Mpaka sasa hakuna taarifa yoyote kutoka kwa Muliro, IGP Wambura wala Waziri Masauni juu ya utekwaji wa Sativa, kuna nini?

 Mpaka sasa hakuna taarifa yoyote kutoka kwa Muliro, IGP Wambura wala Waziri Masauni juu ya utekwaji wa Sativa, kuna nini?

Wakuu salam,

Naamini wote mpaka sasa tufahamu kuhusu suala la Sativa kutekwa mpaka kupatikana jana akiwa ameteswa sana, pamoja na maelezo yake ya awali kwa polisi.

View attachment 3028186
Edga Mwakabela (Sativa)

Tulitegemea kuwe na uwajibikaji kutoka kwenye vyombo vya usalama kwa Muliro, IGP na hata Waziri wa Mambo ya Ndani, Masauni, na hata kwenye Hifadhi ya Katavi alipopatikana, sababu jambo hili si tu linatishia usalama wa nchi bali hata kimataifa inatoa picha mbaya, na Tanzania kuonekana si salama hata kwa wageni kuja kuja kutembea.

Uwajibikaji uko wapi? Wananchi tuelewe vipi kama vyombo vya usalama vinavyotakiwa kuhakikisha usalama wetu vipo kimya hata baada ya kuhusiwa kuhusika? Kwanini hawaji ku-clear the air?

Nini kinaendelea?

====

Pia soma: ANGALIZO: Usimuache ndugu yako aondoke peke yake na watu wanaojitambulisha kama polisi

Suku hizi wote wanajifanya CHURA... Zamani ilikuwa ni maelekezo kutoka juu.
 
Wakuu salam,

Naamini wote mpaka sasa tufahamu kuhusu suala la Sativa kutekwa mpaka kupatikana jana akiwa ameteswa sana, pamoja na maelezo yake ya awali kwa polisi.

View attachment 3028186
Edga Mwakabela (Sativa)

Tulitegemea kuwe na uwajibikaji kutoka kwenye vyombo vya usalama kwa Muliro, IGP na hata Waziri wa Mambo ya Ndani, Masauni, na hata kwenye Hifadhi ya Katavi alipopatikana, sababu jambo hili si tu linatishia usalama wa nchi bali hata kimataifa inatoa picha mbaya, na Tanzania kuonekana si salama hata kwa wageni kuja kuja kutembea.

Uwajibikaji uko wapi? Wananchi tuelewe vipi kama vyombo vya usalama vinavyotakiwa kuhakikisha usalama wetu vipo kimya hata baada ya kuhusiwa kuhusika? Kwanini hawaji ku-clear the air?

Nini kinaendelea?

====

Pia soma: ANGALIZO: Usimuache ndugu yako aondoke peke yake na watu wanaojitambulisha kama polisi
ni muhimu akaripoti kituo cha polisi. kuripoti mtandaoni na kwenye vyombo vya habari sidhani inatosha na kama ndio utaratibu 🐒
 
Kuuliza sio Ujinga,
Sisi wakazi wa Ibologelo, Nata, Igogo, malendi, ulemo, iguguno shamba, kizonzo, jojo, sipongwe, chombe, chumvi, chokaa, santilya, Galula, kapunga , isamgawana, mtanila, mafyeko , mbawe, Sakukwa, sangambi, kiwanja, Chalangwa. Kwani huyo Sativa ni nani na anajihusisha na nini?.
Historia yake walau kidogo
 
Jeshi la polisi ni kikundi cha wahuni kinachohitaji mamlala huru kulisimamia, kwa sasa wapo huru kutumika na wanasiasa na wahuni pia, mimi sina imani nao nasitakuja kuwa na imani nao
 
Wakuu salam,

Naamini wote mpaka sasa tufahamu kuhusu suala la Sativa kutekwa mpaka kupatikana jana akiwa ameteswa sana, pamoja na maelezo yake ya awali kwa polisi.

View attachment 3028186
Edga Mwakabela (Sativa)

Tulitegemea kuwe na uwajibikaji kutoka kwenye vyombo vya usalama kwa Muliro, IGP na hata Waziri wa Mambo ya Ndani, Masauni, na hata kwenye Hifadhi ya Katavi alipopatikana, sababu jambo hili si tu linatishia usalama wa nchi bali hata kimataifa inatoa picha mbaya, na Tanzania kuonekana si salama hata kwa wageni kuja kuja kutembea.

Uwajibikaji uko wapi? Wananchi tuelewe vipi kama vyombo vya usalama vinavyotakiwa kuhakikisha usalama wetu vipo kimya hata baada ya kuhusiwa kuhusika? Kwanini hawaji ku-clear the air?

Nini kinaendelea?

====

Pia soma: ANGALIZO: Usimuache ndugu yako aondoke peke yake na watu wanaojitambulisha kama polisi

Hao wote uliowataja ni sehemu ya huu ushetani unaosimamiwa na kulindwa na CCM na Serikali nzima ya CCM. Tunaongozwa na mashetani. Bila ya kuondokana na hawa mashetani, watanzania wataendelea kudhulumiwa haki zao za kuishi.

Kumbukeni mkuu wa Serikali aliwahi kutamka kuwa polisi wa serikali ya CCM wakimlenga mtu hawawezi kukosa kumwua.
 
Kuuliza sio Ujinga,
Sisi wakazi wa Ibologelo, Nata, Igogo, malendi, ulemo, iguguno shamba, kizonzo, jojo, sipongwe, chombe, chumvi, chokaa, santilya, Galula, kapunga , isamgawana, mtanila, mafyeko , mbawe, Sakukwa, sangambi, kiwanja, Chalangwa. Kwani huyo Sativa ni nani na anajihusisha na nini?.
Historia yake walau kidogo
Ni kati ya wakosoaji wakuu wa uozo ndani ya serikali na baadhi ya wakuu wa Serikali kuoitia mtandao wa X.
 
Back
Top Bottom