Mpaka sasa hakuna taarifa yoyote kutoka kwa Muliro, IGP Wambura wala Waziri Masauni juu ya utekwaji wa Sativa, kuna nini?

 Mpaka sasa hakuna taarifa yoyote kutoka kwa Muliro, IGP Wambura wala Waziri Masauni juu ya utekwaji wa Sativa, kuna nini?

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu salam,

Naamini wote mpaka sasa tufahamu kuhusu suala la Sativa kutekwa mpaka kupatikana jana akiwa ameteswa sana, pamoja na maelezo yake ya awali kwa polisi.

sativ.jpg

Edga Mwakabela (Sativa)

Tulitegemea kuwe na uwajibikaji kutoka kwenye vyombo vya usalama kwa Muliro, IGP na hata Waziri wa Mambo ya Ndani, Masauni, na hata kwenye Hifadhi ya Katavi alipopatikana, sababu jambo hili si tu linatishia usalama wa nchi bali hata kimataifa inatoa picha mbaya, na Tanzania kuonekana si salama hata kwa wageni kuja kuja kutembea.

Uwajibikaji uko wapi? Wananchi tuelewe vipi kama vyombo vya usalama vinavyotakiwa kuhakikisha usalama wetu vipo kimya hata baada ya kuhusiwa kuhusika? Kwanini hawaji ku-clear the air?

Nini kinaendelea?

====

Pia soma:
~ Waziri wa Mambo ya Ndani: Tukio la anayesemekana alitekwa (SATIVA) uchunguzi unaendelea
~ ANGALIZO: Usimuache ndugu yako aondoke peke yake na watu wanaojitambulisha kama polisi
 
Policcm yanajichunguza ? Nilichogundua nchi hii Ina TISS wachache sana ambao wapo makao Makuu the rest ni wambea tu ambao wapo ma ofisini busy na kazi nyingine watekaji ni vijana wa kile chama ndio wamepewa means kama magari na fedha. Hawa wamepewa access ya police

Ukifuatilia tukio la huyo jamaa kutekwa utaona hivo
 
Hao kwani unataka waje waseme nini..?
Wewe subiri taarifa ya Misime au ya RPC wa Katavi.
 
Hao kwani unataka waje waseme nini..?
Wewe subiri taarifa ya Misime au ya RPC wa Katavi.
Huyo anaetetewa SS ukiangalia post zake unaweza ona jinsi alivyojijengea uadui na watu kwa matusi .
 
Wakuu salam,

Naamini wote mpaka sasa tufahamu kuhusu suala la Sativa kutekwa mpaka kupatikana jana akiwa ameteswa sana, pamoja na maelezo yake ya awali kwa polisi.

Tulitegemea kuwe na uwajibikaji kutoka kwenye vyombo vya usalama kwa Muliro, IGP na hata Waziri wa Mambo ya Ndani, Masauni, sababu jambo hili si tu linatishia usalama wa nchi bali hata kimataifa inatoa picha mbaya, na Tanzania kuonekana si salama hata kwa wageni kuja kuja kutembea.

Uwajibikaji uko wapi? Wananchi tuelewe vipi kama vyombo vya usalama vinavyotakiwa kuhakikisha usalama wetu vipo kimya hata baada ya kuhusiwa kuhusika? Kwanini hawaji ku-clear the air?

Nini kinaendelea?
Wanaochunguza ni binadam kwa hio kupata majib ya haraka kuna mda ni ngumu ndio maana kuna case zina miaka zaid 20 bdo zina utata
Kuna watu wanafanya matukio hawaachi alama
 
Huyo anaetetewa SS ukiangalia post zake unaweza ona jinsi alivyojijengea uadui na watu kwa matusi .
Nimeona alivyojaza matusi kwenye page yake.
Tatizo la twitter, vijana wa kule wanapenda kujifanya wajuaji na kujaribu ku fit in kwa wenzao watoto wa maboss. Mwisho wao ndo huu sasa Katavi.
 
Wakuu salam,

Naamini wote mpaka sasa tufahamu kuhusu suala la Sativa kutekwa mpaka kupatikana jana akiwa ameteswa sana, pamoja na maelezo yake ya awali kwa polisi.

Tulitegemea kuwe na uwajibikaji kutoka kwenye vyombo vya usalama kwa Muliro, IGP na hata Waziri wa Mambo ya Ndani, Masauni, na hata kwenye Hifadhi ya Katavi alipopatikana, sababu jambo hili si tu linatishia usalama wa nchi bali hata kimataifa inatoa picha mbaya, na Tanzania kuonekana si salama hata kwa wageni kuja kuja kutembea.

Uwajibikaji uko wapi? Wananchi tuelewe vipi kama vyombo vya usalama vinavyotakiwa kuhakikisha usalama wetu vipo kimya hata baada ya kuhusiwa kuhusika? Kwanini hawaji ku-clear the air?

Nini kinaendelea?
Walishaambiwa wazibe masikio
 
Wakuu salam,

Naamini wote mpaka sasa tufahamu kuhusu suala la Sativa kutekwa mpaka kupatikana jana akiwa ameteswa sana, pamoja na maelezo yake ya awali kwa polisi.

Tulitegemea kuwe na uwajibikaji kutoka kwenye vyombo vya usalama kwa Muliro, IGP na hata Waziri wa Mambo ya Ndani, Masauni, na hata kwenye Hifadhi ya Katavi alipopatikana, sababu jambo hili si tu linatishia usalama wa nchi bali hata kimataifa inatoa picha mbaya, na Tanzania kuonekana si salama hata kwa wageni kuja kuja kutembea.

