Natafuta pumziko jipya sawq lakini ishu inakuja...
Ni ngumu sana kumtengeneza mtu aendane na wewe...
Niliwekeza kwa huyu mtu aiseee hapa nawaza hata nikianza na mwingine mpya je atakua kama yule
Mungu ni mwema huenda fungu lako badoNatafuta pumziko jipya sawq lakini ishu inakuja...
Ni ngumu sana kumtengeneza mtu aendane na wewe...
Niliwekeza kwa huyu mtu aiseee hapa nawaza hata nikianza na mwingine mpya je atakua kama yule
They always dont careWakuu habari za humu ndani...
Mpaka sasa najiuliza why she don't care... Wakuu nipo na mahusiano lakini hata simwelewi huyu mwenzangu mpaka sasa.
Yupo careless an usipomtafuta sahau kutafutwa.
Hana time na wewe.
Kapeace naomba uwe miongoni mwa washauri hapa...
Why she don't care,
najitoa sana kwake lakini she don't care...
🙌🙌🙌🙌🙌 She turn me into play boy soon as possible...
Daaah kwa muda huu naona kabisa mambo yangu hayaendi .Mungu ni mwema huenda fungu lako bado
Nifanye nini dactar ...They always dont care
Noamba unitag jionMkuu naomba nielekeze hapo kwenye kujua time zone ya mtu
Wanawake wanapenda mtu ambaye yupo active hata kama upo busy kiasi gani kwasababu wakati wewe upo busy kuna mwamba anafosi bibie aingie kingi. Kwa upande wangu hata niwe busy kiasi gani manzi wangu lazima niwe namjulia hali, message namtumia na wakati mwingine nampa taarifa kabisa kabla kama nikiingia kwenye ubusy mfano mzuri kuna wakati nilimwambia Mwezi fulani nitakuwa busy mno so naomba ukiona nimechelewa kukujibu message au sijakutafuta kipindi hicho chote please usiumie nitakuwa kwenye harakati zangu na always wewe utabaki kuwa kwenye akili na kwenye moyo wangu hauwezi ukafutika. Pamoja na busy nilikuwa napitia demu alinielewa na mambo yalivyokaa sawa bado akawa loyal kwangu. Mwanamke unatakiwa uishi nae kwa akili mjue mtu wako vizuri ili ujue unaishi nae vipiBaada ya muda kabadilika na mda amebadilika baada ya mm kuwa bize na masomo
Asante mkuu jioni ntakutafuta unielekeze vizri maana nateseka sana naona kama yupo kwenye kisasi na mimi mkuuNoamba unitag jion
Lakin kiufupi time zone ni ule muda ambao MTU huwa anakuwa comfortable kuongea /kuwasiliana na kila MTU .
Daaah mkuu umeongea kitu sahihi sana..Wanawake wanapenda mtu ambaye yupo active hata kama upo busy kiasi gani kwasababu wakati wewe upo busy kuna mwamba anafosi bibie aingie kingi. Kwa upande wangu hata niwe busy kiasi gani manzi wangu lazima niwe namjulia hali, message namtumia na wakati mwingine nampa taarifa kabisa kabla kama nikiingia kwenye ubusy mfano mzuri kuna wakati nilimwambia Mwezi fulani nitakuwa busy mno so naomba ukiona nimechelewa kukujibu message au sijakutafuta kipindi hicho chote please usiumie nitakuwa kwenye harakati zangu na always wewe utabaki kuwa kwenye akili na kwenye moyo wangu hauwezi ukafutika. Pamoja na busy nilikuwa napitia demu alinielewa na mambo yalivyokaa sawa bado akawa loyal kwangu. Mwanamke unatakiwa uishi nae kwa akili mjue mtu wako vizuri ili ujue unaishi nae vipi
Mimavi = kunyaring.Nifundishe ndio...
Alafu we shangazi i told you again don't follow me..
When i start to follow you, me you will suffer
Kichwani una mavi wewe si bureMimavi = kunyaring.
Naona unamuita mama ako 😃Ety anasema hata simu ilikua ngumu kushika wakuu 😭😭😭View attachment 3135778
Mkuu ebu tuokoe jahazi kwanza...Naona unamuita mama ako 😃
kuxhka ndio neno la kigriki au ?
demu hajui ata kuandika alafu unamlilia kindezi
kunyaring in your head.Kichwani una mavi wewe si bure
Daaah ...Kingereza kibovu,she doesn't care ,sio she dont care
Unataka nipate ban tu..kunyaring in your head.
Huyo kondororing, mleta mada, anajuwa kuandikaring?Naona unamuita mama ako 😃
kuxhka ndio neno la kigriki au ?
demu hajui ata kuandika alafu unamlilia kindezi
Aibu sana kukosea lugha za watu,kiswahili kinatosha kama hakuna ulazima wa kutumia kingerezaDaaah ...
Sijui kwanini binaadamu tupo hvi...