiotosha hata kumshindisha diwani tu wa kata
 
Lisu ni mbeligiji hafai kuwa mwenyekiti wa chama Chochote Cha siasa
Sure,
mwenyekiti wa chadema mkoa wa Mbeya ameweka wazi sana juu ya hilo gentleman,

kwamba jamaa hana uhakika hata na usalama wake tu ndio apewe uenyekiti? akikimbilia ubeligiji itakuaje?🐒
 
Kwani wana kura ngapi? Lisu anakubalika kwa wanachama wa kawaida na watz wapenda haki na mabadiliko ya kweli.
Tunajua kuna safu zilipangwa lakini hawatofua dafu.
Chama ni watu na sio machawa wanaohesabika wasiotosha hata kumshindisha diwani tu wa kata
nadhani we bado kichanga kwenye mambo haya. unadhani wanachama wa kawaida na waTz wapenda haki ndio wanamchagua Mwenyekiti wa Chadema Taifa sio?

eti chama sio watu?🤣
basi chama ni wajumbe wa mkutano mkuu, ama hicho nacho hujui gentleman?🐒
 
Back
Top Bottom