Uwajibikaji uko wapi? Wananchi tuelewe vipi kama vyombo vya usalama vinavyotakiwa kuhakikisha usalama wetu vipo kimya hata baada ya kuhusiwa kuhusika? Kwanini hawaji ku-clear the air?

Nini kinaendelea?
Hao makada wa CCM wanahusika na utekwaji wa huyo kijana kwa 90%
 
Sisi Ni Mazuzu Aliuawa Akwilini , Ben Saa nane Mpaka Hujulikani Halipo, Alipogwa Lisu Risasi, Alitekwa Roma, Aliuawa Mawazo Tena Nasikia Wauaji Wameachiwa Huru, Huyu Tena Sativa Katekwa Kaumizwa Na Ushahidi Upo Wazi, Umemsikia Waziri Mkuu Au Waziri Wa Mambo Ya Ndani Kaongea? Au Ulisikia Waziri Yoyote Wa Mambo Ya Ndani Aliyejiuzulu Hakuna Si Ndio. Sisi Vijana Ni Mazuzu Nikiwemo Na Mimi
 
Sisi Ni Mazuzu Aliuawa Akwilini , Ben Saa nane Mpaka Hujulikani Halipo, Alipogwa Lisu Risasi, Alitekwa Roma, Aliuawa Mawazo Tena Nasikia Wauaji Wameachiwa Huru, Huyu Tena Sativa Katekwa Kaumizwa Na Ushahidi Upo Wazi, Umemsikia Waziri Mkuu Au Waziri Wa Mambo Ya Ndani Kaongea? Au Ulisikia Waziri Yoyote Wa Mambo Ya Ndani Aliyejiuzulu Hakuna Si Ndio. Sisi Vijana Ni Mazuzu Nikiwemo Na Mimi
Bado hatujachelewa Mkuu, kuna nafasi ya kubadilika na kudemand Uwajibikaji kuanzia sasa, wote kwa nafasi zetu tuungane na kupiga kulele

#KataaMachawa
#KataaWatuWasiyojulikana
#KataaUozo2025
 
Bado hatujachelewa Mkuu, kuna nafasi ya kubadilika na kudemand Uwajibikaji kuanzia sasa, wote kwa nafasi zetu tuungane na kupiga kulele

#KataaMachawa
#KataaWatuWasiyojulikana
#KataaUozo2025
Nenda kaandamane dada!
 
Niliwaambia wakikutaka watakupata popote ulipo uzi wangu ulifutwa na moderators ila ulikuwa unatoa ushauri mzuri sana kwa vijana never mess up with authority mazee japo haihusiani na hili.
 
Wakuu salam,

Naamini wote mpaka sasa tufahamu kuhusu suala la Sativa kutekwa mpaka kupatikana jana akiwa ameteswa sana, pamoja na maelezo yake ya awali kwa polisi.

View attachment 3028186
Edga Mwakabela (Sativa)

Tulitegemea kuwe na uwajibikaji kutoka kwenye vyombo vya usalama kwa Muliro, IGP na hata Waziri wa Mambo ya Ndani, Masauni, na hata kwenye Hifadhi ya Katavi alipopatikana, sababu jambo hili si tu linatishia usalama wa nchi bali hata kimataifa inatoa picha mbaya, na Tanzania kuonekana si salama hata kwa wageni kuja kuja kutembea.

Uwajibikaji uko wapi? Wananchi tuelewe vipi kama vyombo vya usalama vinavyotakiwa kuhakikisha usalama wetu vipo kimya hata baada ya kuhusiwa kuhusika? Kwanini hawaji ku-clear the air?

Nini kinaendelea?

====

Pia soma: ANGALIZO: Usimuache ndugu yako aondoke peke yake na watu wanaojitambulisha kama polisi

View: https://youtu.be/7-SSHMK94U0?si=73Doq_LUsnT7OMaB
 
Wakuu salam,

Naamini wote mpaka sasa tufahamu kuhusu suala la Sativa kutekwa mpaka kupatikana jana akiwa ameteswa sana, pamoja na maelezo yake ya awali kwa polisi.

View attachment 3028186
Edga Mwakabela (Sativa)

Tulitegemea kuwe na uwajibikaji kutoka kwenye vyombo vya usalama kwa Muliro, IGP na hata Waziri wa Mambo ya Ndani, Masauni, na hata kwenye Hifadhi ya Katavi alipopatikana, sababu jambo hili si tu linatishia usalama wa nchi bali hata kimataifa inatoa picha mbaya, na Tanzania kuonekana si salama hata kwa wageni kuja kuja kutembea.

Uwajibikaji uko wapi? Wananchi tuelewe vipi kama vyombo vya usalama vinavyotakiwa kuhakikisha usalama wetu vipo kimya hata baada ya kuhusiwa kuhusika? Kwanini hawaji ku-clear the air?

Nini kinaendelea?

====

Pia soma: ANGALIZO: Usimuache ndugu yako aondoke peke yake na watu wanaojitambulisha kama polisi
Machawa kaa mbali na mimi , siku ya kuniteka ,moja tutaondoka wote 2, gari ya utekaji itakutwa sehem sote tukiwa mizoga , pumbavu sana ,na wajinga wakuu
 
Upo salama iwapo tu wewe ni mtalii umekuaja nchini kutalii, au wewe ni kada unaetambulika vyema na unaunga mkono lolote lile litokalo juu na kama haujihusishi kabisa na social media.
Vyombo vya usalama vipo madhubuti kuwalinda tutakaowapa madaraka sisi.
Usalama wako ishi kama mfu baaaasi
 
Back
Top Bottom