Mpaka sasa najiuliza why she doesn’t care

Mpaka sasa najiuliza why she doesn’t care

ivi mtoto ni mwisho miaka mingap,,coz mm nna 29 saiv
Kama una miaka hiyo basi tunaweza fanya kitu mkuu..

Njoo PM ila please sitaki uniumize kama huyu wa kwanza 😭😭😭😭😭
 
Hakutaki mpotezee au kama huwezi tafuta pisi kali kuliko yeye hakikisha ameijua, hata km ni kwa kuikodi tu umuonyeshe kuwa na wewe unao uwezo wa kumiliki demu mkali kumliko, atajileta kiulaini sana
Daaah kwa sasa yupo mkoa hiko kitendo nitafanya akirudi...
Hapo kwenye kutafuta dada mzri kuliko yeye naona kama tatoboa mfuko et 😭
 
Mpe nafasi nawe ukae mbali.
Muda utasema asiposhtuka ujue hakuwa wako.
Watendee kama wao wanavyokutendea.
 
Back
Top Bottom