Mpaka sasa najiuliza why she doesn’t care

Mpaka sasa najiuliza why she doesn’t care

Wakuu habari za humu ndani...

Mpaka sasa najiuliza why she don't care... Wakuu nipo na mahusiano lakini hata simwelewi huyu mwenzangu mpaka sasa.

Yupo careless an usipomtafuta sahau kutafutwa.
Hana time na wewe.

Kapeace naomba uwe miongoni mwa washauri hapa...

Why she don't care,
najitoa sana kwake lakini she don't care...
🙌🙌🙌🙌🙌 She turn me into play boy soon as possible...
Inaonekana uko kwenye uhusiano wenye changamoto, hasa kutokana na hisia zako za kutothaminiwa au kupewa muda na mwenzako.

Hii hali inaweza kusababisha kutoelewana na kukufanya ujihisi kama wewe ndiye unayejitoa zaidi.

Kupata ufumbuzi wa kadhia hiyo, unapaswa kuzingatia mambo kadhaa yafuatayo:-

Weka wazi hisia zako
Weka wazi hisia zako kwake, lakini kwa namna ya utulivu na yenye lengo la kuelewa na kutatua changamoto zenu.

Pima Matarajio Yenu
Pengine wewe na mwenzako mko na matarajio tofauti kwenye mahusiano yenu.

Hivyo, zungumzeni kuhusu malengo na matarajio yenu ili kuona kama mpo kwenye ukurasa mmoja.

Je, ana Dalili za Kukupenda?
Kama tabia yake inaonesha ukosefu wa kujali kwa muda mrefu, inaweza kuwa ishara ya kutokuwepo uwekezaji wa kihisia kwake.

Jaribu kuangalia kama kuna ishara nyingine zinazoonyesha kutopendezwa kwake na uhusiano wenu.

Thamini Nafasi Yako
Kama unajihisi kutopewa thamani unayostahili, pengine ni wakati wa kutathmini kama uhusiano huo unakidhi haja zako au yanaongeza thamani kwako.

Ova
 
Sa si anakusaidia masuala ya Kila mara uko wapi we huoni kero anyway nitakupa mbinu ya kawaida kabisa
"Siku akija piga mashine hadi godoro iloe jasho" uone kama huta control hayo mahusiano
 
Inaonekana uko kwenye uhusiano wenye changamoto, hasa kutokana na hisia zako za kutothaminiwa au kupewa muda na mwenzako.

Hii hali inaweza kusababisha kutoelewana na kukufanya ujihisi kama wewe ndiye unayejitoa zaidi.

Kupata ufumbuzi wa kadhia hiyo, unapaswa kuzingatia mambo kadhaa yafuatayo:-

Weka wazi hisia zako
Weka wazi hisia zako kwake, lakini kwa namna ya utulivu na yenye lengo la kuelewa na kutatua changamoto zenu.

Pima Matarajio Yenu
Pengine wewe na mwenzako mko na matarajio tofauti kwenye mahusiano yenu.

Hivyo, zungumzeni kuhusu malengo na matarajio yenu ili kuona kama mpo kwenye ukurasa mmoja.

Je, ana Dalili za Kukupenda?
Kama tabia yake inaonesha ukosefu wa kujali kwa muda mrefu, inaweza kuwa ishara ya kutokuwepo uwekezaji wa kihisia kwake.

Jaribu kuangalia kama kuna ishara nyingine zinazoonyesha kutopendezwa kwake na uhusiano wenu.

Thamini Nafasi Yako
Kama unajihisi kutopewa thamani unayostahili, pengine ni wakati wa kutathmini kama uhusiano huo unakidhi haja zako au yanaongeza thamani kwako.

Ova
Mkuu niseme nashukuru sana sana sana tena sana kwa ushauri wako...
Natamani hata nikupe namba ili uweze kunifanyia solution kwa hili jambo...

Kuna mda nilikaza week nzima bila kumchek ila cha ajabu na yeye akawa kimya hana habari na mimi...

Sasa hvi nataka nikitoka nitoke mazima yaani mazima sitaki kurudi nyuma na najua huyu kwa sasa anajua kuwa kwake sichomou sasa nataka nimshangaze kama muhindi anavoshangaza watu...

Nataka niwe kama Natafuta Ajira tuu nafata principal zote
 
Sa si anakusaidia masuala ya Kila mara uko wapi we huoni kero anyway nitakupa mbinu ya kawaida kabisa
"Siku akija piga mashine hadi godoro iloe jasho" uone kama huta control hayo mahusiano
Mmmh mkuu kumbe ishu ni mashine.. unataka kusema nikimpa show huyu hatosumbua
 
Hapana Fundi, sijatukana. Najaribu kukumbusha tu raha ya kuwa mwanaume na ukaamua kuitumia hiyo nafasi ya kuumbwa mwanaume.
Mkuu ananiendesha sana huyu mtu kwa sasa yupo mkoa...
Na kiukweli sijawahi ku mla ila sasa nina mpango huo nataka nimkamie alafu ndo nianze kuzingua na mimi..

Baada ya hapo nitasambaza upendo wa namba kwa wenzangu wote
 
Mkuu ananiendesha sana huyu mtu kwa sasa yupo mkoa...
Na kiukweli sijawahi ku mla ila sasa nina mpango huo nataka nimkamie alafu ndo nianze kuzingua na mimi..

Baada ya hapo nitasambaza upendo wa namba kwa wenzangu wote
Ile week ya kwanza ya mahusiano ndio ulitakiwa umgonge,
 
Back
Top Bottom