Timu 3 za kwanza katika msimamo wa ligi.
1.
Simba S.C - Pointi 17
2. Stand United - Pointi 16
3. Mtibwa Sugar - Pointi13
Timu iliyoshinda Mechi nyingi.
1.
Simba S.C - Mechi 5
2. Stand United - Mechi 4
3. Mtibwa Sugar - Mechi 4
Timu iliyofungwa Mechi chache.
1.
Simba S.C - Mechi 0
2. Stand United - Mechi 0
3. Tanzania Prisons - Mechi 1
Timu iliyofunga magoli mengi.
1.
Simba S.C - Magoli 13
2. Azam - Magoli 10
3.
Yanga Yetu S.C - Magoli 9
Wachezaji wanaaongoza kwa kufunga goli nyingi.
1.
Shiza Kichuya - Magoli 5
2. Amis Tambwe - Magoli 4
3.
Laudit Mavugoal - Magoli 3
Timu iliyofunga goli ambalo wanasayansi mbali mbali duniani wanalijadili... IMEWEZEKANAJE??!!
1.
Simba S.C - Magoli 2
2. Hakuna
3. Hakuna
ANGALIZO: [emoji116] [emoji116]
Timu iliyofunga goli la mkono mpaka sasa.
1.
Yanga Yetu S.C - Goli 1
2. Hakuna
3. Hakuna
.. na msimamo wa VPL mpaka sasa upo hivi [emoji116] [emoji116]
View attachment 414312