Mpaka sasa najiuliza why she doesn’t care

Mkuu hali ni tete nimejaribu kukaza nisimtafute lakini naona nimeshindwa an
 
Wanaume vilio always. Mateso na kulizwa kama vibinti vya zamani vilivyotolewa bikira na kukimbiwa.
 
Huko kujitoa kwenyewe usikute ni kutuma masms kila muda.
Hela unampa!?
Hivi hizi hela wanawake ni za kupewa tu ili wao wafurahie halafu watupe stress...kwa nini asitafute zake na mimi za kwangu halfu tukikutana tuzitumie wote tufurahi....! Au wao ndio wanatakiwa kufurahi peke yao.
 
Stupidity at its HIGHEST
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…