Mpaka sasa najiuliza why she doesn’t care

Mpaka sasa najiuliza why she doesn’t care

Kweli ile jamii mwanaume usipokuwa makini unatawaliwa
Lakini Mkuu, kwa hali ya namna hiyo si utakuwa unatumia nguvu kubwa sana ili kumtuliza? Vurugu kila wiki?!

Au umeamua kuwa poa kwamba hakuna namna ngoja niishi naye vivyo hivyo?
 
Wakuu habari za humu ndani.

Mpaka sasa najiuliza why she don't care. Wakuu nipo na mahusiano lakini hata simwelewi huyu mwenzangu mpaka sasa.

Yupo careless an usipomtafuta sahau kutafutwa. Hana time na wewe.

Kapeace naomba uwe miongoni mwa washauri hapa.

Why she don't care, najitoa sana kwake lakini she don't care...
🙌🙌🙌🙌🙌 She turn me into play boy soon as possible.
Kama anakupotezea na wewe mpotezee, simple. K zipo nyingi mno .
 
Back
Top Bottom